Mikoa ambayo watu wake hawarogani sana

apo #3 ondoa kwanza hlf tukutajie wengne
 
Kigoma
 
Umetumia research gani mkuu?
 
Kagera zile Nyaruju?

Pia wana utaalamu wa kuiba akili kutoka kwa mtoto mwenye uwezo darasani
 
Dar maeneo wanayoishi Waislamu wengi ndipo kuna wachawi.
 
Ondoa
Dodoma
Kagera
Singida
Weka kilimanjaro
 
Uk
Ni makosa sana hakuna mkoa uliosafi kama Kilimanjaro katika mambo hayo ikifuatiwa na Arusha labda na Manyara. Haimaanishi hakuna uchawi kabisa maeneo haya bali unafuu ni mkubwa.
Uko sahihi
 
Kwenye hiyo orodha kwa mkoa wa Mara ndio upo sahihi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…