Mikoa inayoongoza kwa watu kujisaidia vichakani, maporini na baharini

Mikoa inayoongoza kwa watu kujisaidia vichakani, maporini na baharini

"poverty" Pemba? Huijuwi Pemba wewe.

Pemba wana utajiri kuliko mikoa mingi ya Tanzania. Karafuu, Samaki na ni wafanyaboiashara waliotapakaa takriban dunia nzima.

Sema Wapemba wapo "down to earth" hawana israfu, ukiwaona utadhani wapo duni au mafukara, kumbe ni kinyume chake. Ukiwaona watu wapo duni kiuchumi Pemba ujuwe hao ni wahamiaji kutoka bara, mpaka leo hiyo, watwana wanapelekwa huko wakalime.

Pemba imezungukwa na bahari, watu wa ufukweni karibia wote hawana sehemu za kuchimba mashimo ya vyoo, ukichimba maji yanajaa dakika hiyo hiyo. Yanini tabu na raha ipo? Bahari ipo karibu na haiweki uchafu.
Ulichoongea ni nini sasa? Pemba ipi unayozungumzia ya msumbiji au.Ni kweli wapemba ni wafanyabiashara wazuri lakini Hilo haliondoi kuwa jamij kubwa ni duni.Samaki wa kuvua na mitumbwi hata bara ukanda wa pwani wapo.Pemba Iko nyuma sababu ni Moja au mbili ila pia wapemba wakiondoka hawarudi nyumbani mazima wanarudi kuongeza wake tu.Pia mnaondoke kwenye ujima wapemba Bado ni wajima
 
Ulichoongea ni nini sasa? Pemba ipi unayozungumzia ya msumbiji au.Ni kweli wapemba ni wafanyabiashara wazuri lakini Hilo haliondoi kuwa jamij kubwa ni duni.Samaki wa kuvua na mitumbwi hata bara ukanda wa pwani wapo.Pemba Iko nyuma sababu ni Moja au mbili ila pia wapemba wakiondoka hawarudi nyumbani mazima wanarudi kuongeza wake tu.Pia mnaondoke kwenye ujima wapemba Bado ni wajima
Narudia, huijuwi Pemba, unakisia tu.

Wapemba hawana uduni kabisa. Unaongelea samaki tu, mbona huongelei na karafuu?

Don't judge the book by its cover.
 
Huko ni neema ya Mungu ndiyo iliyotuvusha Mkuu...

Wanasema kinga ni bora kuliko tiba, muhimu kuchukua tahadhali Mkuu, ndiyo maana pamoja na kushindwa kununua vidonge vya kutibu Maji miaka ile, maarufu kama Waterguards bado Wananchi tulipewa Elimu kuhusu kuchemsha Maji ya kunywa na kuyachuja.
Ni kweli na sahihi kabisa kwamba enzi zile za ujinga wetu Mungu alituvusha ktk majanga mbalimbali- tuliyokuwa tunayajua na hata yale tuliyokuwa hatuyajui. Lakini kwa kuwa sasa tumeshajua; Mungu naye amesitisha au amepunguza kutupiga tafu na ametuacha ili tutumie Akili zetu na Maarifa aliyotujalia ili tuweze kupambania ustawi wetu wenyewe. Ukijilegeza ujue utakwenda na maji.
 
Ni kweli na sahihi kabisa kwamba enzi zile za ujinga wetu Mungu alituvusha ktk majanga mbalimbali- tuliyokuwa tunayajua na hata yale tuliyokuwa hatuyajui. Lakini kwa kuwa sasa tumeshajua; Mungu naye amesitisha au amepunguza kutupiga tafu na ametuacha ili tutumie Akili zetu na Maarifa aliyotujalia ili tuweze kupambania ustawi wetu wenyewe. Ukijilegeza ujue utakwenda na maji.
Umeongea sahihi sana Mkuu 👏👏👏🙏🙏
 
Siyo kufuga tu hata kilimo cha mwani wanalima majini.

Wewe unaweza kulima majini? Nchi kavu imekushinda mpaka aje Bashe kuwafundisha.
Kuiba sukari au??? Mkawafundishe huko mombasa ,ushaona huku watu wanalia njaa njaa kama hao wenzenu wa huko Kenya,,,,,,,ilibidi wasomali wa huko waache kufanya ugaidi waanze kulima kwanza hapo Kenya
f7fc10aca6bf0d445603f46c2b711295053bc474.jpeg.jpg
 
Kuiba sukari au??? Mkawafundishe huko mombasa ,ushaona huku watu wanalia njaa njaa kama hao wenzenu wa huko Kenya,,,,,,,ilibidi wasomali wa huko waache kufanya ugaidi waanze kulima kwanza hapo Kenya

Ulikuwa unaibiwa mpaka bei imefika kilo 10,000 kaja mbabe wa Kisomali kakuokowa unamuona mbaya.

Kweli shukran ya punda mashuzi.
 
Ulikuwa unaibiwa mpaka bei imefika kilo 10,000 kaja mbabe wa Kisomali kakuokowa unamuona mbaya.

Kweli shukran ya punda mashuzi.
Tunaibiwa kinyesi kichakani au?? Ngoja yule mtaalam afanye mambo.....
 
Back
Top Bottom