Wajanja sana huwa na hidden cost nyingi zisizoonekana,nimekopa mara Tatu nimeambulia hasara badala ya faida.Lakini si kabla ya kukopa mnaelimishana namna ya kulipa pamoja na riba husika? kama ni kweli sasa hapo sisi ambao hatukukopesha wala kukushawishi ukope tukusaidieje mkuu pamoja na uzi wako huu.
Dawa acha kukopa kopa bali pambana na hali yako kivyako vyako tuuuuu
FCC wanafanya mchakato wa kureview mikataba yote ya financial institution ili kuondoa unfair terms zote kwa mlaji,hii inaweza kusaidia maana wengi hawasomagi mikataba ni mwendo wa kusign tu.Wajanja sana huwa na hidden cost nyingi zisizoonekana,nimekopa mara Tatu nimeambulia hasara badala ya faida.
Nawewe unachukuaje 20m ulipe kwa miaka sita? Kwanza ulichukua kwa ajili ya nini? Mikopo mzuri ni kwa ajili ya biashara. Hii mikopo mnayochukua mnafanyia ujenzi itawatokea puani.Unapewa milioni 20 , unalipa riba ya 81% kwa miaka 6. Je huu sio wizi uliokubuhu?
Wachumi tuelimishe is it worthy ta
Nitakujibu keshoHilo haliondoi ukweli kwamba katika simulation yako, ambayo hata kichwa cha thread kimeiakisi, habari ni "nimetozwa riba ya..."
Riba inahesabiwa kwa mwaka mmoja, kama unahesabu malipo uliyofanya kwa miaka 6 ukapata 86%,hiyo 86% si riba, hayo ni malipo.
Ukisema umelipa riba ya 86% kwa miaka 6 unaweza kutoa picha kwamba umechukua mkopo wenye riba 86% from day one, ukaulipa kwa miaka 6.
Benki gan hiyo mkuu?Nilitamani kukopa, baada ya kuona wameleta tangazo la kuwa wanakopesha kwa riba ya 18%, kwenda ofisini kwao kupigiana hesabu nikaona inakua 50% nikawaambia nitarudi...nilivyo mchungu na mchumi wa hela zangu hapana.
kumbe una abc za haya mamboHiyo riba ni fair kabisa kwa kipindi hicho cha miaka 6.... hapo kwa mwaka mmoja inamaanisha ni 81/6 ambayo 13.5% (Hapo nime assume haijatozwa compound interest)
Hiyo riba hapo kuna mfumuko wa bei (Fedha kupoteza thamani) ambayo ni wastani wa 5% kwa mwaka, risk premium (Hii inafidia zile case ambazo mkopo haulipwi na benki ikapata hasara) kisha na gharama ya benki kwa ajili ya kulipia gharama za ku oparate
safi kabisaRiba iliharamishwa kwenye uislamu kwa sababu za msingi.
Vipi anayenunua gunia la njegele kwa 50,000 akaenda kuliuza kwa 120,000 atapata salama mbele ya Mungu?Mla riba na mtoa riba hawatopata salama mbele ya mungu
Which bank? Ili wadau wasing'atwe hahahahNo, I am very smart. I just made an inquiry from a certain bank and was give that breakdown. I went into the loan calculator and confirmed that. By the way, I am not a teacher!
Huo mkopo ungekuwa wa miaka 3 ungelioa riba ya chini zaidi, ungeweza kulipa kati ya milioni 28 na 32.No, I am very smart. I just made an inquiry from a certain bank and was give that breakdown. I went into the loan calculator and confirmed that. By the way, I am not a teacher!