Mikutano imeanza bila kuwa na hoja za kuitikisa Serikali ya Rais Samia

Mikutano imeanza bila kuwa na hoja za kuitikisa Serikali ya Rais Samia

Njoo ufanye mkutano wa hadhara huku nyanda za juu kusini uwaambie wakulima na wananchi kuwa wawaunge mkono kwa kuwa Bei ya mahindi Yao na Mchele watahakikisha kuwa vinashukaa Bei,majibu watakayokupa uje uyalete hapa

Mkutano wa hadhara kwamba mfumuko wa bei utashuka na hivyo vitu vyote ikiwamo bei za vyakula itashuka hamna ambaye hatafurahi.

Habari ndiyo hiyo.
 
"Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi"

Lucas mwashambwa !

Ebu niambie nikuelewe!

Sasa...pamoja na hayo mabilioni ambayo umeyataja,kuwa yamewekwa kama Ruzuku,ili kuokoa au kushusha mfumko wa bei...

.....inakuwaje kwamba bado bei ziko vilevile kwenye Masoko,Maduka na Mabucha?

Au unatuambia kwamba Sania Anatoa Ruzuku!

Halafu Mwigulu Anaficha bila kuziweka kwenye Mzunguko!

Wananchi wanahitaji kuona matokeo,ya kile kinachotamkwa na serikali.

Halafu pia!
Lucas mwashambwa

Unapaswa kuelewa kitu kimoja hapa!

Serikali inapoweka Ruzuku kwenye mbolea au Mafuta,halafu "Tozo" ikawa Palepale!

Umeme ukaendelea kuwa tatizo Sugu....

Bado tatizo linakuwa halijatatuliwa!

Sababu ni sawa na kutoa pesa mkono wa kulia na kuziham8shia mkono wa kushoto!

Serikali inakuwa inawakaamga watanzania kwa mafuta yao yenyewe!

Soma hiyo na uache mapambio mengi,wakati watu wanashindia mlo mmoja majumbani.

Kutoa ruzuku ya mbolea kwa wakulima,halafu ukafungua mipaka na kuruhusu wageni wakiingia nchini na kufanya ulanguzi wa Mazao kiholela mashambani kwa hao wakulima!

Badala ya wageni kuishia kwenye Masoko ya kimataifa ya mazao!
Ambayo yalianzishwa kimkakati,ili pamoja na kuweza kutumia bei elekezi,lakini pia serikali ingekata kodi yake na pia kuongeza pato la Taifa.

Sasa inakuwa kinyume chake!
Hiyo Ruzuku,inawanufaisha Wakongomani,Wakenya,Wanyarwanda na pia mpaka Sudan kusini wananufaika na chakula kitokanacho na mbolea ya Ruzuku iliyokusudiwa kumuinua mkulima wa Tanzania.

Nasema hivyo kwa sababu,nimeshuhudia wakulima wakiuza mazao yao kabla hata ya kuvunwa mashambani.
Hii ni kutokana na mazingira magumu ya kipato,na uhotaji mkubwa wanaokuwa nao kwenye suala la Raslimali Pesa.
Asante mkuu kwa maswali yako,ningependaa kukujibu kuwa katika uwekaji wa pesa za Ruzuku uliofanywa na serikali ya Rais wetu mpendwa mama Samia ilileta tija Sana mfano katika mbolea kabla ya Ruzuku mbolea ya DAP ilikuwa inapatikana kwa laki moja na 40 lakini msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP inapatikana kwa Elfu 70 tu,je huoni hapo kuwa imeleta tija? Huoni kuwa mkulima kapunguziwa mzigo wa Bei? Huoni inamsaidia mkulima kumudu Bei?

Suala la kutokufunga mipaka nalo ningependaa nikujibu kuwa lazima utambue kuwa kilimo Ni biashara na ufungaji wa mipaka miaka yote Ndio umekuwa ukimdidimiza mwananchi au mkulima kiuchumi na kubakia katika dimbwi la umasikini licha ya kuhenyeka Sana na jembe lake begani lakini mkulima amekuwa anashindwa hata kujenga nyumba Bora na hata kumuda gharama za Mahitaji mengine kutokana na kunyonywa katika Bei kwa kupangiwa Bei na mahali pa kuuza.

