Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

Mikhail Gorbachev kazikwa kiaibu sana ila yatamrudia Putin

US wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
Mtoa post Bado ni mtoto hajui siasa vyema jinsi ilivyo
 
Mngemchukua nyie sasa [emoji631] mkamzika
Maana yeye ndie alikuwa chanzo
 
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1431]
 
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Hujui mengi huyo si wa kwanza na hatakua wa mwisho kuzikwa bila heshima za kitaifa. Leonid Brezhnev alifanyiwa hivyo pi
 
Putin mwenyew aliwai kuwa krb na viongoz wa Marekan , sijui kosa la huyo mjuba ni lipi ?
Lini hiyo Putin alikua karibu na Wamarekani? alipokutana na Clinton? Au alipokutana na Bush 2008 na 2014, Trump 2018?
 
Keep dreaming
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
 
He was a traitor.
US wakimsifu kiongozi wa nchi Fulani ujue Kuna Tatizo mahali anapoongoza kiongozi huyo! Mikael ndiye aliratibu CIA kukalia Moscow na viunga vyake baada ya kuiua Soviet Union. Hawezi kusamehewa kirahisi na former KGB wanaojitambua!
 
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Baada ya kushiba togwa unaanza kupiga ramli kama teja
 
Huyu aliyekua. Rais wa Russia kipind hicho cha ukomunist ,alifanya mengi mazuri ,ila kuna mambo alichemka ,siyo mbaya kuna kufeli plan ,kufel plan siyo kwamba binadamu anapenda ,ila Putin kaonyesha utoto sana kutihudhuria msiba wa muasisi mkubwa nchini Russia .
Ilanatabiri Putin ataipeleka Russia kubaya kuliko huyu mwamba.
Usishangae akazikwa kama mbwa.
Time will spoke.
Inaonekana Putin hekima na busara kwake so kitu ,amelewa madaraka na pesa alizojikusanyia kwenye utawala wake .
Anguko lake linakaribia.
Putin hawezi kuanguka kwa vimaneno uchwala kama vyako
 
Burundi, Rwanda, Somalia, sudani Tanzania N/Korea Iran, China, Urus etc hizo ni nchi ambazo hazisifiwi na marekani na ndiyo maana unasikia wahamiaji haramu na halali wanakufa wakijaribu kuingia ndani ya hizo nchi.
Nchi kama Canada, Uingereza, Germany etc ni nchi maskini tupu.
Nionyeshe mzamiaji 1 anaetamani kuzamia Germany nami nikuonyeshe maelfu wanakufa mpakani mwa Somalia na Kenya wakijaribu kuingia Somalia kutafuta Ndululu.
Mwaka jana iran imechangia 75% ya bajeti yetu ya Afya wakati Canada ikituomba Mkopo ilhali tunawadai malimbikizo ya madeni.
Sarcasm 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣
 
Putin anafanya na anasimamia anachokiamini,sio mnafiki kabisa,haweza uzuria kinafiki kwenye msiba wa aliye sababisha ukomunist kudondoka,hawezi kabisa,kumbuka ya kuwa Putin na ukomunist ni Damu Damu. So Mimi sioni kukuacha wafu wazikane
Sasa huyo dikteta Putin anashindwa nini kuirejesha nchi kwenye communist dictatorship wakati yeye ni paramount ruler.
 
Back
Top Bottom