Mikopo ya kausha damu ipo mtaani, tuwe makini

Mikopo ya kausha damu ipo mtaani, tuwe makini

Upo utaratibu wa kufuata ikiwemo idhini ya mahakama na tena ikiwa mdeni atakiri hana uwezo tena wa kulipa wakati huo (huenda akaomba muda wa kulipa uongezwe na alipe kidogo kidogo kwa muda fulani).
muandike mdaaa kama hizi mkuu kwa wanaodaiwa waelewe najua wengi wanamikopoo kama yote humu wakidaiwa wajue wanajiteeteaje
 
Kutokujua kwetu sheria ndio sababu majambazi hao wanaojiita wakopeshaji wanakuwa na nguvu.

Mtu pekee anaeruhuisiwa kuchukua samani yako ni yule aliekuuzia samani hiyo kwa mali kauli (Hire purchase) na ukashindwa kupeleka marejesho. Kinyume na hapo mdai yeyote mwingine ni sharti afuate process za kimahakama.

Wabongo pia ni wavivu sana kusoma. Unapokuwa na shida ya pesa, unasaini chochote utakachopewa bila kusoma. Kumbe umesaini uhai wako kwa walaghai wa mjini.
mkuu hiki ndio kilichotokea maana nilimuuliza mjumbe imekuwaje akasema mdada kasaini kifo mwenyewe so wakati mwingine n njaa na shida zinatumaliza mkuu
 
kuna mmoja nimeona fb juzi unalipwa masaa 24 hahuitaji dhamana nkawacheki he wanataka nitume 25k ya kujiunga si unikate huko...akagoma.... nkawaza waleeee wanataka kurudisha hela zaooo..nkazima simu nkatoa betri kama masaa mawili nkarudisha nkasema ahsante mola nimekoma nao sirudi tena
 
Dakika kadhaa zilizopita nilikutana na maajabu hapa mtaani kwetu

Wamekuja wanaojiita maofisa wa kausha damu wako na mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa na polisi wawiili wakaingia kwenye nyumba moja ya mdada

Dada akagoma kufungua, wakaenda upande wa chumbani wakaita wakasogeza pazia wakamwona, mjumbe akaomba afungue asiwe na wasiwasi khaaa yaliyofuata yanasikitisha sana

Mdada alienda pembeni na mjumbe na kadhaa wakamsainisha makaraatasi, kilichofuata ni kuita vijana waliokuja nao wakaanza na tv ya 42, wakafuata na makochi meza ya mable sebuleni, wakamaliza sebule nzima wakaona haitoshi mdada analia tu jamani.

Wakaenda chumban kwake wakabeba kitanda, walitaka na godoro mjumbe akazuia, wakazoa kabati la mbao jamani aisee.

Hizi kampuni nani mmiliki na nani anawapa jeuri kama hizi jamani! dada kabaki na vyumba vyake viwili na godoro analia analia analia kama kafiwa na wazazi wote siku moja

Tuwe makini mnaopenda kukopa wapendwa, mikopo ndio mizuri mingine ina laana, mtaua wazazi wenu wakisikia mambo kama haya.

Rip mali za dada yangu.
Hehdhhswhah an NY as jf haves nesebendsnsjsnhhene
 
Dakika kadhaa zilizopita nilikutana na maajabu hapa mtaani kwetu

Wamekuja wanaojiita maofisa wa kausha damu wako na mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa na polisi wawiili wakaingia kwenye nyumba moja ya mdada

Dada akagoma kufungua, wakaenda upande wa chumbani wakaita wakasogeza pazia wakamwona, mjumbe akaomba afungue asiwe na wasiwasi khaaa yaliyofuata yanasikitisha sana

Mdada alienda pembeni na mjumbe na kadhaa wakamsainisha makaraatasi, kilichofuata ni kuita vijana waliokuja nao wakaanza na tv ya 42, wakafuata na makochi meza ya mable sebuleni, wakamaliza sebule nzima wakaona haitoshi mdada analia tu jamani.

Wakaenda chumban kwake wakabeba kitanda, walitaka na godoro mjumbe akazuia, wakazoa kabati la mbao jamani aisee.