Ilichokifanya na I achokifanya serikali yetu shupavu na madhubuti chini ya uongozi Mahiri na imara wa mama Samia ni kuhakikisha kuwa inatunza chakula Cha kutosha katika maghala yake na kupeleka sehemu zenye uhitaji kwa Bei nzuri,suala kuwa watu wanaingia Hadi vijijini na kuiokosesha serikali Kodi ningependaa kukujibu kuwa huwezi ukasafirisha mahindi bila kulipia ushuru kutoka katika eneo husika nakufika mbali,fedha hizi za ushuru zimekuwa chanzo kizuri Cha halmashauri nyingi hasa huku kwetu nyanda za juu kusini na kusaidia katika Uendeshaji Wa shughuli mbalimbali Kama vile utolewaji wa huduma za kijamii Kama vile ujenzi wa shule, zahanati, Barabara, usambazaji wa maji Safi na salama n.k
 
Asante mkuu kwa maswali yako,ningependaa kukujibu kuwa katika uwekaji wa pesa za Ruzuku uliofanywa na serikali ya Rais wetu mpendwa mama Samia ilileta tija Sana mfano katika mbolea kabla ya Ruzuku mbolea ya DAP ilikuwa inapatikana kwa laki moja na 40 lakini msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP inapatikana kwa Elfu 70 tu,je huoni hapo kuwa imeleta tija? Huoni kuwa mkulima kapunguziwa mzigo wa Bei? Huoni inamsaidia mkulima kumudu Bei?

Suala la kutokufunga mipaka nalo ningependaa nikujibu kuwa lazima utambue kuwa kilimo Ni biashara na ufungaji wa mipaka miaka yote Ndio umekuwa ukimdidimiza mwananchi au mkulima kiuchumi na kubakia katika dimbwi la umasikini licha ya kuhenyeka Sana na jembe lake begani lakini mkulima amekuwa anashindwa hata kujenga nyumba Bora na hata kumuda gharama za Mahitaji mengine kutokana na kunyonywa katika Bei kwa kupangiwa Bei na mahali pa kuuza.

Ilichokifanya na I achokifanya serikali yetu shupavu na madhubuti chini ya uongozi Mahiri na imara wa mama Samia ni kuhakikisha kuwa inatunza chakula Cha kutosha katika maghala yake na kupeleka sehemu zenye uhitaji kwa Bei nzuri,suala kuwa watu wanaingia Hadi vijijini na kuiokosesha serikali Kodi ningependaa kukujibu kuwa huwezi ukasafirisha mahindi bila kulipia ushuru kutoka katika eneo husika nakufika mbali,fedha hizi za ushuru zimekuwa chanzo kizuri Cha halmashauri nyingi hasa huku kwetu nyanda za juu kusini na kusaidia katika Uendeshaji Wa shughuli mbalimbali Kama vile utolewaji wa huduma za kijamii Kama vile ujenzi wa shule, zahanati, Barabara, usambazaji wa maji Safi na salama n.k
Nitakujibu vizuri sana kesho asubuhi panapo majaaliwa!
 
Hoja yao ni bei ya chakula ....SSH akitoa amri ghala moja tu au mawili yaingize mzigo mtaani, hoja inakufa.

Wanabaki kuimba katiba, katika hoja ya katiba, kitu ambacho wananchi hawaelewi CDM, au CDM wameshindwa kuwaelewesha watz, ni uhusiano wa maisha yao na katiba, wananchi wakiona shule, lami, kituo Cha afya, ulinzi na Usalama, wanajiuliza nini kimepungua?

Na CCM katiba wanayo mkononi, wanaweza kuweka muda wa miaka mitatu au mitano mbele ili ianze kutumika wakati serikali inaziandaa taasisi ambazo zitawezesha katiba hiyo ifanye kazi vizuri. Hoja inakuwa imekufa.

Ni sawa na hoja ya umeme, mvua imeonyesha, hoja imekufa. CCM Wana akiba ya maneno kupitia mradi wa umeme wa Stiglers, Rusumo, malagarasi, Kinyerezi 4 ambao Bomba la gesi linatumika kwa chini ya asilimia kumi. Wakilifungua Bomba kwa asilimia zote, umeme utawaka mpaka mfukoni mwa suruwali.

Ukosefu wa maji Dsm, mvua imeonyesha, hoja imekufa. Na hapa Kuna mradi wa Stiglers ambao utakuwa "super sub" ya mto ruvu katika kupeleka maji Dar es salaam na Morogoro.

Hapa ndio CDM wajifunze kuja na hoja ngumu ambazo zitavuka test of time, sio hoja inakuwa ngumu kama barafu kwenye friji, ikiwekwa juani inayeyuka
Umeongea ukweli mtupu ila sijui kama watakuelewa.
 
We Dogo kaa ukijua kwamba wakati wewe unaandika sisi wana CCM wengine tunaona aibu.
Mimi ninaandika kwa kuwa Nina hoja,fuatilia Takwimu za kiuchumi katika nchi za Africa uone namna Tanzania inavyofanya vizuri kiuchumi katika maeneo yote ikiwemo suala la kudhibiti mfumuko wa bei
 
QUOTE="Lucas mwashambwa, post: 45119830, member: 674699"]Asante mkuu kwa maswali yako,ningependaa kukujibu kuwa katika uwekaji wa pesa za Ruzuku uliofanywa na serikali ya Rais wetu mpendwa mama Samia ilileta tija Sana mfano katika mbolea kabla ya Ruzuku mbolea ya DAP ilikuwa inapatikana kwa laki moja na 40 lakini msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP inapatikana kwa Elfu 70 tu,je huoni hapo kuwa imeleta tija? Huoni kuwa mkulima kapunguziwa mzigo wa Bei? Huoni inamsaidia mkulima kumudu Bei?

