Mikoa inayoongoza kwa watu kujisaidia vichakani, maporini na baharini

Mikoa inayoongoza kwa watu kujisaidia vichakani, maporini na baharini

Inakubidi kuwa makini kwenye kuchagua majani ya kujisafishia, ukibugi utajikuta unachuma majani ya Upupu 😜🙌
😂😂😂🙌 Aiseee!!
Babu na kuna wale wanaotumia vigunzi haviwachuni??
Nilienda Malawi nilishangaa toilet kuna majani ya mgomba, nikawaambia msinitanie nileteeni maji 😹😹😹
 
Hakuna anayepiga chabo. Ukipewa dodoso na ukajibu kiukweli kwamba nyumbani huna choo na wala hutumii ndoo, ni moja kwa moja ww unajisaidia vichakani japokuwa hukusema hivyo.
Basi wanaweza kudanganywa
 
Kwamba Kuna Faida za kutita Maporini?🙌

Ndiyo kwanza inaweza kuleta magonjwa ya kuhara na kipindupindu
Mkuu; ili upate magonjwa ya kuhara na kipindupindu ni sharti/lazima kwanza ule (eat) kinyesi i.e. mavi ya mwenye ugonjwa huo. Usipokula hutapata uambukizo wa magonjwa hayo. Utakulaje ? hiyo ni somo refu.
Faida za kutita maporini:-
1. Kukamilisha au kuendeleza mzunguko (circle) wa virutubisho(Nutrients) katika ardhi. e.g. Mimea hufyonza nutrients kutoka ardhini na tunapokula mazao ya mimea ugali,mihogo, viazi, maharage n.k. halafu tukaenda kupoo chooni (choo cha shimo) inakuwa hatuitendei haki ardhi kwani hatuirudishii ardhi virutubisho vilivyo tumika kuistawisha mimea tuliyokula mazao yake. Hiyo ni dhulma dhidi ya ardhi.
2. UnapoTita porini unakuwa huru zaidi kwani unaweza kuona ni kitu gani kinaendelea e.g. ww ni mlinzi halafu unaenda kupoo chooni na unajifungia kwa mlango.- Hulioni lindo lako.
3. Mzunguko wa "hewa" porini ni mzuri zaidi kuliko kujifungia ndani na unanusa hewa yako mwenyewe na ya wenzako waliotangulia humo chooni.
4.Baadhi ya vyoo ni hatarishi sana esp. vile vya mashimo na unakaa juu yake Perpendicular ili kulengesha kwenye tobo. Hapo inaweza kudidimia ghafla. Lakini porini hiyo kitu kamwe haipo -unajisevia kwa Amani kabisa bila hofu.
5. Porini ni mahali popote na wakati wowote. Hakuna gharama ila tu ni wewe kufanya uchaguzi i.e. Nitumie pori lipi. La msingi hapo ni ww kuona kama kuna mtu anakuja pale ulipo au anaweza kukuona (mpiga chabo) unakohoa au unajiziba uso kwani mtu ni Usoni tuu. Huwezi kujulikana.
6. Ni rahisi kuona umetoa kitu cha namna gani jambo amblo ni muhimu kwa kufuatilia mustakabali wa afya yako. e.g. Ukiangalia ukaona mzigo umechanganyia na damu unachukua hatua za haraka kwenda kituo cha Afya na kumweleza daktari.
7. Ni rahisi sana kugundua kama watoto wako wamepata uambukizo wa minyoo kwani ww kama mzazi utaiona minyoo live kwenye kinyesi chao walichotoa hapo.
 
😂😂😂🙌 Aiseee!!
Babu na kuna wale wanaotumia vigunzi haviwachuni??
Nilienda Malawi nilishangaa toilet kuna majani ya mgomba, nikawaambia msinitanie nileteeni maji 😹😹😹
Bora miaka yenu Siku hizi Kaya nyingi Zina vyoo bora

Sisi Mwaka 47 ilikuwa unaweza kukuta Kaya 15 zenye choo labda Kaya 2 ama 3 tu 🙌
 
Mkuu; ili upate magonjwa ya kuhara na kipindupindu ni sharti/lazima kwanza ule (eat) kinyesi i.e. mavi ya mwenye ugonjwa huo. Usipokula hutapata uambukizo wa magonjwa hayo. Utakulaje ? hiyo ni somo refu.
Faida za kutita maporini:-
1. Kukamilisha au kuendeleza mzunguko (circle) wa virutubisho(Nutrients) katika ardhi. e.g. Mimea hufyonza nutrients kutoka ardhini na tunapokula mazao ya mimea ugali,mihogo, viazi, maharage n.k. halafu tukaenda kupoo chooni (choo cha shimo) inakuwa hatuitendei haki ardhi kwani hatuirudishii ardhi virutubisho vilivyo tumika kuistawisha mimea tuliyokula mazao yake. Hiyo ni dhulma dhidi ya ardhi.
2. UnapoTita porini unakuwa huru zaidi kwani unaweza kuona ni kitu gani kinaendelea e.g. ww ni mlinzi halafu unaenda kupoo chooni na unajifungia kwa mlango.- Hulioni lindo lako.
3. Mzunguko wa "hewa" porini ni mzuri zaidi kuliko kujifungia ndani na unanusa hewa yako mwenyewe na ya wenzako waliotangulia humo chooni.
4.Baadhi ya vyoo ni hatarishi sana esp. vile vya mashimo na unakaa juu yake Perpendicular ili kulengesha kwenye tobo. Hapo inaweza kudidimia ghafla. Lakini porini hiyo kitu kamwe haipo -unajisevia kwa Amani kabisa bila hofu.
5. Porini ni mahali popote na wakati wowote. Hakuna gharama ila tu ni wewe kufanya uchaguzi i.e. Nitumie pori lipi. La msingi hapo ni ww kuona kama kuna mtu anakuja pale ulipo au anaweza kukuona (mpiga chabo) unakohoa au unajiziba uso kwani mtu ni Usoni tuu. Huwezi kujulikana.
6. Ni rahisi kuona umetoa kitu cha namna gani jambo amblo ni muhimu kwa kufuatilia mustakabali wa afya yako. e.g. Ukiangalia ukaona mzigo umechanganyia na damu unachukua hatua za haraka kwenda kituo cha Afya na kumweleza daktari.
7. Ni rahisi sana kugundua kama watoto wako wamepata uambukizo wa minyoo kwani ww kama mzazi utaiona minyoo live kwenye kinyesi chao walichotoa hapo.
Mkuu pamoja na points nyingi ulizoandika kusindikiza jibu lako, lakini haunishawishi kurudia zama za Mwaka 47 kutita Maporini.

Hivi unapata wapi Maji tiririka kwaajili ya kujisafisha baada ya kutita?

Angalia takwimu miaka ya nyuma ambapo hatukuwa na vyoo bora jinsi hali ya Kipindupindu ilivyokuwa kubwa.
 
Back
Top Bottom