Prof Griff
JF-Expert Member
- Aug 29, 2008
- 6,772
- 5,258
He must've flipped over in his 2022 BMW while driving drunk at 150 km/hr on the expressway.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Basi asafiri salama huko aelekeapo AminaHaswaaaah
Umri wa marehemu ni mkubwaNdiyo inavyokuwa! Siku zote kila mtu hula kwa urefu wa kamba yake. Huwezi kumkuta mtoto wa kigogo kwenye shule ya kata akifundisha! Huko utawakuta watoto wa maskini pekee!
Hao mara zote utawakuta kwenye ofisi zenye viyoyozi tu! Hata wawe na ufaulu hafifu kiasi gani!
Namtakia pumziko la milele.
Waache waliofeli wajifariji kwa visingizio uchwara.Acha uongo yani uwe na uwezo mdogo alafu ufanye kazi kwenye taasisi kubwa nje?
Mkuu I wish ufunguke zaidiDuh huyu jamaa ana BAHATI SANA, Yaani Mafia Uswisi!!
😅mwenzio kakosea kuandika,hana ch a kufunguka
Kazi inahitaji connection wala sio lugha peke yake, kama ingekuwa hivyo karibia waganda/wamalawi wote wangekuwa ulayaKazi inahitaji mtu aongee Kiingereza na Kifaransa. Nitapewaje mimi wa St. Kayumba Academy?
Poleni wafiwa!
Ni connection tu hata usome vpWasomeshe watoto wako vizuri. Wape maadili mema na wayaishi. Haya mengine yote yatawezekana. Mwenyezi Mungu anabariki yoyote anayemtaka, bila sababu zozote kutoka kwetu binadamu
Kazi inahitaji connection wala sio lugha peke yake, kama ingekuwa hivyo karibia waganda/wamalawi wote wangekuwa ulaya
R.I.P bro haya maisha tunapita tu ni mafupi sana,Mungu awape uvumilivu wafiwa wote.Mtoto wa kwanza wa marehemu Balozi Augustine Mahiga aitwaye Mikola Mahiga, maarufu kama "Mike" amefariki dunia kwa ajali ya gari huko Geneva, Uswiss alipokuwa akifanya kazi katika Taasisi mbalimbali za Kifedha na Masoko ya Mitaji akiwakilisha nchi kadhaa za Asia na Afrika.
View attachment 2120826
Mikola Mahiga
Chanzo: Milard Ayo (Twitter )
Connections na fursa zote zinakuwa wazi, usipotoboa kama Lemutz ujue ni kilaza mkubwa.Watoto wa vigogo wanakuwaga na kazi nzuri nzuri. RIP
Are you in the process to detonate?كل نفس ذائقة الموت
Sio wa ufaulu wa kawaida tu, hata wa ufaulu wa chini wengi wapo kwenye vitengo.Umefanya tu makusudi kuto kunielewa, au ni bahati mbaya! Wapi nimetaja nje? Mimi nimeongelea kwa ujumla wake! Wapo watoto wa vigogo wengi tu wenye ufaulu wa kawaida, lakini wapo kwenye vitengo nyeti!
Watoto wa vigogo wanakuwaga na kazi nzuri nzuri. RIP
Are you in the process to detonate?
Na haiwezekani wote tukawa na connection zinazolinganaNakubalina na wewe kuwa Waganda na Wamawi wote wanaongea Kiingere na Kifaransa ila hawana connection tu. Bila shaka hili linakupa tabasamu kubwaaa...
KaboomKivipi?