Suala la kutokufunga mipaka nalo ningependaa nikujibu kuwa lazima utambue kuwa kilimo Ni biashara na ufungaji wa mipaka miaka yote Ndio umekuwa ukimdidimiza mwananchi au mkulima kiuchumi na kubakia katika dimbwi la umasikini licha ya kuhenyeka Sana na jembe lake begani lakini mkulima amekuwa anashindwa hata kujenga nyumba Bora na hata kumuda gharama za Mahitaji mengine kutokana na kunyonywa katika Bei kwa kupangiwa Bei na mahali pa kuuza.

Ilichokifanya na I achokifanya serikali yetu shupavu na madhubuti chini ya uongozi Mahiri na imara wa mama Samia ni kuhakikisha kuwa inatunza chakula Cha kutosha katika maghala yake na kupeleka sehemu zenye uhitaji kwa Bei nzuri,suala kuwa watu wanaingia Hadi vijijini na kuiokosesha serikali Kodi ningependaa kukujibu kuwa huwezi ukasafirisha mahindi bila kulipia ushuru kutoka katika eneo husika nakufika mbali,fedha hizi za ushuru zimekuwa chanzo kizuri Cha halmashauri nyingi hasa huku kwetu nyanda za juu kusini na kusaidia katika Uendeshaji Wa shughuli mbalimbali Kama vile utolewaji wa huduma za kijamii Kama vile ujenzi wa shule, zahanati, Barabara, usambazaji wa maji Safi na salama n.k[/QUOTE]
Nitakujibu vizuri sana kesho asubuhi panapo majaaliwa!

Kada Mtiifu
Lucas mwashambwa !

Kwa uwezo wake Mola!...hatimae
Asubuhi njema imewadia nikiwa wa afya njema.....

Naomba nikujibu kama nilivyoahidi hiyo jana!

Nianze na Mbolea ya "DAP" kuwekewa Ruzuku na hivyo kushuka bei kutoka 140,000/= kwa mujibu wa taarifa yako!
Na kushuka hadi 70,000/=

Pamoja na hatua hii kuwa nzuri kwa mkulima,wewe hupaswi kuitumia sasa hivi kuiita mafanikio!
Kwa sababu ndio kwanza imeanza kutekelezwa,na mafanikio yake,yatategemea ufanisi wa maafisa ugani huko vijijini,kama watafanikiwa kutoa elimu kwa wananchi namna ya kuitumia kwa ufanisi.
Na impact yake itayegemea pia na muenendo wa ms8mu wa upatikanaji wa mvua!

Kuanzia mwaka ujao.....

Halafu pia uelewe,hiyo ruzuku,imekuja baada ya huyo huyo mkulima kukatwa Tozo kibao,na kumdidimiza kimapato kutokana na ititiri wa Tozo na Ushuru wa Halmashauri.

Lakini nikukumbushe tena! uelewe kwamba hoja hapa ni nini kimepelekea maisha ya watanzania kuwa ya shida,ghafla baada ya utawala wa Samia kuingia Madarakani??

Kuhusu ufunguaji mipaka holela!

Umesema kwamba,"mkulima sasa ananufaika na bei sahihi ya mazao yake!"

Huo ni Uongo tena wa kiwango cha hali ya juu!
Mkulima hanufaiki chochote na hizo bei,wanaonufaika ni walanguzi wanaolangua mazao kinyela mashambani tena saa ingine kabla hata ya kuvunwa!

Na hao wakulima kwa sababu wana uhitaji mkubwa wa Pesa!
Wanajikuta wanauza mpaka akibavyao binafsi ya chakula!

Hivi tunapiandika humu JF, mojawapo ya kundi kubwa linalotaabika na maisha haya ni hao hao waliouza npaka akiba yote ya chakula!

Na pia uelewe,bei kubwa ya chakula,haitaweza kumnufaisha chochote mkulima,endapo utitiri wa kodi,Tozo na ushuru wa halmashauri hautaondolewa na kubaki kodi walau moja tu ya halali.

Kwamba halmashauri zinajenga miradi ya Maendeleo kupitia ushuru wa mazao,ni uongo mtupu!

Huko ndiko chaka la wezi limejikita,halmashauri ndio kikwazo kikubwa cha Maendeleo ya nchi hii.
Na kila siku wakurugenzi wa halmashauri hizi,wanaendelea kukamatwa sababu ya ubadhilifu nchi nzima!

Pesa zinazojenga hiyo miradi,kwa mujibu wa serikali yenyewe!
Zinatokana na Mikopo!
Fedha za misaada ya Uviko!
Tozo tunazokatwa muamala!
Kodi ya mapato!

