Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

Morogoro.....harafu unataja UNGUJa. Kweli
Yeah...
Unguja imeendelea sana kuliko Morogoro....
  • Vyuo vingi
  • Biashara kubwa
  • Bandari
  • Uwanja wa ndege
  • Wilaya zake zote zimeunganishwa kwa barabara
  • Usafiri mwepesi
  • Usalama wa hali ya juu,C.C.T.V kila kona pale mjini.
  • Huduma ya maji ya uhakika
 
Karibu hapa, Kwa Andrew zamani T garden. Mimi mtoto wa town kitambo braza ila ndo ivo tena tuna i overrate Dar sana. Its ahead but not proper. Nimeishi kote. Sio kufika tu.
Ushakaa Mbweni /Ada estate au Msasani Peninsula...?
 
Watu 700k wamsfosiwa na nani?
Chukulia milion 4 ndo walio fosiwa, wengine mil 3 ni wazawa.

Sasa hawa mil 4 utawakuta kuna wafanyakazi wa wizara ambaye wizara yake ilikua Dar sasa imehamia Dodoma, mwajiriwa 1 anahamia Dodoma na kundi la watu wasiopungua 7, mfano, House girl wake, dereva wake au dereva wa haice atamfuata mwajiriwa ili aendelee kumpakia, muuza mihogo/chai anamfuata, watoto wake watamfuata huyu mtu mmoja n.k

Lakini pia vyuo vipo vingi Kwa vile n katkat ya nchi chukulia Udom pekee Ina wanafundi wasiopungua laki moja wao wamefosiwa na elimu, wakihitimu huwezi ona wanabaki kwenye Jiji lenye adha kama wanavyobaki kwetu. N.k
 
Ushakaa Mbweni /Ada estate au Msasani Peninsula...?
Kaka endelea na mjadala ila ukitaka kuingia malumbano ya hoja na huyo jamaa🤣🤣🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️🙆🏿‍♂️utashika kichwa.
Tuendelee na mada nakusihi usije ukajichosha.
 
Yeah...
Unguja imeendelea sana kuliko Morogoro....
  • Vyuo vingi
  • Biashara kubwa
  • Bandari
  • Uwanja wa ndege
  • Wilaya zake zote zimeunganishwa kwa barabara
  • Usafiri mwepesi
  • Usalama wa hali ya juu,C.C.T.V kila kona pale mjini.
  • Huduma ya maji ya uhakika
Kwa mimi mkuu Morogoro imeendelea kuliko Unguja kwa aspects zifuatazo,maana Unguja nilifika;
1)Morogoro sehemu nyingi za mjini zinajengwa kimipango miji kuliko Unguja unplanned settlements nyingi.
2)Maisha bei rahisi interms of vyakula hata mortigages.
3)Kuna shule nyingi kubwa na kongwe mathalan Kilakala,Moroseco,Forest hill.
4)Kuna vyuo vingi tena vikubwa mathalan SUA university,huwezi fananisha na Mwalimu Nyerere cha Bububu skuli.
5)Morogoro kuna potentials nyingi za uwekezaji na utafutaji mathalan viwanda,kilimo,biashara ndogo na kubwa,ufugaji,uchimbaji madini n.k n.k.

Pa kuishi bora uishi Morogoro mkuu.
 
Kwa mimi mkuu Morogoro imeendelea kuliko Unguja kwa aspects zifuatazo,maana Unguja nilifika;
1)Morogoro sehemu nyingi za mjini zinajengwa kimipango miji kuliko Unguja unplanned settlements nyingi.
2)Maisha bei rahisi interms of vyakula hata mortigages.
3)Kuna shule nyingi kubwa na kongwe mathalan Kilakala,Moroseco,Forest hill.
4)Kuna vyuo vingi tena vikubwa mathalan SUA university,huwezi fananisha na Mwalimu Nyerere cha Bububu skuli.
5)Morogoro kuna potentials nyingi za uwekezaji na utafutaji mathalan viwanda,kilimo,biashara ndogo na kubwa,ufugaji,uchimbaji madini n.k n.k.

Pa kuishi bora uishi Morogoro mkuu.
Sawa sawa ,unguja huyu atakuwa mdogo wake husein
 

Attachments

  • E1dMzD-XMAcfXuc.jpg
    E1dMzD-XMAcfXuc.jpg
    98.9 KB · Views: 4
Kumbe unataka kusemaje sasa kama mataa ndio hayo mnajkutaaa kumbe hovyo tu now nchi imebadilika DAR ni sokoni tu tunakuja kujumua then tunapta hv

Kwhyo unataka kusema nn!? Hyo n Mwanza uktaka na Arusha nakuletea msitutishie hyo Dar wenzenu tushapafanya ni sokoni
Dar ni kama maji katika maisha...kama hauja tumia kupikia, au kunywa basi jua utayaoga.
 
Mara mbona haupo Hapo. Mkoa wenye Samaki kwa wingi, muhogo, mtama,Ndizi,n.k.
 
Back
Top Bottom