Mohamedex121
JF-Expert Member
- Jan 27, 2022
- 1,725
- 3,271
Namba ya nida na namba za simu za wadhaminiVigezo vyao wanahitaji nini
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Namba ya nida na namba za simu za wadhaminiVigezo vyao wanahitaji nini
muandike mdaaa kama hizi mkuu kwa wanaodaiwa waelewe najua wengi wanamikopoo kama yote humu wakidaiwa wajue wanajiteeteajeUpo utaratibu wa kufuata ikiwemo idhini ya mahakama na tena ikiwa mdeni atakiri hana uwezo tena wa kulipa wakati huo (huenda akaomba muda wa kulipa uongezwe na alipe kidogo kidogo kwa muda fulani).
Na wanatoa pesa kiasi gani kwa kuanzia mkuu, na ndani ya muda gani?Namba ya nida na namba za simu za wadhamini
mkuu hiki ndio kilichotokea maana nilimuuliza mjumbe imekuwaje akasema mdada kasaini kifo mwenyewe so wakati mwingine n njaa na shida zinatumaliza mkuuKutokujua kwetu sheria ndio sababu majambazi hao wanaojiita wakopeshaji wanakuwa na nguvu.
Mtu pekee anaeruhuisiwa kuchukua samani yako ni yule aliekuuzia samani hiyo kwa mali kauli (Hire purchase) na ukashindwa kupeleka marejesho. Kinyume na hapo mdai yeyote mwingine ni sharti afuate process za kimahakama.
Wabongo pia ni wavivu sana kusoma. Unapokuwa na shida ya pesa, unasaini chochote utakachopewa bila kusoma. Kumbe umesaini uhai wako kwa walaghai wa mjini.
Utakufa maskini, matajili wote wana madeni makubwa, usiogope mikopo ila kopa kwa Mipango siyo kununulia vijora na kutowa Zawadi kwenye birthday, ndio kinachowatesa Dada zetu wa uswahilini kwenye kausha damu zao.Aisee😄😄😄
Deni nilillonalo ni la songesha 4400 basi.
Block kila namba watakayokupigia utaona wamekaa kimya wenyewe.Pesa X nadhani wakuchap ila kwenye kudai watakusumbua balaa but hawana inshu
Unaanza na 20,000 unarejesha 26,000 ndani ya siku nane.Na wanatoa pesa kiasi gani kwa kuanzia mkuu, na ndani ya muda gani?
NIkope nikafanyie nini?Utakufa maskini, matajili wote wana madeni makubwa, usiogope mikopo ila kopa kwa Mipango siyo kununulia vijora na kutowa Zawadi kwenye birthday, ndio kinachowatesa Dada zetu wa uswahilini kwenye kausha damu zao.
Hehdhhswhah an NY as jf haves nesebendsnsjsnhheneDakika kadhaa zilizopita nilikutana na maajabu hapa mtaani kwetu
Wamekuja wanaojiita maofisa wa kausha damu wako na mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa na polisi wawiili wakaingia kwenye nyumba moja ya mdada
Dada akagoma kufungua, wakaenda upande wa chumbani wakaita wakasogeza pazia wakamwona, mjumbe akaomba afungue asiwe na wasiwasi khaaa yaliyofuata yanasikitisha sana
Mdada alienda pembeni na mjumbe na kadhaa wakamsainisha makaraatasi, kilichofuata ni kuita vijana waliokuja nao wakaanza na tv ya 42, wakafuata na makochi meza ya mable sebuleni, wakamaliza sebule nzima wakaona haitoshi mdada analia tu jamani.
Wakaenda chumban kwake wakabeba kitanda, walitaka na godoro mjumbe akazuia, wakazoa kabati la mbao jamani aisee.
Hizi kampuni nani mmiliki na nani anawapa jeuri kama hizi jamani! dada kabaki na vyumba vyake viwili na godoro analia analia analia kama kafiwa na wazazi wote siku moja
Tuwe makini mnaopenda kukopa wapendwa, mikopo ndio mizuri mingine ina laana, mtaua wazazi wenu wakisikia mambo kama haya.
Rip mali za dada yangu.
Hii mbinu ndio ninayoitumiagaBlock kila namba watakayokupigia utaona wamekaa kimya wenyewe.
Mikopo yote ina insurance.