Huko halmashauri wamejaa sampuli ya wewe,wanasifu ili mafunhu yaende!
Halafu wanajua jinsi ya kupiga!

Kuhusu Serikali kutunza chakula kwenye maghala!

Hili nalo linaonyesha ni jinsi gani,serikali isivyo na watendaji wenye weledi.
Haiji akilini kwamba,seriksli inajivunia kuhifadhi chakula kwa mamilioni ya tani.

Wakati huo huo,inashindwa kuitoa sasa hiyo akiba,ili iwasaidie wananchi,ili kushusha bei ya mfumko inayoendelea kuwaumiza wananchi.

Na huenda huko serikalini viongozi wana nunua na kuneemeka na hiyo akiba ya chakula,wakati sisi tukihenyeshwa na walanguzi.
Maana kwa Tanzania hii,viongozi madishi yao yameangalia matumboni zaidi.

Kama unabisha....tutajie ni wapi serikali imepeleka chakula mpaka sasa,ili kujaribu kunusuru mfumko wa bei masokoni?

Kuhusu huduma za kijamii!

Hapa Serikali inaweza kujisifu kwa kujenga miundombinu ya najengo ya mashule,mahospitali na zahanati!

Lakini Wananchi wanacholilia ni uduni wa hizo huduma,ambazo zinatolewa ndani ya hayo majengo!
Mashuleni wanalilia kiwango duni cha Taaluma!
Wanalilia kiwango Duni cha vifaa kazi ya ufundidhaji kwa walimu,ikiwemo pia maslahi duni kwa walimu!
Walimu ndio watum8shi ambao ni wahamga wakubwa wa mikopo na madeni nvhi hii!

Mahospitalini!

Huko wananchi wanalilia gharama kubwa za matibabu ndani ya nchi hii,kwamba mtu anatibiwa kulingana na salio lililopo,salio likikata na Uhai pia unakuwa hatarini kukatika.

Tunashuhudia ufisadi mkubwa kupitia Bima za afya nchini.
Tunashihudia wizi wa madawa ya wagonjwa mahospitalimi tena waziwazi mchana kweupe!

Kila daktari kwa asilimia kubwa,anamiliki aidha Pharmacy au ka- Dispensary kake.
Pale hospitali ya Umma alipiajiriwa,yeye anapageuza kituo cha kutafutia wateja.
Pamoja na kuiba Dawa kuoeleka kwake!

Nimekujibu kadri ya ulivyoandika mwenyewe
Lucas mwashambwa !

Tunaishi na Tunashuhudia pia!
 
Majibu Yangu kwako....

Lucas mwashambwa

Nimeamua kuanza, kwa kuziweka hoja zako!
Sambamba!
ili twende hoja kwa hoja!

Wasomaji pia mniwie radhi kwa hilo,ila ni vizuri kupambanua!

"Lucas mwashambwa, post: 45119830, member: 674699"]Asante mkuu kwa maswali yako,ningependaa kukujibu kuwa katika uwekaji wa pesa za Ruzuku uliofanywa na serikali ya Rais wetu mpendwa mama Samia ilileta tija Sana mfano katika mbolea kabla ya Ruzuku mbolea ya DAP ilikuwa inapatikana kwa laki moja na 40 lakini msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP inapatikana kwa Elfu 70 tu,je huoni hapo kuwa imeleta tija? Huoni kuwa mkulima kapunguziwa mzigo wa Bei? Huoni inamsaidia mkulima kumudu Bei?

Suala la kutokufunga mipaka nalo ningependaa nikujibu kuwa lazima utambue kuwa kilimo Ni biashara na ufungaji wa mipaka miaka yote Ndio umekuwa ukimdidimiza mwananchi au mkulima kiuchumi na kubakia katika dimbwi la umasikini licha ya kuhenyeka Sana na jembe lake begani lakini mkulima amekuwa anashindwa hata kujenga nyumba Bora na hata kumuda gharama za Mahitaji mengine kutokana na kunyonywa katika Bei kwa kupangiwa Bei na mahali pa kuuza.

Ilichokifanya na I achokifanya serikali yetu shupavu na madhubuti chini ya uongozi Mahiri na imara wa mama Samia ni kuhakikisha kuwa inatunza chakula Cha kutosha katika maghala yake na kupeleka sehemu zenye uhitaji kwa Bei nzuri,suala kuwa watu wanaingia Hadi vijijini na kuiokosesha serikali Kodi ningependaa kukujibu kuwa huwezi ukasafirisha mahindi bila kulipia ushuru kutoka katika eneo husika nakufika mbali,fedha hizi za ushuru zimekuwa chanzo kizuri Cha halmashauri nyingi hasa huku kwetu nyanda za juu kusini na kusaidia katika Uendeshaji Wa shughuli mbalimbali Kama vile utolewaji wa huduma za kijamii Kama vile ujenzi wa shule, zahanati, Barabara, usambazaji wa maji Safi na salama n.k[/QUOTE]
Nitakujibu vizuri sana kesho asubuhi panapo majaaliwa!

