Mikoa 13 Kinara wa Kuchangia Kodi ya TRA mwaka 2023

Ni kwamba Mwanza watu wanakwepa kulipa kodi!! Au tatzo ni nn maana imezidiwa na vimikoa vya hovyo vingi hapo juu
Mkoa wa Hovyo ni Kagera na Ile top 10 ya Maskini wenzake 🤣🤣

Jibu ni kwamba Mwanza hakuna entry/exit points kama border posts au uwanja wa Kimataifa ambazo zinaingiza pesa nyingi.

Lakini pia ni kuzidiwa tuu na Kasi ya uwekezaji eg Dodoma haina boda ila imeizidi Mwanza.
 
Tabora na ukubwa wa mkoa bado ni poor😁😁😁😁
 
Mkuu kumbka Arusha ni kinara wa utalii
Kinara wa utalii, huo utalii unawasaidia nini kuinua uchumi wenu, wazungu wanakuja arusha kushangaa masai wenye mashuka na pumbuz zikiwa wazi mnajiona wajanja, GDP ndio uchumi.
 
Arusha kwa miaka mingi imekua ikichangia mno pato la Taifa lakini huduma muhimu hawapewi.

Stendi ya mkoa tu ya maana hakuna.

Barabara za lami chache, maeneo mengi ni vumbi tu.

Wamasai ni kunyanyaswa tu kwa kufukuzwa makazi yao ya asili.
Maendeleo sasahv ni Zenji na Pwani kwanza

Nyie wa Kaskazini mlishajiendeleza wenyewe
 
Hizi takwimu zimepikwa tu hawa kilimanjaro wana nini cha ziada ukitoa huo mlima ?? Hao Tanga wana maajabu gani kwanza nyumba zao zimechoka hivyo
 
Acha kujitafutia presha yaani ka Arusha unataka kapambane na jiji lenye mandevu kama Mwanza utachekesha marehemu.
Mkuu Takwimu ndio inasema sio mimi sio unaona mapato hata nusu ya Arusha hamfiki labda ng'ombe ndio mtuzidi
 
Nyie na Kagera tofauti yenu ni ndogo sana ,wote mnategemea Mapato kwenye import/export points ambazo ni Border posts na Viwanja vya ndege nothing else
Acha kupotosha wewe hayo ni Matusi kufananisha kichwa na kalio
 
Kinara wa utalii, huo utalii unawasaidia nini kuinua uchumi wenu, wazungu wanakuja arusha kushangaa masai wenye mashuka na pumbuz zikiwa wazi mnajiona wajanja, GDP ndio uchumi.
DU- ulizaliwa au ulitolewa tumboni kwa mama yako?
 
Mkuu Takwimu ndio inasema sio mimi sio unaona mapato hata nusu ya Arusha hamfiki labda ng'ombe ndio mtuzidi
Mnafurahia kodi ndogo kama hiyo na nyie ndio mnashikilia utalii wa nchi, ina maanisha utalii umeshuka sana kutoka kukusanya 500B adi 300B ina maanisha sekta ya utalii imeporomoka sana, mapato ya ngorongoro tu ni zaidi ya 250B bado serengeti mlitakiwa mkusanye kuanzia 1T, nyie ni underdog tu kwa Mwanza ambayo mapato yote yanatokana na wananchi wenyewe wala sio pesa za watalii wa kizungu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…