Mikutano imeanza bila kuwa na hoja za kuitikisa Serikali ya Rais Samia

Mikutano imeanza bila kuwa na hoja za kuitikisa Serikali ya Rais Samia

Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Weee ni chawa. Hamna great thinker ambaye anaweza kuwa chawa
 
Ukiona Mtu haioni hii inflation huyo ni maiti inayotembea!
Kwani huzioni juhudi za mh Rais tangia awali? Nchi gani isiyo na mfumuko wa Bei? Huoni na kufahamu kuwa Hilo suala la kidunia? Huna taarifa kuwa kitakwimu katika suala la mfumuko wa Bei Tanzania na serikali take imefanya vizuri katika kulikabili
 
Nilidhan ungesema hivi

Kwenye Chakula...Rais kafanya Moja mbili tatu

Kwenye Gharama za Maisha ... Rais kafanya Moja mbili tatu

Kwenye Afya, kfanya Moja mbili tatu


Kwenye Mbuga za Wanyama..kafanya Moja mbili tatu..

Kwenye Madini, kfanya Moja mbili tatu.


Weee mjinga kweli yaaan, mavijana kama wewe, ndio yaleyale mnakuja kupewa UDC, alafu Hujui uufanyie nn, unabaki kufurahia Kupewa nyumba, inayolindwa na Askari!!.
Hayo yote mbona nimeyaeleza hapo juu kuanzia Afya,Elimu,kilimo,uchumi n.k?
 
Kwani huzioni juhudi za mh Rais tangia awali? Nchi gani isiyo na mfumuko wa Bei? Huoni na kufahamu kuwa Hilo suala la kidunia? Huna taarifa kuwa kitakwimu katika suala la mfumuko wa Bei Tanzania na serikali take imefanya vizuri katika kulikabili
Hayo maswali ni kama unajiuliza wewe mwenyewe!
 
Kwahiyo mchele kuuzwa 3,000/- kwa kilo moja unaona siyo hoja? Maharage kuuzwa 3,800/- kwako siyo hoja?
Hata kama ni chawa wa mama, angalau fikiri kidogo
Kilimo Ni biashara,unafahamu Bei ya mbolea mfukonwa DAP ulikuwa shilingi ngapi msimu uliopita? Ulitaka wakulima wapate hasara mpaka lini? Kwanini hamna huruma na wakulima? Mnajuwa ugumu wa jembe? Umewahi kulima ? Au umekaa tu huko mjini unasubiri wakulima wapinde migongo ili uje uwapangie Bei?
 
Tatizo lilianzia pale vyama pinzani vilpowekewa vikwazo katika shughuri zao za kisiasa hasa mikutano ya hadhara. Vyama hivi Kwa makosa vikaaza kupishana vyenyewe Kwa wenyewe badala ya kuwa imara na ukomavu katika hari ngumu waliyopitia. Hoja zikahamia kwenye kutafunana wenyewe Kwa wenyewe. Hii ilipelekea disorganization ya vyama.

Kufunguliwa Kwa shughuri za kisiasa kumekuja kama ghafla kwani vyama vingi vimepoteana siyo strong kama mwanzo, sawa na jambazi ulifunge miaka zaidi ya ishirini alafu siku ya kutoka ulipe ramani likafanye tukio, hapo ni sawa na Bure. Itachukua muda kidogo

Changamoto ya COVID-19 na vita ya Ukraine na Urusi, wanachi ni kama wameweka Kando siasa na kuhamia kwenye Mpira na betting
 
Kilimo Ni biashara,unafahamu Bei ya mbolea mfukonwa DAP ulikuwa shilingi ngapi msimu uliopita? Ulitaka wakulima wapate hasara mpaka lini? Kwanini hamna huruma na wakulima? Mnajuwa ugumu wa jembe? Umewahi kulima ? Au umekaa tu huko mjini unasubiri wakulima wapinde migongo ili uje uwapangie Bei?
Unapouziwa mazao bei mbaya maana yake hata pembejeo za kilimo nazo ni bei mbaya. Nimetaja mazao ya kilimo kama end products kwenye mlolongo mzima wa ukulima. Hii maana yake serikali kuna pahala imeteleza ikasababisha kila kitu kwenye huo mnyololo kiwe na bei kubwa. Wala sikumaanisha wakulima wauze mazao yao bei ndogo, wakati wao wamenunua pembejeo kwa bei kubwa
 
Unapouziwa mazao bei mbaya maana yake hata pembejeo za kilimo nazo ni bei mbaya. Nimetaja mazao ya kilimo kama end product kwenye mlolono mzima wa ukulima. Hii maana yake serikali kuna pahala imeteleza ikasababisha kla kitu kwenye huo mnyololo kiwe na bei kubwa. Wala sikumaanisha wakulima wauze mazao yao bei ndogo, wakati wao wamenunua pembejeo kwa bei kubwa
Mfumuko wa Bei wa mbolea haukusababishwa na serikali ya CCM Bali ulikuwa Ni mfumuko katika soko la Dunia,Ndio maana unaona serikali ikiwekeza mabillioni ya Ruzuku ili kumtua mzigo mwananchi
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Wewe chawa aliyekuambia kuwa lengo la mikutano hiyo ni kuitikisa Serikali? After all mikutano hasa bado kilichofanyika so far ni curtain raiser. Wewe endelea kuishi kwa matumaini ya kuteuliwa na kuweka namba za simu wenye chama chao wanapeana pasi za upendo.
 
Nilidhan ungesema hivi

Kwenye Chakula...Rais kafanya Moja mbili tatu

Kwenye Gharama za Maisha ... Rais kafanya Moja mbili tatu

Kwenye Afya, kfanya Moja mbili tatu


Kwenye Mbuga za Wanyama..kafanya Moja mbili tatu..

Kwenye Madini, kfanya Moja mbili tatu.


Weee mjinga kweli yaaan, mavijana kama wewe, ndio yaleyale mnakuja kupewa UDC, alafu Hujui uufanyie nn, unabaki kufurahia Kupewa nyumba, inayolindwa na Askari!!.
Aseme hivyo naye anasubiria mkeka? Huyo bwege ni chukizo hata kwenye familia yake
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Andishi refu lakini pumba tupu
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
popobawa weweeee
 
Back
Top Bottom