Mkuu ni kama umenikumbusha vile,nipo safarini naenda wilaya x,mala paa naona msg ikisema una mfahamu furani Nini Fulani? Sikujibu msg,mara akapiga. Haloo unaongea na Afisa mikopo kutoka kampuni ya KOPA FASTA, unamfhamu furani bini furani nikasema ndio namfahamu Kuna Nini? Akasema uyu ndugu alikopa Katika kampuni yetu na ajalipa na tukimpigia simu apokei.Mimi nikamuuliza je namba yangu umenipata wapi? Akasema wakati anajaza mkopo online aliweka namba Yako kama mtu wa karibu.Kwaiyo mpigie simu mwambie alipe mkopo. Kilichonikela ni huyu ndugu yangu kutumia namba yangu kukopea pasipo kuniambia,nimempigia simu kumuuliza analeta maneno kibao Yani nime mmaindi kinoma [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Nimemwambia alipe deni haraka..Dahhhhhh .Kausha damuuuuuuu ni hatariiii.Dakika kadhaa zilizopita nilikutana na maajabu hapa mtaani kwetu
Wamekuja wanaojiita maofisa wa kausha damu wako na mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa na polisi wawiili wakaingia kwenye nyumba moja ya mdada
Dada akagoma kufungua, wakaenda upande wa chumbani wakaita wakasogeza pazia wakamwona, mjumbe akaomba afungue asiwe na wasiwasi khaaa yaliyofuata yanasikitisha sana
Mdada alienda pembeni na mjumbe na kadhaa wakamsainisha makaraatasi, kilichofuata ni kuita vijana waliokuja nao wakaanza na tv ya 42, wakafuata na makochi meza ya mable sebuleni, wakamaliza sebule nzima wakaona haitoshi mdada analia tu jamani.
Wakaenda chumban kwake wakabeba kitanda, walitaka na godoro mjumbe akazuia, wakazoa kabati la mbao jamani aisee.
Hizi kampuni nani mmiliki na nani anawapa jeuri kama hizi jamani! dada kabaki na vyumba vyake viwili na godoro analia analia analia kama kafiwa na wazazi wote siku moja
Tuwe makini mnaopenda kukopa wapendwa, mikopo ndio mizuri mingine ina laana, mtaua wazazi wenu wakisikia mambo kama haya.
Rip mali za dada yangu.
hawaibiwi wale mpwaaaaa.......masharti yake balaaa bora mtu akwambie utubu uende mbingguniMkuu ni kama umenikumbusha vile,nipo safarini naenda wilaya x,mala paa naona msg ikisema una mfahamu furani Nini Fulani? Sikujibu msg,mara akapiga. Haloo unaongea na Afisa mikopo kutoka kampuni ya KOPA FASTA, unamfhamu furani bini furani nikasema ndio namfahamu Kuna Nini? Akasema uyu ndugu alikopa Katika kampuni yetu na ajalipa na tukimpigia simu apokei.Mimi nikamuuliza je namba yangu umenipata wapi? Akasema wakati anajaza mkopo online aliweka namba Yako kama mtu wa karibu.Kwaiyo mpigie simu mwambie alipe mkopo. Kilichonikela ni huyu ndugu yangu kutumia namba yangu kukopea pasipo kuniambia,nimempigia simu kumuuliza analeta maneno kibao Yani nime mmaindi kinoma [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Nimemwambia alipe deni haraka..Dahhhhhh .Kausha damuuuuuuu ni hatariiii.
Collateral ya hilo deni UNAIJUA?Hii njia waliotumia kufidia deni lao imevunja sheria.
Hata kwenye simu kausha damu ipo.Dakika kadhaa zilizopita nilikutana na maajabu hapa mtaani kwetu
Wamekuja wanaojiita maofisa wa kausha damu wako na mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa na polisi wawiili wakaingia kwenye nyumba moja ya mdada
Dada akagoma kufungua, wakaenda upande wa chumbani wakaita wakasogeza pazia wakamwona, mjumbe akaomba afungue asiwe na wasiwasi khaaa yaliyofuata yanasikitisha sana
Mdada alienda pembeni na mjumbe na kadhaa wakamsainisha makaraatasi, kilichofuata ni kuita vijana waliokuja nao wakaanza na tv ya 42, wakafuata na makochi meza ya mable sebuleni, wakamaliza sebule nzima wakaona haitoshi mdada analia tu jamani.
Wakaenda chumban kwake wakabeba kitanda, walitaka na godoro mjumbe akazuia, wakazoa kabati la mbao jamani aisee.
Hizi kampuni nani mmiliki na nani anawapa jeuri kama hizi jamani! dada kabaki na vyumba vyake viwili na godoro analia analia analia kama kafiwa na wazazi wote siku moja
Tuwe makini mnaopenda kukopa wapendwa, mikopo ndio mizuri mingine ina laana, mtaua wazazi wenu wakisikia mambo kama haya.
Rip mali za dada yangu.