Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Bora nifanye kazi na wasukuma au watu wa dar, pwani, tanga au kigoma, wengine siwajui vizuri. Lakini ukiniambia watu wa kaskazini hapana aise, japo sio wote.
Usukumani hakuna wateja wa kueleweka mi mwenyewe Msukuma , ukipata mteja wa Kaskazini hesabu umeuza , ukipata usukumani jiulize mara mbili mbili kuna asilimia kubwa akaingia mitini wakat wa malipo
 
Kanitafutie sehemu Arusha yenye massive buildings za maghorofa kama hapo Upanga.
Mind you hii ni Upanga pekeyake.
Pia tizama architecture ilotumika katika hayo majengo Arusha you won't find it.View attachment 2985933
Matakataka tu yamejaa hapo. Ndio maana nakwambia huna exposure.
 
Y
Ona huyu kijana anaropoka nini!?
Umefika Victoria Morocco!?
Seriously ufananishe modernity ya Dar na Arusha!?
Nimefika Arusha buddah Arusha ya kupambana na Mwanza sio Dar.
Embu katafute architectural wise kama hii Arusha nzima uilete.View attachment 2985916
Yani hako kasegement ndio kanawatoaga ushamba watu wa Dar 🤣🤣 aisee mna kazi sana.
 
Kwa kuwa well organized mkoa wa kwanza nachagua Tanga kesha Mwanza.
Dodoma ni mjini tu ndio well organized mkuu.
Uko sahihi Asmara ni modern city ila hauna skyscrapers.
Huyu anaelekea hana exposure au ni ushamba unamsumbua. Europe miji kibao ya kisasa haina fly overs! Na very few skyscrapers! Ukisema tuvitu vitu vya hivyo utaambiwa Dar bado sana. Kwa tuliotembea tunacheka. Yani tu interchange tuwili sijui ti ngapi, mji hauna ata span ya kilometer 20 really? Watu wana ma metro subway, we unaongea nini wewe?
[/QUOTE]
We nilishakuweka kushoto.
First waonekana mshamba second unajibaraguza umetembea kumbe kapuku tu.
SISI TUMETEMBEA ZAIDI YAKO.
Unajisifu umetembea ilhali umeishia Tandale my foot!?
Kichwa chako.
Embu nitajie mji wa kisasa Europe usiokuwa na miundombinu yeyote ya usafiri ya kisasa(flyover/interchange/expressway)!??
👆👆👆👆Nataka jibu hapo.
[/QUOTE]
Ushafika Washington DC. ? Rome? Yani we unadhani kila mahali ni washamba wa skyscrapers!? Watu wana preserve heritage zao. Ndio maana washamba wa Dar wakiona mji una miti mingi wanadhani ni kijijini. Alafu kwanza hizo structures za Dar jamani ni za kawaida sana yani, ni kutokana na mpangilio mbovu wa mji.
 
Huyu anaelekea hana exposure au ni ushamba unamsumbua. Europe miji kibao ya kisasa haina fly overs! Na very few skyscrapers! Ukisema tuvitu vitu vya hivyo utaambiwa Dar bado sana. Kwa tuliotembea tunacheka. Yani tu interchange tuwili sijui ti ngapi, mji hauna ata span ya kilometer 20 really? Watu wana ma metro subway, we unaongea nini wewe?


Ushafika Washington DC. ? Rome? Yani we unadhani kila mahali ni washamba wa skyscrapers!? Watu wana preserve heritage zao. Ndio maana washamba wa Dar wakiona mji una miti mingi wanadhani ni kijijini. Alafu kwanza hizo structures za Dar jamani ni za kawaida sana yani, ni kutokana na mpangilio mbovu wa mji.
Unaona ulivyo mpumbavu!?
Nilikuuliza ni mji gani Europe hauna critical infrastructure kama flyover/expressway/interchange!?
Maana ulidai kuna miji Europe inakosa hivyo vitu.
Au hujui kutofautisha kati ya Skyscraper na flyover!?
Kumbe nabishana na punguani!?
Ona sasa hii kuku🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️😂😂.
Nani kakwambia Upanga haijapangika kijana!?
Upanga imepangika imejengwa kimipango miji.
Hivi umefika Upanga kweli!?
Arusha NZIMA hakuna eneo lenye architecture kama za Upanga.hata maana ya usanifu unaijua kweli wewe!?
Utahama hama mpaka uchoke.
-Victoria miti ipo.
-Upanga miti ipo.
-Kivukoni/Posta miti ipo na kuna bustani pale.
-Posta mpya na ya zamani miti ipo.
-Kigamboni miti ipo tena ya kutosha.
Tunazungumzia usanifu mzuri wa majengo hapa.
 
