Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Shukrani ya msomali kitimoto na biaUlikuwa unaibiwa mpaka bei imefika kilo 10,000 kaja mbabe wa Kisomali kakuokowa unamuona mbaya.
Kweli shukran ya punda mashuzi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shukrani ya msomali kitimoto na biaUlikuwa unaibiwa mpaka bei imefika kilo 10,000 kaja mbabe wa Kisomali kakuokowa unamuona mbaya.
Kweli shukran ya punda mashuzi.
Hii Kali ....Pemba imezungukwa na bahari, watu wa ufukweni karibia wote hawana sehemu za kuchimba mashimo ya vyoo, ukichimba maji yanajaa dakika hiyo hiyo. Yanini tabu na raha ipo? Bahari ipo karibu na haiweki uchafu.
Sis. Nimekuandikia private.Shimba, what did I do to you? Mbona kunifanyia hivi? What did I do to deserve this?
Hapana sio arusha hakuna mtu ambaye hana.vyoo arushaArusha na Manyara ni juu ya sisi ma njeree mda mwingi tuko pori sasa choo tunatoa wapi
Kwahiyo MKOA wako unaongoza kwa watu kujisaidia VICHAKANI 🤣Nilijua Tu mkoa wangu lazima utakuwepo.
Tukutane pale MJ 😂
tukakichafue sio 😂Tukutane pale MJ 😂
Nimewamisi sana 🤣tukakichafue sio 😂
Karibu sie tupo😂Nimewamisi sana 🤣
Hupatikani kwa namba yako ya Vodafone 😍Karibu sie tupo😂
mama alipokonya cmHupatikani kwa namba yako ya Vodafone 😍
Aah! Kudadadeki 🤣mama alipokonya cm
vipi huamin 😂Aah! Kudadadeki 🤣
Mzee wangu bila D mbili huwezi elewaKwahiyo MKOA wako unaongoza kwa watu kujisaidia VICHAKANI 🤣
nkajua unavaaga tu lipensi la Man u🤭