RWANTANG
JF-Expert Member
- Dec 28, 2021
- 1,143
- 1,425
😎😎😎Asante mkuu kwa usahihisho sio lugha yetu tunajitutumuaga tu sometimes tusionekane mafala si unajua kuna pisi kalii humu ndani?😎😎
Ngoja nika-edit nsije kuonekana pimbi😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😎😎😎Asante mkuu kwa usahihisho sio lugha yetu tunajitutumuaga tu sometimes tusionekane mafala si unajua kuna pisi kalii humu ndani?😎😎
Ngoja nika-edit nsije kuonekana pimbi😀😀
Watoto wa vigogo wanakuwaga na kazi nzuri nzuri. RIP
Ni kweli kabisa..ila michezo na burudani kwa bongo hii..ni wachache sana wanao toboa kihalali.Mbona nyie watoto wenu wanafanya vizuri kwenye Michezo!! Jikiteni mliko Bora, mwisho maisha ni mapambano ya angle mbalimbali
Nakuamini kwa hilo.1 House nimejenga umasikinini Full rohombaya wana kuombea majanga kila kukicha. Umaskini ni uchawiMkuu, "umasikini ni uchawi kamili". Trust me.
Pole sana mkuuNakuamini kwa hilo.1 House nimejenga umasikinini Full rohombaya wana kuombea majanga kila kukicha. Umaskini ni uchawi
Jukumu la kuijenga tosa ni la mahiga wenyewe au wanatosa kwa ujumla 💁♂️Wahehe ni hasaraa... Njooni kwao Tosa muone kulivyo takataka.
Hovyo kabisaaa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Umaskini umenifanya nisiwe na huruma na matajiri.
Umasikini na uchawi ni directly proportional.Ni kweli kabisa..ila michezo na burudani kwa bongo hii..ni wachache sana wanao toboa kihalali.
#MaendeleoHayanaChama
Hamnaaa baaanaaaNo, anasema every soul shall taste death.
ask anyone who can read Arabic.Hamnaaa baaanaaa
kifo thubutu....ardhi anayo lala yule na wewe ni tofauti...yeye ana lalia marumaru za umeme...anateremshwa ardhini kwa mashine ya vyuma maalum tena kimya na nyimbo lainiii za kumsifu Mungu na harufu ya maua mazuriiii inatiririka kaburini....ardhini kule sasa roho yake inaweza tembelea huko.then ikarudi paradiso... Huyu kufuru haikuwepo zaidi alishukuru tu kila leo kwa jinsi alivopendelewa na Mungu kwa sababuhuyo Mungu alisema mwenye nacho huongezewa........safi sana kaka mkubwa kufa kwa amani ya bwana. Wewe hujiulizi kafa lkn anawacheka mlio hai jehanamu Ya Bongo mara muwe na gu rais km jiwe..eti mnaogopa kufa??? Yaani ni bora ufe kuliko serikali ya magu....hata yeye kajigutukia kafa tena simple na waziwazi. Hakushindwa kujitibia pazuri yule ...ila kwa jinsi alivo ua hee! aliamua afe tu yaishe.....ajabu waliomfuata wanaogopa kufa.Kifo pekee hutufananisha
Apumzike kwa Utulivu
👆🏾👏🏽👏🏽😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣Umasikini ni nusu ya uchawi ndo maana napambana nao sana japo sijui Kama nitafanikiwa
Wazuri hawadumu!Sema alikua handsome kijana huyu daaah, ardhi inameza wengi.
Hata warembe vipi lazima uoze ubaki fuvu,mifupa ioze ubabiki udongokifo thubutu....ardhi anayo lala yule na wewe ni tofauti...yeye ana lalia marumaru za umeme...anateremshwa ardhini kwa mashine ya vyuma maalum tena kimya na nyimbo lainiii za kumsifu Mungu na harufu ya maua mazuriiii inatiririka kaburini....ardhini kule sasa roho yake inaweza tembelea huko.then ikarudi paradiso... Huyu kufuru haikuwepo zaidi alishukuru tu kila leo kwa jinsi alivopendelewa na Mungu kwa sababuhuyo Mungu alisema mwenye nacho huongezewa........safi sana kaka mkubwa kufa kwa amani ya bwana. Wewe hujiulizi kafa lkn anawacheka mlio hai jehanamu Ya Bongo mara muwe na gu rais km jiwe..eti mnaogopa kufa??? Yaani ni bora ufe kuliko serikali ya magu....hata yeye kajigutukia kafa tena simple na waziwazi. Hakushindwa kujitibia pazuri yule ...ila kwa jinsi alivo ua hee! aliamua afe tu yaishe.....ajabu waliomfuata wanaogopa kufa.