Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wacha nibadili jina sasaNakusahauje na kwenu mna mambo ya vichakani
Sio kila sehemu kuna magorofa ya Dar kwengineko hata ghorofa hakuna na hio pia sio aibu?Aibu sana
ila tabia zenu si mnazijua?Nimefirahia Kagera hatuna hizo tabia chafu
Sio. Zipo faida zake.Nimesikitika kuona Mkoa wetu licha ya kutoa Rais wa Kwanza wa Nchi hii still na kwenye kujisaidia Vichani napo tupo🙆
Ni aibu Karne hii ya 21 kutita Maporini ndugu zangu
Kiulizo amesafirsjaona kiulzo
akili huna😂Kiulizo amesafir
IRRellevantSio kila sehemu kuna magorofa ya Dar kwengineko hata ghorofa hakuna na hio pia sio aibu?
Ndio Mdudu gani huyo wa Arusha?IRRellevant
Dah pisi za kipemba na ile rangi ya mtume kumbe wana nnya vichakani FaizaFoxy tupe muongozo maana huko karibia 100% ni wale ndugu zetu waliotuletea ustaarabu wabara, ila kumbe wana nnya vichakani,, ndo maana unamaind nyumba za self kontena kumbe mnapenda vichaka
N kweli, ntatumia akili zakoakili huna😂
Yaniii! Itakua kuna Sababu labda
Alafu ati wapemba wanaongoza...Yaniii! Itakua kuna Sababu labda
m najisaidia vichakaniN kweli, ntatumia akili zako
Kwamba Kuna Faida za kutita Maporini?🙌Sio. Zipo faida zake.
Maji maji maji sasaa🙉Nimefirahia Kagera hatuna hizo tabia chafu