Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Duniani masoko yanayouza vitu mchanganyiko Na bei nafuu kama huwezi kukuta ni gorofa
Bora wangekuwa wanajenga uwanja tu mkubwa kama wa mpira na maduka yaliozunguka hapo ingeleta faida na hata wateja wangekuwa wanajaa maana una hakikisha kila kitu kimo humo mpaka vibanda vya mama lishe
Bora wangekuwa wanajenga uwanja tu mkubwa kama wa mpira na maduka yaliozunguka hapo ingeleta faida na hata wateja wangekuwa wanajaa maana una hakikisha kila kitu kimo humo mpaka vibanda vya mama lishe