Mikutano imeanza bila kuwa na hoja za kuitikisa Serikali ya Rais Samia

Mikutano imeanza bila kuwa na hoja za kuitikisa Serikali ya Rais Samia

Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
sasa mkuu si uanzishe mikutano yako ya hadhara na uwe na hoja zako za msingi
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Kumbe alitaka apokelewe na weMbo
 
Hoja yao ni bei ya chakula ....SSH akitoa amri ghala moja tu au mawili yaingize mzigo mtaani, hoja inakufa.

Wanabaki kuimba katiba, katika hoja ya katiba, kitu ambacho wananchi hawaelewi CDM, au CDM wameshindwa kuwaelewesha watz, ni uhusiano wa maisha yao na katiba, wananchi wakiona shule, lami, kituo Cha afya, ulinzi na Usalama, wanajiuliza nini kimepungua?

Na CCM katiba wanayo mkononi, wanaweza kuweka muda wa miaka mitatu au mitano mbele ili ianze kutumika wakati serikali inaziandaa taasisi ambazo zitawezesha katiba hiyo ifanye kazi vizuri. Hoja inakuwa imekufa.

Ni sawa na hoja ya umeme, mvua imeonyesha, hoja imekufa. CCM Wana akiba ya maneno kupitia mradi wa umeme wa Stiglers, Rusumo, malagarasi, Kinyerezi 4 ambao Bomba la gesi linatumika kwa chini ya asilimia kumi. Wakilifungua Bomba kwa asilimia zote, umeme utawaka mpaka mfukoni mwa suruwali.

Ukosefu wa maji Dsm, mvua imeonyesha, hoja imekufa. Na hapa Kuna mradi wa Stiglers ambao utakuwa "super sub" ya mto ruvu katika kupeleka maji Dar es salaam na Morogoro.

Hapa ndio CDM wajifunze kuja na hoja ngumu ambazo zitavuka test of time, sio hoja inakuwa ngumu kama barafu kwenye friji, ikiwekwa juani inayeyuka

Kumbe anasubiri nini kutoa hilo ghala?
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Unakatwa na misukule
 
Mfumuko wa Bei wa mbolea haukusababishwa na serikali ya CCM Bali ulikuwa Ni mfumuko katika soko la Dunia,Ndio maana unaona serikali ikiwekeza mabillioni ya Ruzuku ili kumtua mzigo mwananchi
Unayajua makato yanayokatwa wakati wewe unanunu mafuta ya magari?
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627

Tukadhani:

1. Mama hana uungwaji wowote mkono kwenye huku alikotufikisha na hali hii ya maisha, ikiwamo bei za vyakula ambazo sasa ni za juu mno.

2. Mama hana uungwaji mkono wowote kuhusiana na wingi wa tozo na kodi kwa watu.

3. Mama hana uungwaji mkono wowote kwenye matumizi na utumbuaji wa kufuru unaofanywa na walioko madarakani, almaarufu walamba asali.

4. Mama hana uungwaji mkono kwenye lolote jipya kwamba kuna tumaini la kuirekebisha hali iliyopo.


Labda wewe unamwunga mkono kwenye yapi au lipi?
 
Tukadhani:

1. Mama hana uungwaji wowote mkono kwenye huku alikotufikisha na hali hii ya maisha, ikiwamo bei za vyakula ambazo sasa ni za juu mno.

2. Mama hana uungwaji mkono wowote kuhusiana na wingi wa tozo na kodi kwa watu.

3. Mama hana uungwaji mkono wowote kwenye matumizi na utumbuaji wa kufuru unaofanywa na walioko madarakani, almaarufu walamba asali.

4. Mama hana uungwaji mkono kwenye lolote jipya kwamba kuna tumaini la kuirekebisha hali iliyopo.


Labda wewe unamwunga mkono kwenye yapi au lipi?
Suala la Bei za vyakula ningependaa kukwambia kuwa lazima utambue kuwa kilimo Ni biashara ,na siku zote hakuna anayeipenda kupata hasara katika biashara yake,kwa miaka mingi Sana wakulima licha ya kufanya kazi kwa bidii na kwa kuvuja jasho lakini walikuwa hawanufaiki na jasho lao kwa kuwa waliofaidika na jasho lao walikuwa vimvulini,Rais Samia kwa kulitambua Hilo akaona kuwa hiyo siyo haki kwa kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa katika kazinyake na kupata kile anachostahili kulingana na juhudi zake,kwa kuwa wakulima walishuhudia wakipangiwa Bei na mahali pa kuuza mazao yao licha ya kuwa walikuwa wakuingia gharama kubwa za uzalishaji,Juhudi hizi za mh Rais zimeleta Tabasamu Katika Mioyo ya wakulima ,ambao kwa Sasa wanamuunga mkono mh Rais na kuahidi kumlipa kwa kumpigia kura za kishindo uchaguzi ujao

