Mikopo ya kausha damu ipo mtaani, tuwe makini

Mliokopq pesa x nipeni mbinu mana nina line za wana wawili ambazo ni extra hata zikizimwa miezi miwili sawa na yangu ikiwemo wataweza nitafuta kwenye nini tena nikizma line.
 
nenda kakope halafu usilipe uone!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji106]
 
Na wewe ni ndezi kwanin umaind wakati hawana uwezo wa kukufanya lolote
 
Wana message za vitisho hao hadi kwa wazamini
Mdhamini wangu Ni kitambulisho Cha NIDA , nimehama mji na kubadilisha laini.
Mwanzoni walipiga simu Sana Hadi wakani refer kwa debt collector, nikaona kumbe hii laini na huu mji ndivyo wanavyojua. Nimehamia mwanza mtaa wa Nyerere naishi kwa amani.
Sitaki mikopo Yao Tena.
 
Kwani wanaweza kutrack location kupitia namba ya simu kukukamata?? Mimi wananidai 27000 pamoja na penalty wakibip nawaambia wasubiri subiri
 
Siku hizi wamestukia namba, wanataka nida na mdhamini, unapoishi , mjumbe na mwenyekiti wa serikali za mitaa. Ukiwapa hivyo huchomoki.
ndichoo kilichomkuta mjumbe wangu mdada alikwenda kwa mjumbe kumsaidia karatasi za kuonyesha mwenyeji alafu anadaiwa ajifiche we mjumbe kachukua fimbo kasoogeza pazia yumoo kamdanganya toka usiwe na wasi wasi awafanyi chochote ,,,,,,,
wajumbe si wa tu wa zu ri walah
 
Dawa ya deni kulipa

Kuna jamaa alikopa hela kwa kausha damu. Akawa halipi marejesho na riba ikaja kuwa kubwa mno kushinda fedha alizokopa. Jamaa wale wakamtafuta na kumtia ndani. Mkopaji aliwekewa dhamana siku ya pili na akina kausha damu wakamfungulia mashitaka. Kuona hivyo na jamaa akaenda kufungua kesi ya kuwashitaki kausha damu kuwa wanafanya biashara ya fedha bila kulipa kodi serikalini. Kausha damu nao wakakamatwa na kufunguliwa mashitaka. Kuona hivyo kausha damu wakaenda kufuta ile kesi ya mkopaji na kukimbia kusikojulikana. Mkopaji naye akaenda mahakamani akafuta kesi. Kwa hiyo hapa ni kuwa DAWA YA MOTO NI MOTO.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…