Pre GE2025 Mikoa ambayo Rais Samia na Lissu watachukua kura nyingi za Urais

Pre GE2025 Mikoa ambayo Rais Samia na Lissu watachukua kura nyingi za Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamabadiliko

JF-Expert Member
Joined
Oct 30, 2010
Posts
938
Reaction score
1,540
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema.

Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi

1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
 
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema. Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi
1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Kwa picha tu unaona mikoa inayo ipigia kura CCM ina hali gani kiuelewa, kiuchumi na kielimu.
 
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema. Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi
1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Huijui Pemba wewe .
 
GEITA Kwa kipindi hiki sidhani mkuu na hasa daraja linaenda kugeuza kabisa upepo ila pia mpaka SASA hakuna mtu CHADEMA WA kuisumbua CCM baada ya dada kuhama..... Kuna kajamaaa kakuitwa MANJALE kamejipanga hasa
 
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema. Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi
1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Tanzania Kuna Simba na Tanga na ccm
 
Arusha,Kilimanjaro na Manyara itoe ndg.
Hujawasikia wachaga na waarusha wanavodai CDM kukosea kumchagua Lissu?.
Unawajua hao watu walivoumia FAM kushindwa na TAL?.
Je unajua jinsi walivowabinafsi na wakanda ambapo watamuadhibu TAL na chama chake ili kuonekana hana ushawishi kanda ya kasikazini sawa FAM?.
MDA NI HAKIMU,IPO SIKU UTARUDI HAPA.
 
Back
Top Bottom