Suala la tozo ,ningependaa irejee utafiti uliyoonyesha namna watanzania wanavyoiunga mkono suala Hilo,kwa kuwa wanatambua kuwa ili tupate huduma Bora za Afya ,Elimu ,maji Safi na salama,n.k Ni lazima kila mmoja wetu achangie kulingana na kipato chake,lakini kila mtanzania mwenye akili timamu anatambua kuwa maendeleo hayaji kwa miujiza pasipo kufanya kazi na kujitolea ,ndio sababu ya mh Rais Kuendelea kuungwa mkono na mamillion ya watanzania katika suala hilo
 
Suala la Bei za vyakula ningependaa kukwambia kuwa lazima utambue kuwa kilimo Ni biashara ,na siku zote hakuna anayeipenda kupata hasara katika biashara yake,kwa miaka mingi Sana wakulima licha ya kufanya kazi kwa bidii na kwa kuvuja jasho lakini walikuwa hawanufaiki na jasho lao kwa kuwa waliofaidika na jasho lao walikuwa vimvulini,Rais Samia kwa kulitambua Hilo akaona kuwa hiyo siyo haki kwa kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa katika kazinyake na kupata kile anachostahili kulingana na juhudi zake,kwa kuwa wakulima walishuhudia wakipangiwa Bei na mahali pa kuuza mazao yao licha ya kuwa walikuwa wakuingia gharama kubwa za uzalishaji,Juhudi hizi za mh Rais zimeleta Tabasamu Katika Mioyo ya wakulima ,ambao kwa Sasa wanamuunga mkono mh Rais na kuahidi kumlipa kwa kumpigia kura za kishindo uchaguzi ujao

Suala la tozo ,ningependaa irejee utafiti uliyoonyesha namna watanzania wanavyoiunga mkono suala Hilo,kwa kuwa wanatambua kuwa ili tupate huduma Bora za Afya ,Elimu ,maji Safi na salama,n.k Ni lazima kila mmoja wetu achangie kulingana na kipato chake,lakini kila mtanzania mwenye akili timamu anatambua kuwa maendeleo hayaji kwa miujiza pasipo kufanya kazi na kujitolea ,ndio sababu ya mh Rais Kuendelea kuungwa mkono na mamillion ya watanzania katika suala hilo
Huteuliwi ng'o !!!!
 
Suala la Bei za vyakula ningependaa kukwambia kuwa lazima utambue kuwa kilimo Ni biashara ,na siku zote hakuna anayeipenda kupata hasara katika biashara yake,kwa miaka mingi Sana wakulima licha ya kufanya kazi kwa bidii na kwa kuvuja jasho lakini walikuwa hawanufaiki na jasho lao kwa kuwa waliofaidika na jasho lao walikuwa vimvulini,Rais Samia kwa kulitambua Hilo akaona kuwa hiyo siyo haki kwa kuwa kila mtu Anastahili kuheshimiwa katika kazinyake na kupata kile anachostahili kulingana na juhudi zake,kwa kuwa wakulima walishuhudia wakipangiwa Bei na mahali pa kuuza mazao yao licha ya kuwa walikuwa wakuingia gharama kubwa za uzalishaji,Juhudi hizi za mh Rais zimeleta Tabasamu Katika Mioyo ya wakulima ,ambao kwa Sasa wanamuunga mkono mh Rais na kuahidi kumlipa kwa kumpigia kura za kishindo uchaguzi ujao

Suala la tozo ,ningependaa irejee utafiti uliyoonyesha namna watanzania wanavyoiunga mkono suala Hilo,kwa kuwa wanatambua kuwa ili tupate huduma Bora za Afya ,Elimu ,maji Safi na salama,n.k Ni lazima kila mmoja wetu achangie kulingana na kipato chake,lakini kila mtanzania mwenye akili timamu anatambua kuwa maendeleo hayaji kwa miujiza pasipo kufanya kazi na kujitolea ,ndio sababu ya mh Rais Kuendelea kuungwa mkono na mamillion ya watanzania katika suala hilo

Unaelewa suala la bei za vyakula linaletwa hapa kwa maana rahisi ya kuonyesha mfumuko wa bei ulivyopitiza?

