TANZIA Mikola Mahiga afariki dunia kwa ajali ya gari nchini Uswisi. Ni mtoto wa kwanza wa Marehemu Augustine Mahiga

TANZIA Mikola Mahiga afariki dunia kwa ajali ya gari nchini Uswisi. Ni mtoto wa kwanza wa Marehemu Augustine Mahiga

Hata warembe vipi lazima uoze ubaki fuvu,mifupa ioze ubabiki udongo
mifupa yake....mwili wake bado utapeta kwenye marumaru tu....ambazo wewe huna mpaka leo na huzijui kwanza...ebu nambie marumaru ni nini?? .....ungezijua usingetamka mwili wake kuoza kirahisi na kuwa udongo ...hata usemeje hutafikia hadhi ya hayo maziko...ukoo wako mzima....ajabu sasa huyu utamkuta mbinguni yupo huki.....sababu ya chuki zako utarudi ukidhani umekosea..kuuumbe ndo mahali sahihi chuki zitafanya upotee. Haya weee kazana.
 
mifupa yake....mwili wake bado utapeta kwenye marumaru tu....ambazo wewe huna mpaka leo na huzijui kwanza...ebu nambie marumaru ni nini?? .....ungezijua usingetamka mwili wake kuoza kirahisi na kuwa udongo ...hata usemeje hutafikia hadhi ya hayo maziko...ukoo wako mzima....ajabu sasa huyu utamkuta mbinguni yupo huki.....sababu ya chuki zako utarudi ukidhani umekosea..kuuumbe ndo mahali sahihi chuki zitafanya upotee. Haya weee kazana.
Hizo ni mbwembwe kijana hamna la maana aliyezikwa kwenye udongo na aliyezikwa kwenye marumaru wote ni wafu tu hakuna daraja la wafu huyu class a sijui class c wote ni marehemu.
 
Hizo ni mbwembwe kijana hamna la maana aliyezikwa kwenye udongo na aliyezikwa kwenye marumaru wote ni wafu tu hakuna daraja la wafu huyu class a sijui class c wote ni marehemu.
teteee!!tee! Mkuru!! mbwembwe ndo maisha yenyewe baba sasa!!! Bila mbwembwe ni dhiki.... Sikia sasa mie natembelea Jaguar 56!!...wewe kirkuu!! sasa jua yote hayo ni magari???
Ivi unajua gia za kirkuu...in comparison na Jaguar?? Haina mabonde ile Mwanza/Dar ni ya masaa 2 tu...unakunywa chai kule... kirkuu utatumia week!!.......tajiri msomi ataenda mbinguni kwa raha Kwa kuwa Mungu si maskini ...hawana kufuru.....maskini mna kufuru nyingi hamuendi ng'ooo!! uende mbingu ya nani wkt unanuka majasho!! Njaa utatia aibu huko.....tena nyie ni rahisi shetani kuwashawishi sababu ya dhiki lenu....halafu mnachukia matajiri mnawaita majina mara fisadi...lihujumu...nk!! Yaani Mungu awe mhujumu uchumi mweee!!...km mtaenda ni kwa mbinde sana.....sisi matajiri waaala htuna shida...hatuwataki kwanza.
 
Back
Top Bottom