Mikopo ya kausha damu ipo mtaani, tuwe makini

Huyo alikuwa na akili, sasa sisi wengine hatutapata wazo hilo😀
 
Huyo alikuwa na akili, sasa sisi wengine hatutapata wazo hilo[emoji3]

Ni kweli lakini naye walimshauri watu wanaojua masuala ya biashara kuwa wale kausha damu walikuwa wanafanya biashara ya fedha bila usajili wa kampuni ili serikali nayo inyake kodi.
 
Umenikumbusha kitu,
Hivi BRANCH na wale washirika wao TALA wanalipia Kodi VAT
kila riba wanayotutoza?
Nisipopata jibu zuri sirejeshi mkopo wa BRANCH.
 
Kausha damu Keisha habari Yao. Kuanzia december mosi hakutakua na matangazo FB
 
Umenikumbusha kitu,
Hivi BRANCH na wale washirika wao TALA wanalipia Kodi VAT
kila riba wanayotutoza?
Nisipopata jibu zuri sirejeshi mkopo wa BRANCH.

Unajua hawa kausha damu wengi huwa hawalipi kodi, wanaendesha hii biashara yao kibubu!
 
Mkikopa pesa rudisheni. Yani wabongo shida yao ni hiyo... hujalazimishwa kukopa umekwenda mwenyewe, yani una hela ya mtu alaf anataka heka yake unamuona msumbufu. Ushasahau kama ni jasho lake...

Ukikopa lipa acha janja janja
 
Mkikopa pesa rudisheni. Yani wabongo shida yao ni hiyo... hujalazimishwa kukopa umekwenda mwenyewe, yani una hela ya mtu alaf anataka heka yake unamuona msumbufu. Ushasahau kama ni jasho lake...

Ukikopa lipa acha janja janja
Nakazia, wabongo n waajabu sana, yani mtu anaenda kukopa ili tu asilipe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…