Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
sooo means umewahiSijawahi,ila nimekata sana wake za watu na michepuko yao
Kudinyana ndo kufanya nn 😎Kwel tunadinyana vichakani,, hakika nmelia sana
Typo,nimekamatasooo means umewahi
nilijua tu utaelewa 😂😂😂Eh Unazungumzia nyoka au hawa nyoka nyoka? 😎
Bhana sijaelewa c ndo mana nmeuliza ili unieleweshenilijua tu utaelewa 😂😂😂
Nanukuu: "Mikoa yenye wafugaji wengi hii kitu si cha ajabu".Mikoa yenye wafugaji wengi hii kitu si cha ajabu. Ila kwa pemba wana level fulani ya poverty and somehow primitive
Kwaio hata wadudu wa chuga wako top five.
Dar hakuna kichaka.DAR haipo kumbe
Dodoma hamkosekaniwe mbona umeenda mbali sana
Hakuna anayepiga chabo. Ukipewa dodoso na ukajibu kiukweli kwamba nyumbani huna choo na wala hutumii ndoo, ni moja kwa moja ww unajisaidia vichakani japokuwa hukusema hivyo.wanajuaje
Au kuna mtu wanamtuma anapiga chabo
Huko nyikani wanatembea na bunda la tissue paper, kidumu cha maji au ndo mwendo wa mseleleko kwenye mawe na nyasi?🤣🤣Nanukuu: "Mikoa yenye wafugaji wengi hii kitu si cha ajabu".
Uko sahihi kabisa mkuu.
Sababu yake ni ukweli usiopingika kwamba wafugaji hupeleka mifugo yao maporini kulisha. Huko maporini hakuna vyoo na haiwezekani mchungaji aliache kundi lake kurudi nyumbani eti anaenda kujisaidia. Hiyo haipo - anamalizana papo hapo porini na anaendelea taaratibu kuchunga mifugo yake isiingie mashambani.
nmekaa offline sku 2 nkajua umenisahau😂😂Dodoma hamkosekani
Mun'zeeh! Eti tissue na kidumu maji? We bhana wee! Under field conditions ni mwendo wa majani mapana (kama yapo) vinginevyo ni sun/wind dried sanitation - kwisha. Wale wadogo hakuna kinachofanyika.Huko nyikani wanatembea na bunda la tissue paper, kidumu cha maji au ndo mwendo wa mseleleko kwenye mawe na nyasi?🤣🤣
Nakusahauje na kwenu mna mambo ya vichakaninmekaa offline sku 2 nkajua umenisahau😂😂
sjaona kiulzoBhana sijaelewa c ndo mana nmeuliza ili unieleweshe