ANAESTHESIOLOGIST
Senior Member
- Dec 29, 2019
- 158
- 266
Ruvuma hata wakiamuka leo ,ule mkoa siasa haipo kabisaMkuu, leo Ruvuma wame amka!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ruvuma hata wakiamuka leo ,ule mkoa siasa haipo kabisaMkuu, leo Ruvuma wame amka!
Kwa lugha rahisi, ni kwamba Kanda ya ziwa Lissu anashinda, na anayeshinda kanda ya ziwa ndo ambaye anashinda Urais!!Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema. Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi
1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma
Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Mkuu, haukuwaona wale wa CHADEMA, walizwo ngangariRuvuma hata wakiamuka leo ,ule mkoa siasa haipo kabisa
Mkuu Kididimo unawashanga kwa lipi? Wameamka nipi; kwa maana sasa ni wakunja ngumi hodari?Nashangaa hato Singida kwa Lissu
Pemba kura za Uraisi wa JMT watampa Mzanzibar mwenzao, ila kura za Zanzibar hawampi mwinyiMkuu unaijua vizuri Pemba?
Nyota njema huonekana asubuhi.Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema. Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi
1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma
Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Hapo kwe Pemba na Samia umepotea mazima mzee, fanya tena utafiti wako.Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema. Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi
1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma
Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Inawezekana , licha ya yote ila kumbuka wazanzibari ni wabaguzi sana sana sana sana, Sisi Watanganyika ndo tunajifanya NeutralHapo kwe Pemba na Samia umepotea mazima mzee, fanya tena utafiti wako.
Pemba kura za Uraisi wa JMT watampa Mzanzibar mwenzao, ila kura za Zanzibar hawampi mwinyi
Umeulizwa Pemba unaifaham? Hawawez kumchagua Ccm hata kama ni mzanzibr, ww Wapemba huwajui vzr, ccm wanawafahamPemba kura za Uraisi wa JMT watampa Mzanzibar mwenzao, ila kura za Zanzibar hawampi mwinyi
Mkuu kwa tume ipi? Uchaguzi ukiwa huru na WA haki live, ccm Hali mbaya...Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema. Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi
1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma
Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Mkuu acha uwongo unajua maana ya siasa? Nchimbi anatokea mkoa Gani?Ruvuma hata wakiamuka leo ,ule mkoa siasa haipo kabisa
Siwezi kubisha labda wewe ndo mpemba mwenyewe, sasa basi hapo pemba naihamisha kwa Tundu LissuUmeulizwa Pemba unaifaham? Hawawez kumchagua Ccm hata kama ni mzanzibr, ww Wapemba huwajui vzr, ccm wanawafaham
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema. Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi
1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe
Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma
Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Tabora huwambii kitu kuhusu CCMTabora NO
It's a day dream. Tatizo mna takwim za mijini. Njooni vijijini muone uhalisia wa CCM ilivyojikitaKwa lugha rahisi, ni kwamba Kanda ya ziwa Lissu anashinda, na anayeshinda kanda ya ziwa ndo ambaye anashinda Urais!!
Kwa mantiki hiyo Lissu ndo Rais wa 2025 October,
Kanda ya ziwa Ina population ya watu asilimia 20% ya watanzania wote.
Yaani Mwanza,Mara, Geita, Simiyu, Kagera.
Ni kanda yenye watu wengi, wapiga kura wengi, ambao watafanya LISSU awe Rais wa Tz.
Samia anatakiwa kujiandaa kwenda kizimkazi.akalee wajukuu!!!