TANZIA Mikola Mahiga afariki dunia kwa ajali ya gari nchini Uswisi. Ni mtoto wa kwanza wa Marehemu Augustine Mahiga

TANZIA Mikola Mahiga afariki dunia kwa ajali ya gari nchini Uswisi. Ni mtoto wa kwanza wa Marehemu Augustine Mahiga

Point yako ni nini hasa????? Kuna mtu kasema watoto wa wakubwa ndio wanaopata kazi nzuri tu. Mi nikasema kazi za Geneva kama ya huyu marehemu zinahitaji lugha 2 - Kiingereza na Kifaransa. Hawa wa wakubwa ndio wanaweza kuongea hizo lugha 2. Kwa hiyo wanastahili. Huwezi kuwashinda kwenye usaili. Sisi tuliosoma Kayumba hautuongei hizo lugha, kwa hiyo hatuwezi kupata. Waganda na Wamalawi wnaingiaje katika uwezo wa kuongea Kiingereza na Kifaransa? Nani alikuchonga kuwa Waganda na Wamalawi wanazungumza Kifaransa?

Kama unaamini ktk connection bila uwezo sawa, kajaribu.
Na haiwezekani wote tukawa na connection zinazolingana
 
Watoto wa vigogo wanakuwaga na kazi nzuri nzuri. RIP
Na hawasomagi kozi za kijinga..kama ualimu..udaktari..unesi.

Utasikia kasoma uchumi..uhasibu..biashara..uongozi..sheria.........diplomasia.

Ila wamiliki njia za uongozi na uchumi..waendelee kutawala siku zote.

Akili mtu wangu.

All in all pumzika salama.

#MaendeleoHayanaChama
 
Kiingereza tu ni kipengele kinachotosha kumtoa mtu kwenye reli . Kikiongezwa Kifaransa ndio kabisaa.

Utawasikia wenyewe wanakuambia Kiswahili ni lugha adhimu,inatambuliwa kimataifa.
Jamaa wajanja sana..hawataki masikini waelimike..sasa kiswahili kitakupa exposure gani zaidi ya kuzunguka nchi za east afrika tu.

#MaendeleoHayanaChama
 
Na hawasomagi kozi za kijinga..kama ualimu..udaktari..unesi.

Utasikia kasoma uchumi..uhasibu..biashara..uongozi..sheria.........diplomasia.

Ila wamiliki njia za uongozi na uchumi..waendelee kutawala siku zote.

Akili mtu wangu.

All in all pumzika salama.

#MaendeleoHayanaChama
Unaanzaje kusema ualimu...udaktari...unesi ni kazi za kijinga?....Rais Hussein Mwinyi unajua amesoma nini?......huna exposure....pole sana....


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
 
Pole kwa familia yake...

Wanabodi Hebu nifahamisheni. Marehemu Dr. Augustine Mahiga alikuwa na mkewe mzaliwa wa Kisarawe [ Binti Kuga] na pia alipata watoto na Janet Mbene aliyewahi kuwa mbunge wa Ileje! Huyu maehemu mama yake ni yupi?
 
Unaanzaje kusema ualimu...udaktari...unesi ni kazi za kijinga?....Rais Hussein Mwinyi unajua amesoma nini?......huna exposure....pole sana....


Sent from my SM-J610F using JamiiForums mobile app
Hizo ni kazi za class c citizen..sio za watawala..sasa kwa akili yako h.mwinyi bila jeck ya policcm angekuwepo hapo.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndiyo inavyokuwa! Siku zote kila mtu hula kwa urefu wa kamba yake. Huwezi kumkuta mtoto wa kigogo kwenye shule ya kata akifundisha! Huko utawakuta watoto wa maskini pekee!

Hao mara zote utawakuta kwenye ofisi zenye viyoyozi tu! Hata wawe na ufaulu hafifu kiasi gani!

Namtakia pumziko la milele.
Mbona Lemutuz ni mission town?
 
Washua waliopata elimu miaka ya 70 huko abroad. [emoji119][emoji119]. RIP Mzee Mahiga. RIP Mahiga mtoto.
 
Na hawasomagi kozi za kijinga..kama ualimu..udaktari..unesi.

Utasikia kasoma uchumi..uhasibu..biashara..uongozi..sheria.........diplomasia.

Ila wamiliki njia za uongozi na uchumi..waendelee kutawala siku zote.

Akili mtu wangu.

All in all pumzika salama.

#MaendeleoHayanaChama
Ni kweli kabisaaah.
 
Back
Top Bottom