Kada Mtiifu
Lucas mwashambwa !

Kwa uwezo wake Mola!...hatimae
Asubuhi njema imewadia nikiwa wa afya njema.....

Naomba nikujibu kama nilivyoahidi hiyo jana!

Nianze na Mbolea ya "DAP" kuwekewa Ruzuku na hivyo kushuka bei kutoka 140,000/= kwa mujibu wa taarifa yako!
Na kushuka hadi 70,000/=

Pamoja na hatua hii kuwa nzuri kwa mkulima,wewe hupaswi kuitumia sasa hivi kuiita mafanikio!
Kwa sababu ndio kwanza imeanza kutekelezwa,na mafanikio yake,yatategemea ufanisi wa maafisa ugani huko vijijini,kama watafanikiwa kutoa elimu kwa wananchi namna ya kuitumia kwa ufanisi.
Na impact yake itayegemea pia na muenendo wa ms8mu wa upatikanaji wa mvua!

Kuanzia mwaka ujao.....

Halafu pia uelewe,hiyo ruzuku,imekuja baada ya huyo huyo mkulima kukatwa Tozo kibao,na kumdidimiza kimapato kutokana na ititiri wa Tozo na Ushuru wa Halmashauri.

Lakini nikukumbushe tena! uelewe kwamba hoja hapa ni nini kimepelekea maisha ya watanzania kuwa ya shida,ghafla baada ya utawala wa Samia kuingia Madarakani??

Kuhusu ufunguaji mipaka holela!

Umesema kwamba,"mkulima sasa ananufaika na bei sahihi ya mazao yake!"

Huo ni Uongo tena wa kiwango cha hali ya juu!
Mkulima hanufaiki chochote na hizo bei,wanaonufaika ni walanguzi wanaolangua mazao kinyela mashambani tena saa ingine kabla hata ya kuvunwa!

Na hao wakulima kwa sababu wana uhitaji mkubwa wa Pesa!
Wanajikuta wanauza mpaka akibavyao binafsi ya chakula!

Hivi tunapiandika humu JF, mojawapo ya kundi kubwa linalotaabika na maisha haya ni hao hao waliouza npaka akiba yote ya chakula!

Na pia uelewe,bei kubwa ya chakula,haitaweza kumnufaisha chochote mkulima,endapo utitiri wa kodi,Tozo na ushuru wa halmashauri hautaondolewa na kubaki kodi walau moja tu ya halali.

Kwamba halmashauri zinajenga miradi ya Maendeleo kupitia ushuru wa mazao,ni uongo mtupu!

Huko ndiko chaka la wezi limejikita,halmashauri ndio kikwazo kikubwa cha Maendeleo ya nchi hii.
Na kila siku wakurugenzi wa halmashauri hizi,wanaendelea kukamatwa sababu ya ubadhilifu nchi nzima!

Pesa zinazojenga hiyo miradi,kwa mujibu wa serikali yenyewe!
Zinatokana na Mikopo!
Fedha za misaada ya Uviko!
Tozo tunazokatwa muamala!
Kodi ya mapato!

Huko halmashauri wamejaa sampuli ya wewe,wanasifu ili mafunhu yaende!
Halafu wanajua jinsi ya kupiga!

Kuhusu Serikali kutunza chakula kwenye maghala!

Hili nalo linaonyesha ni jinsi gani,serikali isivyo na watendaji wenye weledi.
Haiji akilini kwamba,seriksli inajivunia kuhifadhi chakula kwa mamilioni ya tani.

Wakati huo huo,inashindwa kuitoa sasa hiyo akiba,ili iwasaidie wananchi,ili kushusha bei ya mfumko inayoendelea kuwaumiza wananchi.

Na huenda huko serikalini viongozi wana nunua na kuneemeka na hiyo akiba ya chakula,wakati sisi tukihenyeshwa na walanguzi.
Maana kwa Tanzania hii,viongozi madishi yao yameangalia matumboni zaidi.

Kama unabisha....tutajie ni wapi serikali imepeleka chakula mpaka sasa,ili kujaribu kunusuru mfumko wa bei masokoni?

Kuhusu huduma za kijamii!

Hapa Serikali inaweza kujisifu kwa kujenga miundombinu ya najengo ya mashule,mahospitali na zahanati!

Lakini Wananchi wanacholilia ni uduni wa hizo huduma,ambazo zinatolewa ndani ya hayo majengo!
Mashuleni wanalilia kiwango duni cha Taaluma!
Wanalilia kiwango Duni cha vifaa kazi ya ufundidhaji kwa walimu,ikiwemo pia maslahi duni kwa walimu!
Walimu ndio watum8shi ambao ni wahamga wakubwa wa mikopo na madeni nvhi hii!

Mahospitalini!

