Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Ile migodi inawasaidia sn ukilinganisha na mikoa hiyo 4Geita kuna nini cha maana!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile migodi inawasaidia sn ukilinganisha na mikoa hiyo 4Geita kuna nini cha maana!?
Wataalamu wa kuijua nchi yetu ya Tanzania ni mkoa mpya upi kati ya ifuatayo ambao uko vizuri kimaendeleo au kiuchumi?
1. Simiyu
2. Geita
3. Songwe
4. Manyara
5. Katavi
6. Njombe
Au alipigwa mtungo huko chuga?Kapona lakini alikuwa busy na siku yao ya wanawake
NadhaniAu alipigwa mtungo huko chuga?
Mirerani ipo mkoa gani?Ile migodi inawasaidia sn ukilinganisha na mikoa hiyo 4
Kuna mtu amemuona anatembea kama ametoka kukeketwa vile.Nadhani
GeitaWataalamu wa kuijua nchi yetu ya Tanzania ni mkoa mpya upi kati ya ifuatayo ambao uko vizuri kimaendeleo au kiuchumi?
1. Simiyu
2. Geita
3. Songwe
4. Manyara
5. Katavi
6. Njombe
Mkuu, kama ni hivyo na Wasambaa wasemeje?Mkoa wa Tanga una eneo kubwa sana wazigua tunahutaji kuwa na mkoa wetu tutengane na mamwinyi wadigo
Ipo mkoa wa Manyara Mkuu.Mirerani ipo mkoa gani?
Njombe ni mkoa tangu mwaka 2012.Sijajua mkoa mpya Unatakiwa uwe na muda gani?
Geita imepewa kuwa mkoa mwaka 2012-2025 miaka 13,bariadi tangu 2018-miaka 7 ni mkoa, jombe vile vile miaka 5+ Sasa sijui umetumia kigezo gani kuita ni mikoa mipya?
NonsenseHandeni nayo yapaswa kuwa mkoa ijitenge na Tanga
Songwe-TundumaWataalamu wa kuijua nchi yetu ya Tanzania ni mkoa mpya upi kati ya ifuatayo ambao uko vizuri kimaendeleo au kiuchumi?
1. Simiyu
2. Geita
3. Songwe
4. Manyara
5. Katavi
6. Njombe
Umeshafika au unapasikia,katoro ipo overated,hakuna kipya1. Geita (kuna chimbo linaitwa Katola)
2. Manyara (Babati ndio kila kitu)
3. Songwe.
Manyara naona sio mpya huo unaelekea miaka 20 na ushee1. Geita (kuna chimbo linaitwa Katola)
2. Manyara (Babati ndio kila kitu)
3. Songwe.
Labda allimaaniaha kakora
Hako kakijiji walishakapaisha wakati hakana hata hadhi ya Mji.Umeshafika au unapasikia,katoro ipo overated,hakuna kipya
Wasambaa wapo karibu na muheza na Tanga wanaweza kubakiMkuu, kama ni hivyo na Wasambaa wasemeje?