Mikoa ambayo watu wake hawarogani sana

Mikoa ambayo watu wake hawarogani sana

Great thinkers.

África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.

Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.

1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?
apo #3 ondoa kwanza hlf tukutajie wengne
 
Great thinkers.

África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.

Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.

1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?
Kigoma
 
Great thinkers.

África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.

Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.

1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?
Umetumia research gani mkuu?
 
Great thinkers.

África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.

Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.

1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?
Kagera zile Nyaruju?

Pia wana utaalamu wa kuiba akili kutoka kwa mtoto mwenye uwezo darasani
 
Dar maeneo wanayoishi Waislamu wengi ndipo kuna wachawi.
 
Great thinkers.

África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.

Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.

1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?
Ondoa
Dodoma
Kagera
Singida
Weka kilimanjaro
 
Uk
Ni makosa sana hakuna mkoa uliosafi kama Kilimanjaro katika mambo hayo ikifuatiwa na Arusha labda na Manyara. Haimaanishi hakuna uchawi kabisa maeneo haya bali unafuu ni mkubwa.
Uko sahihi
 
Kwenye hiyo orodha kwa mkoa wa Mara ndio upo sahihi.
 
Back
Top Bottom