Huko wananchi wanalilia gharama kubwa za matibabu ndani ya nchi hii,kwamba mtu anatibiwa kulingana na salio lililopo,salio likikata na Uhai pia unakuwa hatarini kukatika.

Tunashuhudia ufisadi mkubwa kupitia Bima za afya nchini.
Tunashihudia wizi wa madawa ya wagonjwa mahospitalimi tena waziwazi mchana kweupe!

Kila daktari kwa asilimia kubwa,anamiliki aidha Pharmacy au ka- Dispensary kake.
Pale hospitali ya Umma alipiajiriwa,yeye anapageuza kituo cha kutafutia wateja.
Pamoja na kuiba Dawa kuoeleka kwake!

Nimekujibu kadri ya ulivyoandika mwenyewe
Lucas mwashambwa !

Tunaishi na Tunashuhudia pia!
 
Ukiona Mtu haioni hii inflation huyo ni maiti inayotembea!
Ila John Una akili kubwa Sana. Hivi kweli kama Mtu unataka kuitetea CCM na unapenda iwe imara, unawezaje kutetea mfumuko wa bei au kujifanya huuoni? Kwamba Wananchi eti Wana maisha nafuu chini ya Samia kiasi kwamba wanaosema maisha ni magumu Wananchi wanawapuuza? Wananchi wa wapi?
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Una haraka kama unaharisha au unaliwa Kiboga![emoji91]
 
Ila John Una akili kubwa Sana. Hivi kweli kama Mtu unataka kuitetea CCM na unapenda iwe imara, unawezaje kutetea mfumuko wa bei au kujifanya huuoni? Kwamba Wananchi eti Wana maisha nafuu chini ya Samia kiasi kwamba wanaosema maisha ni magumu Wananchi wanawapuuza? Wananchi wa wapi?
Mwashamba ni mchumia Tumbo,sambamba na idadi kubwa ya viongozi wa CCM waliopo kwa sasa!
 
Una haraka kama unaharisha au unaliwa Kiboga![emoji91]
Bila Shaka hoja zangu zimekubana Koo na kukuminya mbavu ndio maana umeshindwa kuzijibu na kuishia kutumia lugha zisizo na staha
 
Ila John Una akili kubwa Sana. Hivi kweli kama Mtu unataka kuitetea CCM na unapenda iwe imara, unawezaje kutetea mfumuko wa bei au kujifanya huuoni? Kwamba Wananchi eti Wana maisha nafuu chini ya Samia kiasi kwamba wanaosema maisha ni magumu Wananchi wanawapuuza? Wananchi wa wapi?
Vijana wa sasa wa UVCCM wamepoteza Ubora kwa sababu ya kuvizia teuzi!
 
Majibu Yangu kwako....

Lucas mwashambwa

Nimeamua kuanza, kwa kuziweka hoja zako!
Sambamba!
ili twende hoja kwa hoja!

Wasomaji pia mniwie radhi kwa hilo,ila ni vizuri kupambanua!

"Lucas mwashambwa, post: 45119830, member: 674699"]Asante mkuu kwa maswali yako,ningependaa kukujibu kuwa katika uwekaji wa pesa za Ruzuku uliofanywa na serikali ya Rais wetu mpendwa mama Samia ilileta tija Sana mfano katika mbolea kabla ya Ruzuku mbolea ya DAP ilikuwa inapatikana kwa laki moja na 40 lakini msimu huu mbolea hiyo hiyo Ya DAP inapatikana kwa Elfu 70 tu,je huoni hapo kuwa imeleta tija? Huoni kuwa mkulima kapunguziwa mzigo wa Bei? Huoni inamsaidia mkulima kumudu Bei?

Suala la kutokufunga mipaka nalo ningependaa nikujibu kuwa lazima utambue kuwa kilimo Ni biashara na ufungaji wa mipaka miaka yote Ndio umekuwa ukimdidimiza mwananchi au mkulima kiuchumi na kubakia katika dimbwi la umasikini licha ya kuhenyeka Sana na jembe lake begani lakini mkulima amekuwa anashindwa hata kujenga nyumba Bora na hata kumuda gharama za Mahitaji mengine kutokana na kunyonywa katika Bei kwa kupangiwa Bei na mahali pa kuuza.

Ilichokifanya na I achokifanya serikali yetu shupavu na madhubuti chini ya uongozi Mahiri na imara wa mama Samia ni kuhakikisha kuwa inatunza chakula Cha kutosha katika maghala yake na kupeleka sehemu zenye uhitaji kwa Bei nzuri,suala kuwa watu wanaingia Hadi vijijini na kuiokosesha serikali Kodi ningependaa kukujibu kuwa huwezi ukasafirisha mahindi bila kulipia ushuru kutoka katika eneo husika nakufika mbali,fedha hizi za ushuru zimekuwa chanzo kizuri Cha halmashauri nyingi hasa huku kwetu nyanda za juu kusini na kusaidia katika Uendeshaji Wa shughuli mbalimbali Kama vile utolewaji wa huduma za kijamii Kama vile ujenzi wa shule, zahanati, Barabara, usambazaji wa maji Safi na salama n.k
Nitakujibu vizuri sana kesho asubuhi panapo majaaliwa!

