luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
Bila shaka wewe ni wa kagera maana sio kwa povu hiloNikiona hoja halisi, nitazijadili, na hoja hafifu/batili nitazieleza kama zilivyo. Mara nyingi unakuja humu na hoja batili, na kama ni hoja halisi unaweka tafsiri iliyo batili. Hilo ndilo ninalokueleza mara nyingi, hata kama hupendi kusikia.
Nawe umetokea kwenye pango gani hapa Tanzania ambako mwanga hukufikia mara moja kwa mwaka?Bila shaka wewe ni wa kagera maana sio kwa povu hilo
NB
Namba hazidanganyi [emoji3][emoji3]
Kama huwezi jadili hoja pita kushoto acha shoboNikiona hoja halisi, nitazijadili, na hoja hafifu/batili nitazieleza kama zilivyo. Mara nyingi unakuja humu na hoja batili, na kama ni hoja halisi unaweka tafsiri iliyo batili. Hilo ndilo ninalokueleza mara nyingi, hata kama hupendi kusikia.
Dom mpo ila list yenu ni huku Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu? 🤣🤣🤣Kama Dodoma haipo, hiyo orodha siyo sahihi.
Kama hakuna hoja ya kujadili, ni lazima niseme. Na kama ni takataka, nilazima niziite hivyo hivyo.Kama huwezi jadili hoja pita kushoto acha shobo
Natafuta quotation ya Dr. Magu nikuwekee, kuwa Mikoa mingine isubiri tushughulike na kusini kwanza. Yeye badala ya kutengeneza purposefull interaction ya jamii za Kusini na zile zilizopiga hatua,akaamua azibe sehemu moja. Hata hivyo, angekuwa hai leo angekuwa na la kujifunza, kuwa maendeleo ni inborn spirit inayoambatana na creativity na exposure.Upendeleo wa kiaje?
Kauli na matendo ni sawa? Huyo unaemsema aliongea kama nani? Niwekee hapa ushahidi wa Kusini ikipendelewaNatafuta quotation ya Dr. Magu nikuwekee, kuwa Mikoa mingine isubiri tushughulike na kusini kwanza. Yeye badala ya kutengeneza purposefull interaction ya jamii za Kusini na zile zilizopiga hatua,akaamua azibe sehemu moja. Hata hivyo, angekuwa hai leo angekuwa na la kujifunza, kuwa maendeleo ni inborn spirit inayoambatana na creativity na exposure.
Data nilizoweka ndio za recently,hizo za kwako umezitoa wapi?Recent data Arusha imekua ya pili kwenye pato .
Bado inakua zilipendwa??
Arusha ni ya pili kwa makusanyo ya TRARecent data Arusha imekua ya pili kwenye pato .
Bado inakua zilipendwa??
Hata kama , bado pato Lao litakua kubwa na kwakua wanachangia asilimia kubwa kwenye pato la Taifa,Arusha ni ya pili kwa makusanyo ya TRA
Pato ni mkusanyiko wa shughuli zote za kiuchumi kwenye eneo husika
Sibishani na data, ila kwa maono yangu dar haifai kuwa kwenye list wakazi wake wengi choka mbaya, shinyanga hususani kahama bila kuwa kwenye list sio sahihiMikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Takwimu za kupikaMikoa 10 ambayo Wananchi wake Wanaotajwa kuwa na Mapato makubwa na hivyo Wana Maendeleo kushinda maeneo mengine ya Nchi.
Takwimu hizi ni wastani wa Mapato ya mtu na yako Juu ya Wastani wa Nchi.(Figures in Millions Tanzania Shillings).
Orodha ya Top 10 mwa hesabu za mwaka 2023 Iko hivi ;
1. Dar =5.7
2. Iringa =4.7
3. Mbeya =4.4
4. Kilimanjaro =4.2
5. Ruvuma =3.7
6. Njombe =3.67
7. Arusha =3.66
8. Mwanza =3.5
9. Manyara =3.3
10. Tanga =3.2
My Take
1. Arusha inaanza kuwa zilipendwa.Manyara na Ruvuma are the Regions to Watch.
2. Credits : NBS,Tanzania in Figures,2023
View attachment 3061234
Angalizo
•Uchambuzi huu sio rasmi
Pia Soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania :Kagera namba 2, Dodoma namba 5.Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Kumbe una akili sana sema kuna kipindi unajizima data.Hata kama , bado pato Lao litakua kubwa na kwakua wanachangia asilimia kubwa kwenye pato la Taifa,
Basi wanastahili kuangaliwa kwa jicho la kipekee kwenye miradi ya maendeleo jambo ambalo halifanyiki.
Ingawa wanachakia bakubwa ila hawana hata stendi hapo mjini
Kuna maeneo ni makame mno maji hakuna.
Serikali inapaswa kuungalia huu mkoa kipekee.
Na wewe chemsha 😆😆Takwimu za kupika
Inawezekana naandika usichokipenda.Kumbe una akili sana sema kuna kipindi unajizima data.
Hizo takwimu zinachukuliwa kwenye kaya. Unaulizwa unazalisha nini kwa mwaka. Mfano. Miti ekari 100 , mahindi, maharagwe etc. Hivyo mbaazi za babati anayehesabiwa ni mkulimaUnajua hizi takwimu zina shida kubwa.
Mfano mbaazi inayolimwa huko Babati au Arusha ikiuzwa nje ya nchi kupitia bandari ya Dar hesabu za TRA zitasoma mapato ni Dar.