Huyu anaelekea hana exposure au ni ushamba unamsumbua. Europe miji kibao ya kisasa haina fly overs! Na very few skyscrapers! Ukisema tuvitu vitu vya hivyo utaambiwa Dar bado sana. Kwa tuliotembea tunacheka. Yani tu interchange tuwili sijui ti ngapi, mji hauna ata span ya kilometer 20 really? Watu wana ma metro subway, we unaongea nini wewe?

We nilishakuweka kushoto.
First waonekana mshamba second unajibaraguza umetembea kumbe kapuku tu.
SISI TUMETEMBEA ZAIDI YAKO.
Unajisifu umetembea ilhali umeishia Tandale my foot!?
Kichwa chako.
Embu nitajie mji wa kisasa Europe usiokuwa na miundombinu yeyote ya usafiri ya kisasa(flyover/interchange/expressway)!??
👆👆👆👆Nataka jibu hapo.

Ushafika Washington DC. ? Rome? Yani we unadhani kila mahali ni washamba wa skyscrapers!? Watu wana preserve heritage zao. Ndio maana washamba wa Dar wakiona mji una miti mingi wanadhani ni kijijini. Alafu kwanza hizo structures za Dar jamani ni za kawaida sana yani, ni kutokana na mpangilio mbovu wa mji.
Washington kafuatilie kuna hizi skyscrapers.
1)The Elm.
2)The wilson.
3)Hilton Alexandria.
Hizo zote SKYSCRAPERS NDANI YA WASHINGTON.

Rome nakupa mfano wa skyscraper moja inaitwa TORRE EUROSKY ina urefu zaidi ya 110 metres.
Screenshot_2024-05-09-19-03-28-09_81b5f59f81a9801c9f112972edbe649b.jpg
 
Washington kafuatilie kuna hizi skyscrapers.
1)The Elm.
2)The wilson.
3)Hilton Alexandria.
Hizo zote SKYSCRAPERS NDANI YA WASHINGTON.

Rome nakupa mfano wa skyscraper moja inaitwa TORRE EUROSKY ina urefu zaidi ya 110 metres.View attachment 2986039
Umeona eeh, mpaka utafute na ni vile wamerelax kidogo kuhusu tall bulidings ata Paris. Hizo sio kipi cha kuwa modern mzee baba, Nairobi inazo nyingi kupita hiyo miji yote ila sio modern kama hiyo miji ndo sembuse uchafu wa Dar? 🤣👎👎
 
Umeona eeh, mpaka utafute na ni vile wamerelax kidogo kuhusu tall bulidings ata Paris. Hizo sio kipi cha kuwa modern mzee baba, Nairobi inazo nyingi kupita hiyo miji yote ila sio modern kama hiyo miji ndo sembuse uchafu wa Dar? 🤣👎👎
Hukujibu swali langu na umelikimbia.
Maana ulidai Europe kuna miji haina flyover/Interchange/expressway.
Ninakuomba unitajie ukala mitini.
Hapo ngoja nikusamehe.
Ila Nairobi ni miongoni mwa modern cities hapa Africa.
 
Hukujibu swali langu na umelikimbia.
Maana ulidai Europe kuna miji haina flyover/Interchange/expressway.
Ninakuomba unitajie ukala mitini.
Hapo ngoja nikusamehe.
Ila Nairobi ni miongoni mwa modern cities hapa Africa.
Dar haina metro, haina express way, haina mambo kibao, yani kwenye modern city nayo tuiweke?
 
Dar haina metro, haina express way, haina mambo kibao, yani kwenye modern city nayo tuiweke?
Badala ya expressway kuna rapid transit na kuna highway pia.
Metro inahitaji uwekezaji mkubwa hiyo Nairobi yenyewe haina metro.
 
