Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukatili wa kijinsia jijini Dar es salaam hasa upo Kitunda, Kipunguni, Mwanagati, Kinyantila, Pugu, mvuti, Gongolamboto, Kigamboni na vitongoji vyake, hayo ndiyo maeneo waliyojazana watu wenye asili ya kanda ya ziwa.Ulitumia research factor au reference gani kujua miongoni mwa walionyanyasa Ke hapo Dar si wa kanda hiyo?
Ficha ujinga wako, narudia tena ficha ujinga wako.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ulikuwa na uhalali gani wa kutojumuisha mikoa mingine ya kanda hiyo kuwa laiti ingetajwa ilihali unajizima data kuwa Dar si kanda hiyo hiyo?Umeona wapi research yangu?Nani kaandika kwamba sio wa Kanda ya Dar?Unajua kusoma na kuelewa ulichosoma?Usinilishe maneno.Uwezo wako wa kujadili mada ni mdogo unarukaruka tu bila kufuata mpangilio wa kuunga mkono hoja au kupinga.
Elimu yako haikusaidii kujua unalotakiwa kujua.
Hyo unaona ni shida !? Na ww unanyanyaswa!? Km ni hvo usje huku kbs tutakumalza.Kanda ya ziwa Pana shida
wasukuma hawajastaarabika. na wameanza tena mchezo wao kuua wenye ulemavu wa ngozi
Nyanda za juu kusin magharibu wamestaarabika sana. Yapo ila sio kama mahals pengine.
Sehemu gn Kanda Ya Ziwa hain mwamko wa Elimu !? Morogoro ni Kanda ya nyonyo!? Mtwara, Lindi, Katavi ,Njombe na Songea ni KandaYaZiwa!? Ficha ujinga wako na utoto.Tatizo kubwa ni ukosefu wa Elimu. Mwamko wa Elimu bado upo chini.
Watu wa Kanda ya ziwa waliolundikana Dar ndiyo wanaoharibu sifa nzuri za jiji hilo.
Kwa kawaida wenyeji wa ukanda huo hawana tabia za ukatili wa kijinsia.
Ndiyo maana unaona mkoa wa Pwani na mikoa jirani ya Lindi na Morogoro hawamo kwenye orodha hiyo.
Na tukiwaambia watu wa KandaYaZiwa ndio kila ktu kwenye nchi hii mnakuwa wabishi sasa mmeanza kukubaliTusisahau kuwa dar es salaam ni mseto wa wanajamii kutoka mikoa mbali mbali. Kuna watu wanakuja na matabia yao ya hovyo huku Dar so usishangae kama matukio yao yakaripotiwa huku.
Hujawah kuielewa concept yaKwhyo huo ndio ustaarabu ety
Nyie mnajiona ni best si ndio !?Hujawah kuielewa concept ya
Bad worse worst
Au
Good better best?
Nyie akina nani?mbona unaingiza personal opinions?Nyie mnajiona ni best si ndio !?
Sasa mnaposema mara watu wa KandaYaZiwa hatujastaarabika mara sjui hatuna elimu mara hatujielewi that means you are the best and Congratulations, yuh have gained a step.Nyie akina nani?mbona unaingiza personal opinions?
Wale Jamaa wakigombana na wake zao, wanawapa adhabu ya kuwafir@.Njombe inakosekana vipi?
Au wahanga wengi wanaogopa kusema?
intmstanbulDar es Salaam - 13,719
Shinyanga - 12,300
Mara - 9,823
Mwanza - 9,242
Geita - 7,697
Kigoma - 7,544
Kagera - 7496
Tabora - 7,471
Ruvuma - 7,425
Tanga - 6,827
Chanzo: Wizara ya Afya
Utoto haufichwi, vinginevyo kama mwenye huo utoto kafunzwa kuuishi unafiki.Sehemu gn Kanda Ya Ziwa hain mwamko wa Elimu !? Morogoro ni Kanda ya nyonyo!? Mtwara, Lindi, Katavi ,Njombe na Songea ni KandaYaZiwa!? Ficha ujinga wako na utoto.
Nitajie mikoa inayozd lakeZone kwa Elimu, tuna Kagera, Mwanza ,Mara na wakushndana na sisi kwenye elimu ni Kaskazin tu lbd na Dar.
Matukio kama haya ni nadra sana penye mwamko wa Elimu.Sehemu gn Kanda Ya Ziwa hain mwamko wa Elimu !? Morogoro ni Kanda ya nyonyo!? Mtwara, Lindi, Katavi ,Njombe na Songea ni KandaYaZiwa!? Ficha ujinga wako na utoto.
Nitajie mikoa inayozd lakeZone kwa Elimu, tuna Kagera, Mwanza ,Mara na wakushndana na sisi kwenye elimu ni Kaskazin tu lbd na Dar.