Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alafu ukishajua unataka kuwa tapeli au siyoOy family anayejua namna ya ku edit mechi kama awa wapuuzi anielekeze tafadhali
View attachment 3249038
No kaka nataka nijione jinsi nilibokuwa mjinga wa mwisho kuliwa laki 1 ivo tuAlafu ukishajua unataka kuwa tapeli au siyo
Mtu anakulaje laki yako yeye ndo refa wa mchezoNo kaka nataka nijione jinsi nilibokuwa mjinga wa mwisho kuliwa laki 1 ivo tu
C unaona ao wakuda walivomshawishi poor boy akaingia kingMtu anakulaje laki yako yeye ndo refa wa mchezo
Pole sana mwanetu changamoto uwe unafanya uchambuzi mwenyeweAkatuma laki 1 nzima et akawa anasubiri mamilion oooh jinga sana mm 😕
Hakuna cha analysis wala analususu mjomba betting ni mchezo wa kuliwa tu cha muhimu usiwekeze kama ndo biashara yako utalia wewe bet kujifurahisha tu ile hela ambayo wanywa bia au wavuta sigara hutumia kwa hizo starehe zao na wewe betting iwe starehe yako unatia vibuku au vijero kulingana na kipato chako kuna siku utaokota hela ya supu utashukuru lakini hii si biashara.Ukifanya analysis yako vizuri ukapata mechi zisizozidi nane zenye uhakika na odds zisizozidi 3 mara nyingi utakuwa unafanikiwa. Let's say umeweka mikeka mitano kila mkeka shilingi elfu tano na odds 2 halafu mikeka mitatu ikakubali miwili ikachanika bado una faida
Naheshimu mawazo yako lakini nikuulize kuna possibility ya simba kufungwa na coastal union goli tano kwa sifuri?Hakuna cha analysis wala analususu mjomba betting ni mchezo wa kuliwa tu cha muhimu usiwekeze kama ndo biashara yako utalia wewe bet kujifurahisha tu ile hela ambayo wanywa bia au wavuta sigara hutumia kwa hizo starehe zao na wewe betting iwe starehe yako unatia vibuku au vijero kulingana na kipato chako kuna siku utaokota hela ya supu utashukuru lakini hii si biashara.
Yes possibility ipo labda kama huelew maana ya possibility.Naheshimu mawazo yako lakini nikuulize kuna possibility ya simba kufungwa na coastal union goli tano kwa sifuri?
ZUZU tu NDIO ataweka possibility ya Coastal Union kumfunga Simba 5 bilaNaheshimu mawazo yako lakini nikuulize kuna possibility ya simba kufungwa na coastal union goli tano kwa sifuri?
Jazaneni ujinga tu alafu muanze kulialia na kusema "kuanzia leo nastaafu kubet" kama kawaida yenu.ZUZU tu NDIO ataweka possibility ya Coastal Union kumfunga Simba 5 bila
Analysis ni Muhim unless uwe mtu hujui hata maana yake ni nini.
Mtu anafikiria betting ni kama kuvaa condom ya Mtumba Bila kujali usalama
Kama Yanga alifungwa goli 3 na Tabora, hata simba anaweza kufungwa na Coast goli nyingi.Naheshimu mawazo yako lakini nikuulize kuna possibility ya simba kufungwa na coastal union goli tano kwa sifuri?
Kweli mkuu mimi sikuhizi natafuta pesa ya kula na nauli kwa siku nikila elf 9 inanitosha, betting ili ule pesa ni kuweka dau la kuanzia elf 20 hukosi Cashout, Sasa hivi Mimi navizia Cashout ikifika elf 13 faida nachukuaHakuna cha analysis wala analususu mjomba betting ni mchezo wa kuliwa tu cha muhimu usiwekeze kama ndo biashara yako utalia wewe bet kujifurahisha tu ile hela ambayo wanywa bia au wavuta sigara hutumia kwa hizo starehe zao na wewe betting iwe starehe yako unatia vibuku au vijero kulingana na kipato chako kuna siku utaokota hela ya supu utashukuru lakini hii si biashara.
Bora yako wewe ila betting ukifanya ndio biashara na chanzo cha mapato lazima utakua chizi tu.Kweli mkuu mimi sikuhizi natafuta pesa ya kula na nauli kwa siku nikila elf 9 inanitosha, betting ili ule pesa ni kuweka dau la kuanzia elf 20 hukosi Cashout, Sasa hivi Mimi navizia Cashout ikifika elf 13 faida nachukua
Bahati ipo sikatai ila, Nakumbuka enzi za Dr. Leakey Football betting tulikuwa tunaiwezea kwa sababu alikua anafanya analysis kali sana kwa mechi chache..Hakuna cha analysis wala analususu mjomba betting ni mchezo wa kuliwa tu cha muhimu usiwekeze kama ndo biashara yako utalia wewe bet kujifurahisha tu ile hela ambayo wanywa bia au wavuta sigara hutumia kwa hizo starehe zao na wewe betting iwe starehe yako unatia vibuku au vijero kulingana na kipato chako kuna siku utaokota hela ya supu utashukuru lakini hii si biashara.
Leo siku ya ushindi weka kama ifuatavyo.Kweli mkuu mimi sikuhizi natafuta pesa ya kula na nauli kwa siku nikila elf 9 inanitosha, betting ili ule pesa ni kuweka dau la kuanzia elf 20 hukosi Cashout, Sasa hivi Mimi navizia Cashout ikifika elf 13 faida nachukua