K11
JF-Expert Member
- Oct 15, 2014
- 3,447
- 11,274
Amina ndugu yanguMungu bado ana kusudi na wewe. mshukuru sana MUNGU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amina ndugu yanguMungu bado ana kusudi na wewe. mshukuru sana MUNGU
Pole sana kwa hio na Wewe ungekua ushapokea cheque number yako muda huuInauma sana, hiyo ajali imenikosa Mungu akaepusha.
Nilipanda gari lingine la Kibisa usiku huo wa jana nikaacha hilo lilopata ajali
Nenda kachinjiwe Ng'ombe kisha OGA damu yakeAmina ndugu yangu
Pole sana ulichinja Ng'ombe au bado zile roho zinakufuata maana na Wewe ulikua kwenye listmkuuuu kilichokutokea kilintokea mm
Unakumbuka dar express ilichinja pale wami longtime....
Lile basi nilifika nkataka kukata tkt
Bibi akawa amebaki na mama na natakiwa nirudi nae....alipomuogesha bibi moshi hapo
Bibi akaombaa abaki sikuhio tu kesho aende akanipigia....nikagairisha
Aisee gafla nasikia ajali....kumpigia mtu ambae huwa anatukatiaga tkt akahamaki ujaenda aisee lilegari la asbh limeisha lote mandala yanaokotwa kila kona
yaan tungeisha na mama wote
Mbuzi mkuuu na tukala mpaka na wanakijiji acha tu tukaondkka keshokutwa yake ile ajali ungeangalia sijui hata wangepata mwili wangu maana huwa nalala bodi nusu ilikatika sijui pepo ama ndio farakaPole sana ulichinja Ng'ombe au bado zile roho zinakufuata maana na Wewe ulikua kwenye list
Hapo sawa umefanya JamboMbuzi mkuuu na tukala mpaka na wanakijiji acha tu tukaondkka keshokutwa yake ile ajali ungeangalia sijui hata wangepata mwili wangu maana huwa nalala bodi nusu ilikatika sijui pepo ama ndio faraka
Mshukuru sana Mungu ndugu yangu .wajaliwe kupumzika kwa amani.Inauma sana, hiyo ajali imenikosa Mungu akaepusha.
Nilipanda gari lingine la Kibisa usiku huo wa jana nikaacha hilo lilopata ajali
Tatizo upigaji mwingikuna haja ya kutandaza reli nchi nzima, usafiri wa barabarani kwa sasa ni need for speed