The Burning Spear
JF-Expert Member
- Dec 23, 2011
- 4,118
- 9,864
Dar waongo waongo wengi na mikwara kibao Hakuna cha maanaEti dar hakuna wachawi.
Wewe huijui dar vyema
Njoo Buza kwa lulenge uone
Leta uzoefu siamini kama wanyiramba nao ni wichawi kama wasukumaSingida unaijua au unaisikia?
Ndo maana nikasema wachawi wa dar wengi ni wahuni tuDar kuna wachawi kama wote mwanangu! Wachawi wote kutoka mikoani wamejikusanya dar eti nao wanatafuta fursa
Dodoma Amani na salamaJipge kifuan na useme Mm bado mgeni mjn hapa... Maeneo yenye uchaw wa hatar n pamoja na singda arusha manyara uko awakurog ue mwehu ila kama n kijana unaejielewa unalogewa pombe utakunywa pombe mpaka upotee kwenye raman za utafutaji, upande wa mabint ni kupgwa mkosi mmoja hata ue mzur vp uolew unakua mama huruma tu utabless masela uku unazeekea nyumban na kuzalia nyumban.. rud mezan uandae data zako upya
Kuroga wanaume wasiwaaçhe tuu, hakuna çha zaidi kàma kupiga radi wàtu.Singida ni hatar tupu acha kabisa
Ni makosa sana hakuna mkoa uliosafi kama Kilimanjaro katika mambo hayo ikifuatiwa na Arusha labda na Manyara. Haimaanishi hakuna uchawi kabisa maeneo haya bali unafuu ni mkubwa.Great thinkers.
África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.
Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.
1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?
Sure Kilimanjaro niliisahau aiseeNi makosa sana hakuna mkoa uliosafi kama Kilimanjaro katika mambo hayo ikifuatiwa na Arusha labda na Manyara. Haimaanishi hakuna uchawi kabisa maeneo haya bali unafuu ni mkubwa.
SawaKama ni GT, huwezi amini, shabikia, kupenda wala kuzungumzia uchawi!
Hizo Imani ni za mazuzu, wajinga, wapumbavu, wavivu, matapeli, wenye husuda, makatili, roho mbaya!
Wakinga wanatokea mkoa upi?Iringa tu hamna hizo vitu vya ajabu 😏
Endelea kuhisi,ila kuloga ni tabia ya mtu sio kabilaGreat thinkers.
África Kwa uchawi tunatisha. Inasemekana 90% ya waafrica wanaaami katika uchawi na huwa wanaenda Kwa waganga mambo yakienda kombo.
Mikoa ifuatayo nahisi Hakuna wachawi wengi hapa Tanzania.
1. Dar
2. Mara
3. Dodoma
4.Kagera
5. Manyara
6.Arusha
7. Singida.
Kwa uelewa Wangu hii ni mikoa salama dhidi ya uchawi.
Je wewe unaonaje?