Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Watu wanne wamefariki dunia na wengine 15 wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Kibisa lililokuwa likitokea Dodoma kuelekea Dar es Salaam kugongana uso kwa uso na gari la kubebea mizigo…ajali iliyotokea usiku wa kuamkia leo katika kata ya Mikese Manispaa ya Morogoro.
Kaimu Afisa Habari wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Scholastica Ndunga amadhibitisha kupokea miili ya watu wanne na majeruhi 15 na kwamba majeruhi hao wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospital hiyo.
#AzamTVUpdates
Habari | Theresia Mwanga
Mhariri | John Mbalamwezi
Kaimu Afisa Habari wa Hospital ya Rufaa ya Mkoa wa Morogoro, Scholastica Ndunga amadhibitisha kupokea miili ya watu wanne na majeruhi 15 na kwamba majeruhi hao wanaendelea kupatiwa matibabu katika hospital hiyo.
#AzamTVUpdates
Habari | Theresia Mwanga
Mhariri | John Mbalamwezi