ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
- Thread starter
-
- #121
Sio lazima tukubaliane na Wala siwezi toa Rukwa kwenye list huo ni Mkoa fukara Kwa vigezo vyoteHapa ndio umejifunua kabisa tatizo lako kichwa chako Kiko na problematic mindset matokeo yake unaona impossibilities na si possibilities. Tiba ondo myths( fikra za kichawi, lango la jehanam), narrow minded ( migodi pekee ndio kutoboa) presuppositions, prejudices zote ili uwe objective katika manga'muzi sahihi. Vinginevyo mizani yako ya upimaji Haina uhalali na ni batili. Null and Void
Unataka tuweke Mikoa gani badala yake?Fake and immature
1: Dodoma
2: singida
3. Rukwa
ziko njema
Usinge leta basi hoja yako ijadiliwe. Alafu unarukaruka hueleweki hoja yako. Umeleta mambo ya umasikini wa mkoa badala ya kutoboa katika mkoa. Hueleweki. Maana mikoa uliyoiorodhesha mingine inamapato makubwa pia.Sio lazima tukubaliane na Wala siwezi toa Rukwa kwenye list huo ni Mkoa fukara Kwa vigezo vyote
Hakuna cha brain kubwa...
Ukabila na vijicho kwa wageni ni tatizo hapa Kilimanjaro full stop.
Hii hoja ya umasikini wa mkoa si inayojadilwa acha kuruka hoja. Unawezaeleza kwanini Marekani na utajiri wake Kuna homeless na Tanzania na umasikini wake Kuna mabilionea? You have problematic mindset ndugu.Sio lazima tukubaliane na Wala siwezi toa Rukwa kwenye list huo ni Mkoa fukara Kwa vigezo vyote
Kijicho ni wivu.Mkuu nyakubonga naomba unitafsrie maana ya kijicho Sielewagi maana yake
Sasa mtu akikuonea wivu anapunguza vipi maendeleo yakoKijicho ni wivu.
Wivu ni hatua ya awali ya uchawi...Sasa mtu akikuonea wivu anapunguza vipi maendeleo yako
Janja janja nyingi sanaThen mkoa ambao MTU anakuja hana kitu hana ndugu na anatoboa ni DSM tu.
Sasa mikoa hiyo inakuwaje nyuma wakati ndiko ccm walikokita kambi?. Nimegundua kuna uhusiano kati ya ccm na umasikini.
Japo wanasema maisha popote ila Kwa Mikoa hii ukienda kutafuta maisha basi tegemea kutoboka badala ya Kutoboa 😬😬
1.Kilimanjaro
2.Shinyanga
3.Simiyu
4.Kagera
5.Singida
6.Rukwa
7.Tabora
8.Dodoma
9.Lindi
10.Kigoma
My Take
Baadhi ya Mikoa Ina potential nzuri ni vile tuu haijafunguliwa kimiundombinu eg Lindi.
Pia soma Mikoa 10 Yenye Watu Maskini Zaidi Tanzania: Kagera namba 2, Dodoma namba 5. Nini Kinaiponza Mikoa Hii Maarufu?
Dodoma iwe juu juu huko, ni kwetu ila mkoa ule ni mgumu sana...
Sitaki uniulize swali huja jibu swali langu. Ingekua darasani ningekuchapa fimbo Sita za utovu wa nidhamuKwani hiyo ambayo ni raisi kutoboa ccm wanapelekea mboga watu nyumbani kwao?.
mwenyeji wa Klm ila kwa hili NakubaliKilimanjaro ni mbaya zaidi kwa utafutaji.
Wachaga na Wapare mkoa wenu hovyo kabisa kwa utafutaji...yaani sufuri
Sitaki uniulize swali huja jibu swali langu. Ingekua darasani ningekuchapa fimbo Sita za utovu wa nidh