Unajua mfumuko wa bei huu unatokana sana na bei za mafuta ya diesel na petrol kupanda mno? Kumbuka sekta zote za uzalishaji zinahusisha nishati hii.

Unaelewa tozo na kodi kiasi gani zilizomo kwenye nishati hii?

Unajua walamba asali hauwahusu mzigo wa kodi na tozo lukuki tunaoubeba sisi kimakato wala kimatumizi?

Kumbe wewe unadhani kwenye mfumuko huu wa bei kuna awaye yote asiyekuwa mlamba asali mwenye kushangilia?

Tambua kuwa kwenye mfumuko huu wa bei hayupo mmoja mwenye kushangilia. Kukuthibitishia hilo itisheni mkutano mjaribu kuuhalalisha, mtaupata mrejesho.

Mfumuko wa bei hudhibitiwa. Waliopo kwetu ndiyo hawa wenye magari ya 400m/- plus na bila ya aibu huku kodi haziwahusu. Matanuzi ya hivi hata beberu tunakokopa na kuomba Kila leo hana!
 
Unaelewa suala la bei za vyakula linaletwa hapa kwa maana rahisi ya mfumuko wa bei iliypitiza?

Unajua mfumuko wa bei huu unatokana sana na bei za mafuta ya diesel na petrol kupanda mno? Kumbuka sekta zote za uzalishaji zinahusisha nishati hii.

Unaelewa tozo na kodi kiasi gani zilizomo kwenye nishati hii?

Unajua walamba asali hauwahusu mzigo wa kodi na tozo lukuki tunaoubeba sisi kimakato wala kimatumizi?

Kumbe wewe unadhani kwenye mfumuko huu wa bei kuna awaye yote asiyekuwa mlamba asali mwenye kushangilia?

Tambua kuwa kwenye mfumuko huu wa bei hayupo mmoja mwenye kushangilia. Kukuthibitishia hilo itisheni mkutano mjaribu kuuhalalisha, mtaupata mrejesho.

Mfumuko wa bei hudhibitiwa. Waliopo kwetu ndiyo hawa wenye magari ya 400m/- plus na bila ya aibu huku kodi haziwahusu. Matanuzi ya hivi hata beberu tunakokopa na kuomba Kila leo hana!
Njoo ufanye mkutano wa hadhara huku nyanda za juu kusini uwaambie wakulima na wananchi kuwa wawaunge mkono kwa kuwa Bei ya mahindi Yao na Mchele watahakikisha kuwa vinashukaa Bei,majibu watakayokupa uje uyalete hapa
 
"Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi"

Lucas mwashambwa !

Ebu niambie nikuelewe!

Sasa...pamoja na hayo mabilioni ambayo umeyataja,kuwa yamewekwa kama Ruzuku,ili kuokoa au kushusha mfumko wa bei...

.....inakuwaje kwamba bado bei ziko vilevile kwenye Masoko,Maduka na Mabucha?

Au unatuambia kwamba Sania Anatoa Ruzuku!

Halafu Mwigulu Anaficha bila kuziweka kwenye Mzunguko!

Wananchi wanahitaji kuona matokeo,ya kile kinachotamkwa na serikali.

Halafu pia!
Lucas mwashambwa

Unapaswa kuelewa kitu kimoja hapa!

Serikali inapoweka Ruzuku kwenye mbolea au Mafuta,halafu "Tozo" ikawa Palepale!

Umeme ukaendelea kuwa tatizo Sugu....

Bado tatizo linakuwa halijatatuliwa!

Sababu ni sawa na kutoa pesa mkono wa kulia na kuziham8shia mkono wa kushoto!

Serikali inakuwa inawakaamga watanzania kwa mafuta yao yenyewe!

Soma hiyo na uache mapambio mengi,wakati watu wanashindia mlo mmoja majumbani.

Kutoa ruzuku ya mbolea kwa wakulima,halafu ukafungua mipaka na kuruhusu wageni wakiingia nchini na kufanya ulanguzi wa Mazao kiholela mashambani kwa hao wakulima!

Badala ya wageni kuishia kwenye Masoko ya kimataifa ya mazao!
Ambayo yalianzishwa kimkakati,ili pamoja na kuweza kutumia bei elekezi,lakini pia serikali ingekata kodi yake na pia kuongeza pato la Taifa.