Badala ya expressway kuna rapid transit na kuna highway pia.
Metro inahitaji uwekezaji mkubwa hiyo Nairobi yenyewe haina metro.
Basi tuindoe kwenye modern cities. Hiyo rapid transit tamu kwa kingereza nenda basi pale msimbazi au fire ,utajua hujui. Dar bado budaa. Anyways nimekaa miji ya ulaya mingi tu, mfano Maastricht na Basel. Ni modern ila haina kila kitu unachosema. Point yangu ni kwamba vigezo ulivotumia kuiita dar eti ni modern kuliko Arusha based on infrastructure ni null. Arusha wana by pass ways kubwa dar hakuna. Kila mahali kuna kitu kwa sababu. Before 2006, na mpaka sasa Arusha ilikuwa na watumiaji wengi wa internet per area kuliko dar! Unajua bana watu wa dar wako na tabu sana ya "kudhania" , wao ni bora sababu ya 123. Ni kweli hatukatai dar ndio mji mkubwa lakini sio kwamba unaongoza kwa kila jambo. Dar ina mengi tu ya kujifunza pengine.
 
Basi tuindoe kwenye modern cities. Hiyo rapid transit tamu kwa kingereza nenda basi pale msimbazi au fire ,utajua hujui. Dar bado budaa. Anyways nimekaa miji ya ulaya mingi tu, mfano Maastricht na Basel. Ni modern ila haina kila kitu unachosema. Point yangu ni kwamba vigezo ulivotumia kuiita dar eti ni modern kuliko Arusha based on infrastructure ni null. Arusha wana by pass ways kubwa dar hakuna. Kila mahali kuna kitu kwa sababu. Before 2006, na mpaka sasa Arusha ilikuwa na watumiaji wengi wa internet per area kuliko dar! Unajua bana watu wa dar wako na tabu sana ya "kudhania" , wao ni bora sababu ya 123. Ni kweli hatukatai dar ndio mji mkubwa lakini sio kwamba unaongoza kwa kila jambo. Dar ina mengi tu ya kujifunza pengine.
Kwa miji ya Ulaya nasema Dar bado.
Ila nazungumzia kwa Tanzania Dar es salaam is the modern city.
Arusha bado nimefika mzee Arusha kaifananishe na Mwanza.
Kwa miundombinu iliyopo na inayoendelea kujengwa Dar basi Dar is the only modern city hapa TZ.
Bypass sio kitu cha ajabu mzee.
Unasifia mji kuwa na bypass!?
You can't be serious.
Na kwa Dar bypass zinajengwa sasa hivi ikiwemo Kigamboni bypass ipo,Msimbazi centre ipo,Mbezi Luis ipo na sehemu zingine bypass zinajengwa
Kuna VITU VINGI SANA DAR vipo ARUSHA HAKUNA.
Arusha kuuita modern city ni matusi.
Maana miji mingi ya kisasa ina sifa ambazo Dar es salaam inazo.
Ninaongea kwasababu Arusha nimefika.
Huwezi kuita Arusha modern city kamwe.
Ila tufanye yameisha.
Basel bro sifa hizo zipo hakuna kitu cha kosekana Basel katika hizo sifa nilizotaja labda rapid transit ila flyover,skyscraper n.k n.k vipo.

Ila tufanye mjadala umeisha mkuu tufanye umeshinda.
 
Kwa miji ya Ulaya nasema Dar bado.
Ila nazungumzia kwa Tanzania Dar es salaam is the modern city.
Arusha bado nimefika mzee Arusha kaifananishe na Mwanza.
Kwa miundombinu iliyopo na inayoendelea kujengwa Dar basi Dar is the only modern city hapa TZ.
Bypass sio kitu cha ajabu mzee.
Unasifia mji kuwa na bypass!?
You can't be serious.
Na kwa Dar bypass zinajengwa sasa hivi ikiwemo Kigamboni bypass ipo,Msimbazi centre ipo,Mbezi Luis ipo na sehemu zingine bypass zinajengwa
Kuna VITU VINGI SANA DAR vipo ARUSHA HAKUNA.
Arusha kuuita modern city ni matusi.
Maana miji mingi ya kisasa ina sifa ambazo Dar es salaam inazo.
Ninaongea kwasababu Arusha nimefika.
Huwezi kuita Arusha modern city kamwe.
Ila tufanye yameisha.
Basel bro sifa hizo zipo hakuna kitu cha kosekana Basel katika hizo sifa nilizotaja labda rapid transit ila flyover,skyscraper n.k n.k vipo.

Ila tufanye mjadala umeisha mkuu tufanye umeshinda.
Karibu hapa, Kwa Andrew zamani T garden. Mimi mtoto wa town kitambo braza ila ndo ivo tena tuna i overrate Dar sana. Its ahead but not proper. Nimeishi kote. Sio kufika tu.
 
Back
Top Bottom