Hizi kampuni nani mmiliki na nani anawapa jeuri kama hizi jamani! dada kabaki na vyumba vyake viwili na godoro analia analia analia kama kafiwa na wazazi wote siku moja

Tuwe makini mnaopenda kukopa wapendwa, mikopo ndio mizuri mingine ina laana, mtaua wazazi wenu wakisikia mambo kama haya.

Rip mali za dada yangu.
Mkuu ni kama umenikumbusha vile,nipo safarini naenda wilaya x,mala paa naona msg ikisema una mfahamu furani Nini Fulani? Sikujibu msg,mara akapiga. Haloo unaongea na Afisa mikopo kutoka kampuni ya KOPA FASTA, unamfhamu furani bini furani nikasema ndio namfahamu Kuna Nini? Akasema uyu ndugu alikopa Katika kampuni yetu na ajalipa na tukimpigia simu apokei.Mimi nikamuuliza je namba yangu umenipata wapi? Akasema wakati anajaza mkopo online aliweka namba Yako kama mtu wa karibu.Kwaiyo mpigie simu mwambie alipe mkopo. Kilichonikela ni huyu ndugu yangu kutumia namba yangu kukopea pasipo kuniambia,nimempigia simu kumuuliza analeta maneno kibao Yani nime mmaindi kinoma [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Nimemwambia alipe deni haraka..Dahhhhhh .Kausha damuuuuuuu ni hatariiii.
 
Mkuu ni kama umenikumbusha vile,nipo safarini naenda wilaya x,mala paa naona msg ikisema una mfahamu furani Nini Fulani? Sikujibu msg,mara akapiga. Haloo unaongea na Afisa mikopo kutoka kampuni ya KOPA FASTA, unamfhamu furani bini furani nikasema ndio namfahamu Kuna Nini? Akasema uyu ndugu alikopa Katika kampuni yetu na ajalipa na tukimpigia simu apokei.Mimi nikamuuliza je namba yangu umenipata wapi? Akasema wakati anajaza mkopo online aliweka namba Yako kama mtu wa karibu.Kwaiyo mpigie simu mwambie alipe mkopo. Kilichonikela ni huyu ndugu yangu kutumia namba yangu kukopea pasipo kuniambia,nimempigia simu kumuuliza analeta maneno kibao Yani nime mmaindi kinoma [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Nimemwambia alipe deni haraka..Dahhhhhh .Kausha damuuuuuuu ni hatariiii.
hawaibiwi wale mpwaaaaa.......masharti yake balaaa bora mtu akwambie utubu uende mbingguni
 
Dakika kadhaa zilizopita nilikutana na maajabu hapa mtaani kwetu

Wamekuja wanaojiita maofisa wa kausha damu wako na mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa na polisi wawiili wakaingia kwenye nyumba moja ya mdada

Dada akagoma kufungua, wakaenda upande wa chumbani wakaita wakasogeza pazia wakamwona, mjumbe akaomba afungue asiwe na wasiwasi khaaa yaliyofuata yanasikitisha sana

Mdada alienda pembeni na mjumbe na kadhaa wakamsainisha makaraatasi, kilichofuata ni kuita vijana waliokuja nao wakaanza na tv ya 42, wakafuata na makochi meza ya mable sebuleni, wakamaliza sebule nzima wakaona haitoshi mdada analia tu jamani.

Wakaenda chumban kwake wakabeba kitanda, walitaka na godoro mjumbe akazuia, wakazoa kabati la mbao jamani aisee.

Hizi kampuni nani mmiliki na nani anawapa jeuri kama hizi jamani! dada kabaki na vyumba vyake viwili na godoro analia analia analia kama kafiwa na wazazi wote siku moja

Tuwe makini mnaopenda kukopa wapendwa, mikopo ndio mizuri mingine ina laana, mtaua wazazi wenu wakisikia mambo kama haya.

Rip mali za dada yangu.
Hata kwenye simu kausha damu ipo.
Simu yenye Ram 1G na storage 8Gb ambayo kwa cash haifiki hata laki moja na nusu lkn kwa mkopo unainunua laki 3 na 50 mpk laki 4.
 
Back
Top Bottom