Sasa inakuwa kinyume chake!
Hiyo Ruzuku,inawanufaisha Wakongomani,Wakenya,Wanyarwanda na pia mpaka Sudan kusini wananufaika na chakula kitokanacho na mbolea ya Ruzuku iliyokusudiwa kumuinua mkulima wa Tanzania.

Nasema hivyo kwa sababu,nimeshuhudia wakulima wakiuza mazao yao kabla hata ya kuvunwa mashambani.
Hii ni kutokana na mazingira magumu ya kipato,na uhotaji mkubwa wanaokuwa nao kwenye suala la Raslimali Pesa.
 
Ndugu zangu watanzania,

Hivyo Ndivyo unavyoweza kusema,kwa wafuatiliaji wa siasa Tuliona mapema kuwa upinzani utapata shida kubwa Sana majukwaani katika kujenga hoja zenye kuwashawishi na kuteka Hisia za Watanzania,kutokana na sababu kuwa Rais Samia amefanyia kazi kero na changamoto mbalimbali zilizokuwa zinawakabili watanzania.

Rais Samia amesikiliza sauti za watu wote na kufanya mazungumzo na watu wote wenye kuhitaji kusilizwa na kufanyia kazi kero zao na kutoa majibu na hivyo kuacha amani katika mioyo ya watu wote bila kinyongo au chuki mioyoni mwa watu,kwa kuwa mwenye kuonewa au kuumizwa au kuhisi kuonewa amepata nafasi ya kusikilizwa masikioni mwa Rais Samia lakini pia kila mtu anajiona Anayo nafasi katika ujenzi wa Taifa letu.

Ndiyo maana Tangia mikutano ya hadhara imefunguliwa unaona vyama vya siasa hasa chadema wakiwa hawana hoja za msingi zenye ushahidi wa kinyaraka au kitakwimu au kisayansi au kiuchumi,hawana hoja zenye kugusa maisha ya watanzania,hoja zote na masuala yote wanayozungumza kwakugu gusa yalishafanyiwa kazi na kutolewa majibu na serikali ya Rais Samia na watanzania kuridhishwa na majibu na hatua za serikali yao.

Mfano suala la mfumuko wa Bei watanzania waliona namna serikali yao ilivyofanya juhudi katika kukabiliana nalo ,mfano katika mafuta serikali ilikuwa ikitoa Ruzuku ya billion Mia moja kila mwezi,wakati katika mbolea wakulima walishuhudia serikali ya Nahodha wao mama Samia akitoa Ruzuku ya billion Mia moja hamsini katika mbolea na hivyo kupelekea kushuka kwa Bei ya mbolea sokoni mfano mbolea ya DAP msimu uliopita ilikuwa inauzwa shillingi laki moja na 40 lakini msimu huu inapatikana kwa Elfu 70 tu.

Ukienda katika huduma za kijamii watanzania wameshuhudia namna ambavyo zimesogezwa karibu yao na hivyo kuwaondolea adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta huduma,hii ndio sababu ambayo inawafanya watanzania wasimulewe mtu anaposema wasilipe kodi au tozo maana wanatambua kuwa kupitia Kodi na Tozo zao kwa Sasa watoto wao wanapata Elimu bure Hadi kidato Cha sita,vituo vya Afya vimejengwa kila Kona mfano miezi michache iliyopita kulijengwa vituo vya Afya takribani 234 vilivyotokana na Tozo zetu huku vyumba vya madarasa karibu elfu 20 vikijengwa hapa nchini na hivyo kuwafanya wanafunzi wote wanaofaulu kupata nafasi ya kwenda shule kwa wakati na kuanza masomo kwa wakati mmoja.


Upinzani wa Sasa na chadema ya Sasa imekosa hoja za kiutafiti na kiuchunguzi,inazungumza hoja ambazo zinamajibu tayari ,inazungumza hoja ambazo Hazina maana Wala kugusa maisha ya watanzania,chadema ya Sasa imebaki inaongea hoja za kimatukio na kimhemuko,kila mmoja na hisia zake au namna alivyoumizwa huko nyuma au namna alivyochangia chama chake mabillioni ya pesa, Hakuna mchumi ndani ya Chadema mwenye uwezo wa kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na akaeleweka kwa watanzania.

