The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Great thinkers.
África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.
Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.
1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?
África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.
Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.
1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?