Zanzibari kulikoni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zanzibari kulikoni
Ulichoongea ni nini sasa? Pemba ipi unayozungumzia ya msumbiji au.Ni kweli wapemba ni wafanyabiashara wazuri lakini Hilo haliondoi kuwa jamij kubwa ni duni.Samaki wa kuvua na mitumbwi hata bara ukanda wa pwani wapo.Pemba Iko nyuma sababu ni Moja au mbili ila pia wapemba wakiondoka hawarudi nyumbani mazima wanarudi kuongeza wake tu.Pia mnaondoke kwenye ujima wapemba Bado ni wajima"poverty" Pemba? Huijuwi Pemba wewe.
Pemba wana utajiri kuliko mikoa mingi ya Tanzania. Karafuu, Samaki na ni wafanyaboiashara waliotapakaa takriban dunia nzima.
Sema Wapemba wapo "down to earth" hawana israfu, ukiwaona utadhani wapo duni au mafukara, kumbe ni kinyume chake. Ukiwaona watu wapo duni kiuchumi Pemba ujuwe hao ni wahamiaji kutoka bara, mpaka leo hiyo, watwana wanapelekwa huko wakalime.
Pemba imezungukwa na bahari, watu wa ufukweni karibia wote hawana sehemu za kuchimba mashimo ya vyoo, ukichimba maji yanajaa dakika hiyo hiyo. Yanini tabu na raha ipo? Bahari ipo karibu na haiweki uchafu.
Arusha na Manyara ni juu ya sisi ma njeree mda mwingi tuko pori sasa choo tunatoa wapiGeita,manyara
Narudia, huijuwi Pemba, unakisia tu.Ulichoongea ni nini sasa? Pemba ipi unayozungumzia ya msumbiji au.Ni kweli wapemba ni wafanyabiashara wazuri lakini Hilo haliondoi kuwa jamij kubwa ni duni.Samaki wa kuvua na mitumbwi hata bara ukanda wa pwani wapo.Pemba Iko nyuma sababu ni Moja au mbili ila pia wapemba wakiondoka hawarudi nyumbani mazima wanarudi kuongeza wake tu.Pia mnaondoke kwenye ujima wapemba Bado ni wajima
Siyo kufuga tu hata kilimo cha mwani wanalima majini.Utajiri wa kufuga majini
Sio sababu! Nyie mnapenda kuachia mzigo hovyoArusha na Manyara ni juu ya sisi ma njeree mda mwingi tuko pori sasa choo tunatoa wapi
hivi zanzibar kunavichaka vingi sana hee
Dear. For real?Sio sababu! Nyie mnapenda kuachia mzigo hovyo
YesDear. For real?

Ni kweli na sahihi kabisa kwamba enzi zile za ujinga wetu Mungu alituvusha ktk majanga mbalimbali- tuliyokuwa tunayajua na hata yale tuliyokuwa hatuyajui. Lakini kwa kuwa sasa tumeshajua; Mungu naye amesitisha au amepunguza kutupiga tafu na ametuacha ili tutumie Akili zetu na Maarifa aliyotujalia ili tuweze kupambania ustawi wetu wenyewe. Ukijilegeza ujue utakwenda na maji.Huko ni neema ya Mungu ndiyo iliyotuvusha Mkuu...
Wanasema kinga ni bora kuliko tiba, muhimu kuchukua tahadhali Mkuu, ndiyo maana pamoja na kushindwa kununua vidonge vya kutibu Maji miaka ile, maarufu kama Waterguards bado Wananchi tulipewa Elimu kuhusu kuchemsha Maji ya kunywa na kuyachuja.
😂
au ndo manake huko pemba wanaokula nyama ya kasa wanakufa nini!!!!! okay,,,kumbe wanakula kinyesi chao,manake kasa wanaishi baharini!!
Umeongea sahihi sana Mkuu 👏👏👏🙏🙏Ni kweli na sahihi kabisa kwamba enzi zile za ujinga wetu Mungu alituvusha ktk majanga mbalimbali- tuliyokuwa tunayajua na hata yale tuliyokuwa hatuyajui. Lakini kwa kuwa sasa tumeshajua; Mungu naye amesitisha au amepunguza kutupiga tafu na ametuacha ili tutumie Akili zetu na Maarifa aliyotujalia ili tuweze kupambania ustawi wetu wenyewe. Ukijilegeza ujue utakwenda na maji.
Kuiba sukari au??? Mkawafundishe huko mombasa ,ushaona huku watu wanalia njaa njaa kama hao wenzenu wa huko Kenya,,,,,,,ilibidi wasomali wa huko waache kufanya ugaidi waanze kulima kwanza hapo KenyaSiyo kufuga tu hata kilimo cha mwani wanalima majini.
Wewe unaweza kulima majini? Nchi kavu imekushinda mpaka aje Bashe kuwafundisha.
Tunajua kwanini mnasifia wasomali.....Siyo kufuga tu hata kilimo cha mwani wanalima majini.
Wewe unaweza kulima majini? Nchi kavu imekushinda mpaka aje Bashe kuwafundisha.
Labda mtwara ila Lindi nadhani hawakufikiwaLindi na mtwara zimepumzishwa Leo
Tunajua kwanini mnasifia wasomali.....
Huu mwaka lazima pachimbike......takbiiiirrrr
Nimekunya kichakani kama mpemba piga makofi jameniBasi wewe hodari, ulitaka tukusifie wewe na hakuna la maana ulilolifanya toka uzaliwe?
Kuiba sukari au??? Mkawafundishe huko mombasa ,ushaona huku watu wanalia njaa njaa kama hao wenzenu wa huko Kenya,,,,,,,ilibidi wasomali wa huko waache kufanya ugaidi waanze kulima kwanza hapo Kenya
Tunaibiwa kinyesi kichakani au?? Ngoja yule mtaalam afanye mambo.....Ulikuwa unaibiwa mpaka bei imefika kilo 10,000 kaja mbabe wa Kisomali kakuokowa unamuona mbaya.
Kweli shukran ya punda mashuzi.