Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nenda kakope halafu usilipe uone!Kutokujua kwetu sheria ndio sababu majambazi hao wanaojiita wakopeshaji wanakuwa na nguvu.
Mtu pekee anaeruhuisiwa kuchukua samani yako ni yule aliekuuzia samani hiyo kwa mali kauli (Hire purchase) na ukashindwa kupeleka marejesho. Kinyume na hapo mdai yeyote mwingine ni sharti afuate process za kimahakama.
Alichofanyiwa huyo dada ni uvamizi, ana haki ya kufungua kesi na hata kudai fidia. Anaweza hata kusema katika vitu walivyochukuwa kulikuwa na kiaisi cha fedha.
Wabongo pia ni wavivu sana kusoma mikataba. Unapokuwa na shida ya pesa, unasaini chochote utakachopewa bila kusoma. Kumbe umesaini uhai wako kwa walaghai wa mjini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]kuna mmoja nimeona fb juzi unalipwa masaa 24 hahuitaji dhamana nkawacheki he wanataka nitume 25k ya kujiunga si unikate huko...akagoma.... nkawaza waleeee wanataka kurudisha hela zaooo..nkazima simu nkatoa betri kama masaa mawili nkarudisha nkasema ahsante mola nimekoma nao sirudi tena
Na wewe ni ndezi kwanin umaind wakati hawana uwezo wa kukufanya loloteMkuu ni kama umenikumbusha vile,nipo safarini naenda wilaya x,mala paa naona msg ikisema una mfahamu furani Nini Fulani? Sikujibu msg,mara akapiga. Haloo unaongea na Afisa mikopo kutoka kampuni ya KOPA FASTA, unamfhamu furani bini furani nikasema ndio namfahamu Kuna Nini? Akasema uyu ndugu alikopa Katika kampuni yetu na ajalipa na tukimpigia simu apokei.Mimi nikamuuliza je namba yangu umenipata wapi? Akasema wakati anajaza mkopo online aliweka namba Yako kama mtu wa karibu.Kwaiyo mpigie simu mwambie alipe mkopo. Kilichonikela ni huyu ndugu yangu kutumia namba yangu kukopea pasipo kuniambia,nimempigia simu kumuuliza analeta maneno kibao Yani nime mmaindi kinoma [emoji12][emoji12][emoji12][emoji12] Nimemwambia alipe deni haraka..Dahhhhhh .Kausha damuuuuuuu ni hatariiii.
Shangaa na wewe wakati wenye dini yao wanakuambia riba ni dhambiMufti hadi mambo ya riba unayajua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
wanariba kandamizi balaa, kikubwa ukiwapatia kuomba mkopo ingia mitinihawaa n kausha damu wengine kha
20000-sik 8-26000
siku 30?6000 x4....
Ndio hivo ukikopa we ingia mitini kimbia na block number zao. Matapeli hawaDuh, wana ujenzi nini. Mbona riba kubwa hivyo halafu ndani ya siku chache. Anyway, kusajili line ni buku
Number tu ndio inayotumikaWengine hawana kadi ya nida! Kuna ambao wanaitaji namba tu? Wapi hao tuwafirisi
[emoji23][emoji23][emoji23] Maisha yakibana huna jinsiMufti hadi mambo ya riba unayajua[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mdhamini wangu Ni kitambulisho Cha NIDA , nimehama mji na kubadilisha laini.Wana message za vitisho hao hadi kwa wazamini
Siku hizi wamestukia namba, wanataka nida na mdhamini, unapoishi , mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa. Ukiwapa hivyo huchomoki.Number tu ndio inayotumika
Hakuna kitu kitamu kama kutomb(er)Usipende ngono sana kijana. Kuna watu wengi wamekufa sana kwa tamaa ya ngono.
Ngono iliyoruhusiwa ni ya ndoa yaani mke na mume tena wawe na kiasi
Watakuwa washastuka baada ya kipigwa matukio. Watu wakikopa hawalipiSiku hizi wamestukia namba, wanataka nida na mdhamini, unapoishi , mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa. Ukiwapa hivyo huchomoki.
Kwani wanaweza kutrack location kupitia namba ya simu kukukamata?? Mimi wananidai 27000 pamoja na penalty wakibip nawaambia wasubiri subiriMdhamini wangu Ni kitambulisho Cha NIDA , nimehama mji na kubadilisha laini.
Mwanzoni walipiga simu Sana Hadi wakani refer kwa debt collector, nikaona kumbe hii laini na huu mji ndivyo wanavyojua. Nimehamia mwanza mtaa wa Nyerere naishi kwa amani.
Sitaki mikopo Yao Tena.
na huo ndio ukomo wa uelewa wako, sikulaumu.nenda kakope halafu usilipe uone!
ndichoo kilichomkuta mjumbe wangu mdada alikwenda kwa mjumbe kumsaidia karatasi za kuonyesha mwenyeji alafu anadaiwa ajifiche we mjumbe kachukua fimbo kasoogeza pazia yumoo kamdanganya toka usiwe na wasi wasi awafanyi chochote ,,,,,,,Siku hizi wamestukia namba, wanataka nida na mdhamini, unapoishi , mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa. Ukiwapa hivyo huchomoki.
Dawa ya deni kulipa