Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
ungesubiri utabiri wangu ushindwe ndio uje , fuatilia nyuzi zangu kuhusu Arteta humuhumu jfUngetabiri kabla ligi haijaanza..
Sio usubiri wafungwe
nani kasajili na kazi ya kocha ni ipi ?Shida sio kocha timu mbovu
Msimu huu Arsenal inashukaBasi tu ila Alteta ndo kiumbe wa kwanza ninaemchukia Duniani.
Aliyetoka first division anakuaje kibonde? Arsenal ndio vbonde ambao walinusurika kushuka.Timu hakuna mnategemea ukongwe wa jina ndio ucheze mpira? Nyie mtakuwa kama Newcastle united nao ni wakongweHuyu hajawahi kuwa kocha , bali aliwahi kuwa msimamizi wa mazoezi wa Man City .
leo hii Vibonde waliopanda ligi kuu Brentford 2 -0 Arsenal , ufunguzi wa EPL
Hatafutwa kazi kanweHuyu hajawahi kuwa kocha , bali aliwahi kuwa msimamizi wa mazoezi wa Man City .
leo hii Vibonde waliopanda ligi kuu Brentford 2 -0 Arsenal , ufunguzi wa EPL
Mie simpendi yule MMASAI wetu wa ki Kizungu!Basi tu ila Alteta ndo kiumbe wa kwanza ninaemchukia Duniani.
We dada muuza vitumbua Tandika lini ukafahamu soka la Uk?Huyu hajawahi kuwa kocha , bali aliwahi kuwa msimamizi wa mazoezi wa Man City .
leo hii Vibonde waliopanda ligi kuu Brentford 2 -0 Arsenal , ufunguzi wa EPL
Jezi yangu ya Arsenal nimeisogeza chini kabisa ya kabati,nipotezee mambo ya Arsenal kwa muda.Afukuzwe tu anafanya mashabiki wa Arsenal tuishi kwa mashaka kweli
Wanatuumiza sana mashabiki😭😭😭Jezi yangu ya Arsenal nimeisogeza chini kabisa ya kabati,nipotezee mambo ya Arsenal kwa muda.
Tulionya muda mrefu tukapuuzwaMy day and night prayers is relagation for my Arsenal team this season