Hoja zote zinazozungumzwa na chadema Hazina ushawishi kwa watanzania kuweza kuwaunga mkono,hazileti mantiki Wala kufikirisha , haziisumbui Wala kuitikisa Serikali maana chochote wazunguzacho kinajibiwa na watanzania wanaozifahamu na kuziona juhudi na kazi za Rais Samia katika kuwatumikia,ndio.maana unaona akina Lisu wakipuyanga na kurukaruka kihoja bila kuwa na muunganiko wa kihoja na kueleweka.

Haileweke chadema wanasimamia Nini na msimamo wao ni upi katika masuala ya uchumi,haieleweke Sera na ajenda za chadema Ni zipi katika kumgusa mtanzania kiuchumi kama afanyavyo mh Rais wetu mpendwa kipenzi Cha watanzania katika kujenga uchumi shirikishi, chadema wanaonesha Ni wachanga kwa kila kitu na watu wasio na taarifa sahihi na za kutosha na za kiutafiti kwa kila Jambo zaidi ya mihemuko.

Wanaonesha namna ambavyo hawakujipanga na mikutano hii,wanaonesha walijipanga kumfanya mtu kuwa ajenda,wakutaka watembee na Lisu Kama mtaji wa kisiasa lakini kwa bahati mbaya Ni kuwa Lisu amepoteza ushawishi na siyo mzuri na Hana weledi wowote katika masuala ya kiuchumi,Hana uwezo wa kujenga hoja za kugusa maisha ya watu mpaka akateka hisia za watu,ndio sababu unaona muda wote anapuyanga na habari za katiba mpya ambazo zilishatolewa majibu na serikali ya mh Rais na kuwa katika mazungumzo na maridhiano kupitia kikosi kazi.

Wanayozungumza chadema siyo yanayowagusa watanzania hata kidogo na Yale yanayowagusa watanzania yamefanyiwa kazi na serikali ya Rais Samia na ndio maana ya Kuendelea kuaminika na watanzania na kuwapuuza wapinzania,Nimeona pengo kubwa Sana kwa wanachadema na viongozi wao kukosa mtu mwenye kujenga hoja za kiuchumi awapo jukwaani na kuweza kuwashawishi watanzania,Tangia zitto kabwe aondoke chadema imekosa mbadala wake wa kuwasaidia katika eneo Hilo la uchaambuzi wa masuala ya kiuchumi,

Lisu pamoja na kuwa alikuwa amekaa ulaya Ila hajabadilika chochote kiuongozi na kuonyesha kukua kiuongozi, bado ni mchanga,hajapevuka,bado anamihemuko,Hana muunganiko mzuri wa kihoja,Hana Subira Wala kifua ndio maana alihoji mbele za watu kuwa mbona Mbowe hajaja kunipokea?wakati hajuwi hata wenzake wamepanganaje, bado Hana ushawishi wa kihoja kwa masuala yanayogusa maisha ya watanzania,amejikita katika eneo moja tu ambalo nalo haelewi namna ya uwasilishaji wake wa kiushawishi awapo jukwaaani.

Rais Sami amewavuruga Sana wapinzani,Amewafanya wawe wa kuokoteza hoja,amewang'oa meno kihoja,wamekuwa vibogoyo maana wamemkuta amefanya kazi katika kila eneo na kugusa kila sehemu,ndio sababu ya kuona wakiwa wamekaukiwa hoja Sera na ajenda za kuwashawishi watanzania. Rais Samia Ni gwiji na nguli wa sayansi ya siasa na kawamaliza kisayansi na anasonga mbele kisayansi huku nchi ikiwa yenye amani na utulivu muda wote.

Hakika Rais Samia Ni chuo Cha uongozi kitembeacho,Ni maktaba ya vitabu vya aina zote,Ni profesa wa uchumi,Ni Nahodha Hodari,Ni Mwamba wa siasa za kisasa,Ni Jemedari muongoza njia,Ni komandoo wa kisiasa ,Ni Jasusi wa kiuongozi,Ni Jasiri kweli kweli,anakupiga na kukusambaratisha ukiwa umesimama kwa hoja nzito za kiutafiti ambazo ukiziandika unatunukiwa PHD katika chuo chochote kinachotambulikana Dunian,Ndio sababu ya kuona akitawala katika ndimi za wapinzani kwa kumpongeza ,Rais Samia kwa Sasa Ni Kama maji Usipoyanywa utayaoga Tuuuuuuuuuuu.

Kazi Iendeleee, mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa maisha ya watanzania wanyonge wasio na sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, kijana mzalendo na mpenda nchi yangu.

0742-676627
Mungu ibariki tanzania mungu ibariki CCM
 
Back
Top Bottom