Watu wamepiga ndefu sana hapoWafanyabiashara hao wameamua kuondoka kutoka katika soko hilo kwa kukosa wateja hali iliyopelekea biashara kuwa ngumu.
Wafanyabiashara hao hawajui watalipa vipi madeni wanaodaiwa na taasisi mbalimbali za fedha.
Ikumbukwe soko hilo limejengwa na serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 5.
Pesa hizi ni za walipa kodi.
Serikali haijafanya uchunguzi wa eneo hili kama lina wateja wa kutosha.
Wasafi Radio.
View attachment 1962836
Ni huzuni sana. Yaani wakati mwingine tuachwe tu tuishi bila mipangilio....yaani ni aibuNaunga mkono hoja yako mkuu Chris.Mfano mzuri soko jipya la Magomeni ,ingawa ni ghorofa zuri wateja wachache sana ukilinganish
a na soko la ndizi Mabibo.
SokoSoko au stand?
Aisee mbona frame nyingi tena za kuvutia?Makumbusho sokoni, pametulia kama maji yenye barafu
Hata biashara yako ikiwa safi sana wateja wanaogopa kujaTanzania hii ukileta uzungu kwenye biashara. Hufikishi mwaka unafunga,
Watu wana allergy ya kununua vitu kwenye majengo makubwa makubwa yenye kupendeza.
Achilia mbali vitu Og
WHITE ELEPHANTWafanyabiashara hao wameamua kuondoka kutoka katika soko hilo kwa kukosa wateja hali iliyopelekea biashara kuwa ngumu.
Wafanyabiashara hao hawajui watalipa vipi madeni wanaodaiwa na taasisi mbalimbali za fedha.
Ikumbukwe soko hilo limejengwa na serikali kwa gharama ya shilingi bilioni 5.
Pesa hizi ni za walipa kodi.
Serikali haijafanya uchunguzi wa eneo hili kama lina wateja wa kutosha.
Wasafi Radio.
View attachment 1962836
Nani aende porini kule?..
Ndugu Chris mara nyingi bidhaa za wamachinga wanunuzi wake ni wapita njia au abiria,hivi inaingia akilini mtu upande ghorofani ukanunue pamba za kusafisha masikio au soksi pea moja?
Kwa kawaida hata mimi nanunua bidhaa kwa machinga pale ninapikutana nao barabarani au nikiwa kwenye stendi ya basi au foleni ya magari.
Maana vitu vingi tunavyonunua kwa machinga maamuzi tunafanya papo kwa papo na si kuwafata mae eo yao.Machinga anamfata mteja na sio mteja kumfata machinga.
Soko la makumbusho hakuna kitu pale hata kitunguu maji hupati
Maisha ya Watanzania ni survival for the fittest
Ni suala la muda tu pata changanya. Ni kama Makumbusho paliboa sana mwanzo ila sasa ni moto
Labda unazungumzia maeneo njee kabisa ya soko na stand pale pame changamka changamka.Aisee mbona frame nyingi tena za kuvutia?