Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Zipi mkuu?ila tabia zenu si mnazijua?
Maji maji maji sasaa
Aaah mkuu unataka kusemaje?😅Maji maji maji sasaa🙉
Tunakula wewe ,ndio maana harufu mpaka kwenye huu uzi
Hao watafiti watakuwa hawajawahi kwenda MISHEPO
Hiyo ni Geita.Nilidhani tabia hiyo ipo usukumani pekee, kumbe kuna magwiji zaidi na wapo kibao
Kuna kijiji kule chato kimepakana na hifadhi ya Burigi-Chato kwa barabara, ukipita barabarani unasikia harufu ya kimba tupu! Wale wadau katika vitu wanachukia ni kumiliki choo, viongozi wao wakiwakomalia wapo radhi wahame kijiji ili mradi tu burudani yao ya kuukweka vichakani isiwe denied
mngesema mapema sasaTunakula wewe ,ndio maana harufu mpaka kwenye huu uzi
Tumeshakuachia ule mwenyewe sasamngesema mapema sasa
mnisamehe bure kabisaTumeshakuachia ule mwenyewe sasa
😁😁😁Simiyu nimewahi kukanyaga mavi ya moto mapya yametoka kufyatuliwa kubabake
(mamaa taka tita),,😂😂😂😂wacha kabisa na watoto wetu huku,,eti wengine wanasema mama taka pooMkuu pamoja na points nyingi ulizoandika kusindikiza jibu lako, lakini haunishawishi kurudia zama za Mwaka 47 kutita Maporini.
Hivi unapata wapi Maji tiririka kwaajili ya kujisafisha baada ya kutita?
Angalia takwimu miaka ya nyuma ambapo hatukuwa na vyoo bora jinsi hali ya Kipindupindu ilivyokuwa kubwa.
Ndiyo maana panaitwa makunduuchi na jambiani.Sasa nimeelewa kwanini panaitwa Mchambawima. Kumbe haina kuremba inabidi uwe chapu.
Hahaha.................. hatari 🙌(mamaa taka tita),,😂😂😂😂wacha kabisa na watoto wetu huku,,eti wengine wanasema mama taka poo
🤣🤣🤣🤣Hakuna raha kama kufyatua KIMBA kwenye chaka unajikuta tu kinyeo kinafunguka kwa ustadi wa hali juu, unaachia bonge la gogo hadi linajisokota.
Ukimaliza zako unaubwinya bwinya mkundu kukata vimavi vya mwisho halafu unasepa.
Cc: Poor Brain dronedrake mshamba_mwingine Yohimbe bark Mzee wa kupambania dronedrake
Mkuu; Kipindupindu kinatamalaki pale penye mkusanyiko wa watu na katika wingi wao, wapo wengi hawajali habari ya usafi binafsi na mazingira. Kama watu wanaishi kwa mtawanyiko mzuri; kuenea au mlipuko wa magonjwa wa kipindupindu na kuharisha ni nadra sana. Hakuna mtu anayepeleka viini vya uambukizo bacteria etc kwa wengine.Hakuna usambazaji.Mkuu pamoja na points nyingi ulizoandika kusindikiza jibu lako, lakini haunishawishi kurudia zama za Mwaka 47 kutita Maporini.
Hivi unapata wapi Maji tiririka kwaajili ya kujisafisha baada ya kutita?
Angalia takwimu miaka ya nyuma ambapo hatukuwa na vyoo bora jinsi hali ya Kipindupindu ilivyokuwa kubwa.