Hearly Loyalty
JF-Expert Member
- Aug 17, 2022
- 411
- 370
Mtoa post Bado ni mtoto hajui siasa vyema jinsi ilivyoUS wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
Naaam NaamKifo ni kifo tu.......wote tutazikwa as vile hatujioni tunavyozikwa hakuna ubaya
........big up putin....hakuna shobo kwa wasaliti
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Hujui mengi huyo si wa kwanza na hatakua wa mwisho kuzikwa bila heshima za kitaifa. Leonid Brezhnev alifanyiwa hivyo piHuyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Msaliti kaendaView attachment 2345094
View attachment 2345095
View attachment 2345096
View attachment 2345098
View attachment 2345099
View attachment 2345100
View attachment 2345101
View attachment 2345102
View attachment 2345103
View attachment 2345104
View attachment 2345105
View attachment 2345106
Hajawahi kumsamehe hili kosa la kushindwa kujali maslahi mapana ya Soviet Union na Urusi.
Lini hiyo Putin alikua karibu na Wamarekani? alipokutana na Clinton? Au alipokutana na Bush 2008 na 2014, Trump 2018?Putin mwenyew aliwai kuwa krb na viongoz wa Marekan , sijui kosa la huyo mjuba ni lipi ?
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
US wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
Baada ya kushiba togwa unaanza kupiga ramli kama tejaHuyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Teja naye mtuBaada ya kushiba togwa unaanza kupiga ramli kama teja
Putin hawezi kuanguka kwa vimaneno uchwala kama vyakoHuyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Sarcasm 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Sasa huyo dikteta Putin anashindwa nini kuirejesha nchi kwenye communist dictatorship wakati yeye ni paramount ruler.Putin anafanya na anasimamia anachokiamini,sio mnafiki kabisa,haweza uzuria kinafiki kwenye msiba wa aliye sababisha ukomunist kudondoka,hawezi kabisa,kumbuka ya kuwa Putin na ukomunist ni Damu Damu. So Mimi sioni kukuacha wafu wazikane