Pre GE2025 Mikoa ambayo Rais Samia na Lissu watachukua kura nyingi za Urais

Pre GE2025 Mikoa ambayo Rais Samia na Lissu watachukua kura nyingi za Urais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema.

Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi

1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Pemba wala usingeiandika kwa ushindani hakuna ccm wakuishindisha huko.
 
Pemba kura za Uraisi wa JMT watampa Mzanzibar mwenzao, ila kura za Zanzibar hawampi mwinyi
Hawampi hata huyo ccm nakuambia labda wafanye hayo ya hujuma ya kupeleka policcm wa kukodi ili wakafanya hujuma za wizi na kuwaua.
 
It's a day dream. Tatizo mna takwim za mijini. Njooni vijijini muone uhalisia wa CCM ilivyojikita
Mambo ni tofauti, mimi nipo vijijini, Vijana wamehamasika na mabadiliko, au vijiji gani ulipo
 
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema.

Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi

1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Singida utaenda na Lissu ila kama kutakuwa na uchaguzi wa huru na haki! Vinginevyo CCM ataendelea kuwika kwa kura za wizi! Katavi imeshakuwa ya Wasukuma hivyo itaenda kwa Lissu!
 
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema.

Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi

1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,

Mnakurupuka sana bila mabadiliko hakuna chaguzi. Usalama na Polisi lini watahesabu kura tuache ujinga wa kujidanganya 😂. No reform no election.Tuanzie hapo acheni mapepe
 
GEITA Kwa kipindi hiki sidhani mkuu na hasa daraja linaenda kugeuza kabisa upepo ila pia mpaka SASA hakuna mtu CHADEMA WA kuisumbua CCM baada ya dada kuhama..... Kuna kajamaaa kakuitwa MANJALE kamejipanga hasa
Upinzani huwa unapigiwa kura za urais ila grassroots ndio CCM ina dominate. Yaani ni rahisi kumpigia Kura Lissu ila ubunge ukampatia CCM!!

In case na Mpina akaja upande huu, aisee CCM watatafutana kama 2015.
 
Arusha,Kilimanjaro na Manyara itoe ndg.
Hujawasikia wachaga na waarusha wanavodai CDM kukosea kumchagua Lissu?.
Unawajua hao watu walivoumia FAM kushindwa na TAL?.
Je unajua jinsi walivowabinafsi na wakanda ambapo watamuadhibu TAL na chama chake ili kuonekana hana ushawishi kanda ya kasikazini sawa FAM?.
MDA NI HAKIMU,IPO SIKU UTARUDI HAPA.
Hamna lolote, Lema na Golugwa wana ushawishi kaskazini na wote wapo kwa Lissu!! Na hiyo oktoba usishangae Mbowe akampigia kampeni kaskazini nzima.

Pia karatu ni opposition miaka mingi, huyo Lissu atazoa kura za bure huko hawana habari na mambo ya Mbowe. Mind you viongozi wa Karatu waliita press na wakamkataa mbowe hadharani
 
It's a day dream. Tatizo mna takwim za mijini. Njooni vijijini muone uhalisia wa CCM ilivyojikita
Wewe ni BOGA,hakuna Cha maana ulichojibu!!

Kwahiyo takwimu zipi sahihi?? By the way UJINGA BNI MZIGO!!!
Hongera kwa kuchagua UJINGA
 
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema.

Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi

1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
Tabora itoe huku kwa Lisu ipeleke kwa Samia mkuu tabora hua maccm
 
GEITA Kwa kipindi hiki sidhani mkuu na hasa daraja linaenda kugeuza kabisa upepo ila pia mpaka SASA hakuna mtu CHADEMA WA kuisumbua CCM baada ya dada kuhama..... Kuna kajamaaa kakuitwa MANJALE kamejipanga hasa
Geita haitabiriki,kwenye uchaguz wa serikali za mitaa walichagua upinzan matokeo yakachakachuliwa kila mahali,mazingira ya uchaguz yakiwa huru na haki Sion CCM ikipenya,Kwa ujumla Kaz ipo
 
Mikoa ya juu ya watu waliodumaa kiakili na chini ni watu waliopevuka kifikra
 
Si rahisi usemayo. Huwezi kuitoa CCM kwa takwimu hizo. Mikoa yote Samia anashinda kwa kishindo, hapa hakuna mikoa ya wajinga wala werevu. Kwa tume ipi upinzani ushinde.
 
Siasa za Tanzania ni Za kutabirika, Kwasasa tukiweka mambo ya maridhiano kwenda vizuri, yaani kuwe na uchaguzi huru na wa Haki basi uchaguzi wa Urais utakuwa Mrais na Kwa kiasi kikubwa tunajua matokeo yatakavyokuwa kimkoa, nina amini kutokana na siasa za kukubalika kwa CCM na Chadema kwa mikoa ya Tanzania , ninawiwa kusema na kutaja mikoa ambayo wataongoza kura za Urais kati ya Samia wa CCM na Lissu wa Chadema.

Wagombea wengine kutoka ACT na CUF na vyama vingine sidhani kama wana uwezo wa kushinda hata Mkoa mmoja kwenye kura za urais, sana sana nafahamu Jimbo la kigoma linaenda kwa zito, jimbo la hai, Mbowe, Ubungo Bon Yai, arusha Lema, Dodoma mAVUNDE, MUHEZA ADADI RAJABU, TANGA MJINI UMMY MWALIMU,

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo CCM na Samia wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa/Nchi na si ki idadi

1. Dodoma
2. Pwani
3. Singida
4. Morogoro
5. Ruvuma
6. Lindi,
7.Mtwara
8.Rukwa
9. Iringa
10. Songwe
11.Pemba
12.Unguja
13. Tanga
14.Katavi
15. Njombe

Sasa kwa ushawishi hii ndio mikoa ambayo Chadema na Lissu wataongoza Kura za Urais yaani majumuisho ya kura za urais, na hii nazungumzia kimkoa na si ki idadi
1. Dar es salaam
2. Mwanza
3. Arusha
4. Mara
5.Kagera
6 Tabora
7. Kilimanjaro
8.Manyara
9. Simiyu
10 . Shinyanga
11. Mbeya
12. Geita
13. Kigoma

Huo ni utabiri kulingana na ukubalikaji wa mtu fulani katika eneo fulani,
CCM DAIMA SAMIA MITANO TENA
 
Back
Top Bottom