Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Hy akili ndio unyama sasam najisaidia vichakani
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hy akili ndio unyama sasam najisaidia vichakani
watoto watakua vitukoHy akili ndio unyama sasa
Wazazi vituko, watoto vituko 😂watoto watakua vituko
Huko ni neema ya Mungu ndiyo iliyotuvusha Mkuu...Mkuu; Kipindupindu kinatamalaki pale penye mkusanyiko wa watu na katika wingi wao, wapo wengi hawajali habari ya usafi binafsi na mazingira. Kama watu wanaishi kwa mtawanyiko mzuri; kuenea au mlipuko wa magonjwa wa kipindupindu na kuharisha ni nadra sana. Hakuna mtu anayepeleka viini vya uambukizo bacteria etc kwa wengine.Hakuna usambazaji.
Duh! Unauliza habari ya maji tiririka? Huku kwetu kipaumbele ni maji ya kunywa na kupikia. Hata ile covid iliyokuja na habari za majitiririka na sanitizers, kuvaa barakoa e.tc. tuliisikia tu lakini haikujitokeza kwetu.
Sijakushawishi mkuu uende porini kwani kupanga ni kuchagua.
hio nyumba itakua milembe😂Wazazi vituko, watoto vituko 😂
sasa wewe,,nmetoka shambani,,nibane hadi nkakute nyumba ni choo🤣Acha hizo Njombe sehemu gani hakuna vyoo wakati huko kampeni ya nyumba ni choo ilipamba moto?
Acha masikhara Njombe Wapo level nyingine acha uchochezi!
😁
Labda useme shambanisasa wewe,,nmetoka shambani,,nibane hadi nkakute nyumba ni choo🤣
😂😂😂 M'bena wawapi wewe unatetea sana,, kamwene veyaLabda useme shambani
Hiyo ripoti inahusu majumbani vyoo hakuna na Sio mashambani hujaelewa tu,
Huko pemba wanatoka home na kwenda kata gogo kwenye mikoko au beach without any imergence elewa concept sauwaaaa?
😁😁
Upo Njombe sehemu gani nije tunyanduane kwa pine pine 🌲 tree?yaani tunanyanduana vichakani na barid hii
mi nataka mihekya bwan ndo inashona vizur 😂😂,,Upo Njombe sehemu gani nije tunyanduane kwa pine pine 🌲 tree?
😂😂
Kagera wanasemaga hakuna vyoo bora sio kwamba hawana vyoo.Nimefirahia Kagera hatuna hizo tabia chafu
Aisee basi sawa na hili baridi itapendeza tukutane wangama kwa mbele kidogo pale unapoanzia TANWAT!mi nataka mihekya bwan ndo inashona vizur 😂😂,,
Hahah hapo kina Amdala na Nassoro wanakuaga serious sana. Wakitoka hapo haya machogo ya bara ati.Ndiyo maana panaitwa makunduuchi na jambiani.
Mikoa yenye wafugaji wengi hii kitu si cha ajabu. Ila kwa pemba wana level fulani ya poverty and somehow primitives
Kichaka cha nani, Pemba mambo baharini, kwa raha zao.Dah pisi za kipemba na ile rangi ya mtume kumbe wana nnya vichakani FaizaFoxy tupe muongozo maana huko karibia 100% ni wale ndugu zetu waliotuletea ustaarabu wabara, ila kumbe wana nnya vichakani,, ndo maana unamaind nyumba za self kontena kumbe mnapenda vichaka