Kada Mtiifu
Lucas mwashambwa !

Kwa uwezo wake Mola!...hatimae
Asubuhi njema imewadia nikiwa wa afya njema.....

Naomba nikujibu kama nilivyoahidi hiyo jana!

Nianze na Mbolea ya "DAP" kuwekewa Ruzuku na hivyo kushuka bei kutoka 140,000/= kwa mujibu wa taarifa yako!
Na kushuka hadi 70,000/=

Pamoja na hatua hii kuwa nzuri kwa mkulima,wewe hupaswi kuitumia sasa hivi kuiita mafanikio!
Kwa sababu ndio kwanza imeanza kutekelezwa,na mafanikio yake,yatategemea ufanisi wa maafisa ugani huko vijijini,kama watafanikiwa kutoa elimu kwa wananchi namna ya kuitumia kwa ufanisi.
Na impact yake itayegemea pia na muenendo wa ms8mu wa upatikanaji wa mvua!

Kuanzia mwaka ujao.....

Halafu pia uelewe,hiyo ruzuku,imekuja baada ya huyo huyo mkulima kukatwa Tozo kibao,na kumdidimiza kimapato kutokana na ititiri wa Tozo na Ushuru wa Halmashauri.

Lakini nikukumbushe tena! uelewe kwamba hoja hapa ni nini kimepelekea maisha ya watanzania kuwa ya shida,ghafla baada ya utawala wa Samia kuingia Madarakani??

Kuhusu ufunguaji mipaka holela!

Umesema kwamba,"mkulima sasa ananufaika na bei sahihi ya mazao yake!"

Huo ni Uongo tena wa kiwango cha hali ya juu!
Mkulima hanufaiki chochote na hizo bei,wanaonufaika ni walanguzi wanaolangua mazao kinyela mashambani tena saa ingine kabla hata ya kuvunwa!

Na hao wakulima kwa sababu wana uhitaji mkubwa wa Pesa!
Wanajikuta wanauza mpaka akibavyao binafsi ya chakula!

Hivi tunapiandika humu JF, mojawapo ya kundi kubwa linalotaabika na maisha haya ni hao hao waliouza npaka akiba yote ya chakula!

Na pia uelewe,bei kubwa ya chakula,haitaweza kumnufaisha chochote mkulima,endapo utitiri wa kodi,Tozo na ushuru wa halmashauri hautaondolewa na kubaki kodi walau moja tu ya halali.

Kwamba halmashauri zinajenga miradi ya Maendeleo kupitia ushuru wa mazao,ni uongo mtupu!

Huko ndiko chaka la wezi limejikita,halmashauri ndio kikwazo kikubwa cha Maendeleo ya nchi hii.
Na kila siku wakurugenzi wa halmashauri hizi,wanaendelea kukamatwa sababu ya ubadhilifu nchi nzima!

Pesa zinazojenga hiyo miradi,kwa mujibu wa serikali yenyewe!
Zinatokana na Mikopo!
Fedha za misaada ya Uviko!
Tozo tunazokatwa muamala!
Kodi ya mapato!

Huko halmashauri wamejaa sampuli ya wewe,wanasifu ili mafunhu yaende!
Halafu wanajua jinsi ya kupiga!

Kuhusu Serikali kutunza chakula kwenye maghala!

Hili nalo linaonyesha ni jinsi gani,serikali isivyo na watendaji wenye weledi.
Haiji akilini kwamba,seriksli inajivunia kuhifadhi chakula kwa mamilioni ya tani.

Wakati huo huo,inashindwa kuitoa sasa hiyo akiba,ili iwasaidie wananchi,ili kushusha bei ya mfumko inayoendelea kuwaumiza wananchi.

Na huenda huko serikalini viongozi wana nunua na kuneemeka na hiyo akiba ya chakula,wakati sisi tukihenyeshwa na walanguzi.
Maana kwa Tanzania hii,viongozi madishi yao yameangalia matumboni zaidi.

Kama unabisha....tutajie ni wapi serikali imepeleka chakula mpaka sasa,ili kujaribu kunusuru mfumko wa bei masokoni?

Kuhusu huduma za kijamii!

Hapa Serikali inaweza kujisifu kwa kujenga miundombinu ya najengo ya mashule,mahospitali na zahanati!

Lakini Wananchi wanacholilia ni uduni wa hizo huduma,ambazo zinatolewa ndani ya hayo majengo!
Mashuleni wanalilia kiwango duni cha Taaluma!
Wanalilia kiwango Duni cha vifaa kazi ya ufundidhaji kwa walimu,ikiwemo pia maslahi duni kwa walimu!
Walimu ndio watum8shi ambao ni wahamga wakubwa wa mikopo na madeni nvhi hii!

