Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Hizi figure hazina uhalisia Mfanyabiashara yoyote wa mikoa ya Tanganyika akifikisha 1 billion na kuendelea juu anahamishiwa Dar.
 
mkoa wa Mara mnaweza kuonesha vyanzo vyake mpaka ikaipiku mikoa kama Morogoro na ikawa imepishana kidogo na Mwanza.
Madini hasa dhahabu , ( wachimbaji wakubwa Kwa wadogo) , mazao ya kilimo mtama, mahindi, muhogo, uvivu wa dagaa na samaki, note, dagaa ya mara ndio rahisi kwenda tunduma kuliko ya kagera, Kwa ufupi ni hivo plus mpaka wa silari lazima wapate chochote kitu
 
Uchambuzi wa awali nilioufanya umebainisha Mikoa 13 ambayo imechangia zaidi Mapato ya Kodi ya kuanzia Bilioni 60 na zaidi
"---uchambuzi wa awali NILIOUFANYA---" Hiki ndiyo kitu gani katika mada hii?
Huoni kuwa unakuwa limbukeni? Hata hiyo heshima ndogo tu ya angalao jitihada unazofanya kutafuta hizi habari unaidhalilisha?

Sasa tueleze, umeongeza kitu gani kwenye taarifa hiyo ambacho unaweza kueleza na kujivunia "uchambuzi"?
 
Dar inaonekana ipo juu wakati figure za makusanyo ya kodi inawasomba walipa kodi wakubwa wa mikoa yote ya Tanganyika.Large Tax Payers wote wamehamishiwa Dar.
Sijaelewa hapo Kwa sababu kundi la walipakodi wakubwa hakijahusika kwenye hizo takwimu,ziko independent kabisa na nimeeleza wazi kwenye mada.
 
Sasa wewe unauza Sambusa haya mambo ni makubwa sana kwako.
Wewe ni mbumbumbu, nimekwambia takwimu za Large Tax Payers hazijagawnywa Kimikoa Bali zimewekwa kiujumla na hazihesabiwi Dar kama unavyosema Bali zinalipwa huko huko Dar.

Makusanyo ya Dar ni independent.Kwenye jedwali la TRA utaona Figures za walipajo wakubwa ,Figures za Utalii, Property Tax OPMU MTD nk
 
We Pimbi hujui kitu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…