Mahospitalini!

Huko wananchi wanalilia gharama kubwa za matibabu ndani ya nchi hii,kwamba mtu anatibiwa kulingana na salio lililopo,salio likikata na Uhai pia unakuwa hatarini kukatika.

Tunashuhudia ufisadi mkubwa kupitia Bima za afya nchini.
Tunashihudia wizi wa madawa ya wagonjwa mahospitalimi tena waziwazi mchana kweupe!

Kila daktari kwa asilimia kubwa,anamiliki aidha Pharmacy au ka- Dispensary kake.
Pale hospitali ya Umma alipiajiriwa,yeye anapageuza kituo cha kutafutia wateja.
Pamoja na kuiba Dawa kuoeleka kwake!

Nimekujibu kadri ya ulivyoandika mwenyewe
Lucas mwashambwa !

Tunaishi na Tunashuhudia pia!
[/QUOTE]
Nashukuru kwa kunijibu,ngoja nami nikujibu Kama ifuatavyo.

Kuhusu mbolea za Ruzuku kumnufaisha mkulima ningependaa kukwambia kuwa manufaa yake sisi wakulima tunaayaona hasa muda huu ambapo mahindi yamekuwa na yameanza kutoa mbelewele,suala la Hali ya Hewa Ni suala lingine ambalo Ni mapenzi ya Mwenyezi Mungu kuhusiana na mvua kunyesha ama kuchelewa kunyesha lakini serikali yenyewe imetekeleza wajibu wake katika kumuwezesha mkulima kupata mbolea kwa Bei nafuu.

Kuhusu mkulima kutokunufaika na Bei na kwamba anayenufaika ni mlanguzi ningependaa kukujibu kuwa Mimi Ni mkulima nipo mkoani huku na ninacho kueleza naeleza kitu nachokijuwa kwa uhakika ,Napenda kukwambia kuwa Tangia msimu uliopita Bei ya mazao ilikuwa Ni nzuri Sana Tangia wakati wa mavuno ambapo mkulima alipata kuuza mazao yake kwa bei nzuri tena kwa kuchagua amuuzie Nani mwenye Bei nzuri,Hali hii haikuwepo miaka iliyopita kwani wakati wa mavuno Bei ilikuwa inakuwa mbaya Sana na ya chini Sana iliyopelekea mkulima kupata hasara kubwa Sana ukilinganisha na gharama alizottumia katika uzalishaji.

Suala la ushuru na Kodi,Ningependaa kukujibu kuwa huwezi ukafuta kila ushuru na kila tozo au kila Kodi kwa kuwu Hakuna nchi Duniani ifanyavyo hivyo,kwani ili tupate huduma Bora za kijamii Ni lazima serikali ikusanye Kodi,tozo,ushuru n.k nakutumia kwa Nidhamu katika kuwekeza kwenye kuwaletea maendeleo wananchi,ndio maana serikali inafuta unapoona panafaa kufanya hivyo baada ya utafiti wa kiuchumi kutathimini athari zake kiuchumi.

Suala la ubadhirifu katika halmashauri,ningependaa kukujibu kuwa serikali ya mama yetu shupavu Jasiri imara na shujaa haina mzaha katika kila Senti ipatikanayo kwa kila mwenye kujaribu kugusa pesa za umma,ndio maana umeona wakurugenzi mbalimbali wakifishwa mahakamani kwa matumizi mabaya ya Fedha za umma,kuondolewa madarakani na kubanwa kisheria.

Kuhusu huduma mahospitalini,Ningependaa kukujibu kuwa serikali yetu ya mama Samia imefanya juhudi kubwa Sana katika kuboresha huduma za Afya hapa nchini ikiwemo kujenga vituo vya Afya,usambazaji wa madawa ,vifaa Tiba na kuajiri wataalamu kwa kadri Hali ya uchumi unavyoruhusu Kama ambavyo tuliona mwaka Jana namna serikali ilivyoajiri wataalamu wengi wa kada ya Afya.
 
Vijana wa sasa wa UVCCM wamepoteza Ubora kwa sababu ya kuvizia teuzi!
Siyo kila anayetoa maoni yake anakuwa anavizia uteuzi,labda ungeniambia wanaoshinda humu wakitukana bila sababu na kupinga kila kitu kinachofanywa na serikali bila kuwa na hoja za msingi wanakuwa wanavizia Nini?
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Vyama vya siasa haviwezi kuongelea hoja ya msingi kwa sasa kwani viongozi wao wako likizo baada ya kulipwa na serikali ili wanyamaze kuongea. Tanzania hatuna upinzani wa ukweli kwani wapinzani wote chimbuko lao ni CCM na bado wana uanachama huko. Viongozi wa upinzani wakiishiwa tu hela wanaanza kelele na kuikosoa serikali, nayo serikali inapanic na kuwalipa hela za kutuliza kelele.
 
Back
Top Bottom