Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Swali liko pale pale. Je unatibiwa bure katika hospitali za serikali? Au nako hulipi kwa sababu zinajengwa na zinaendeshwa kutokana na kodi yako na misaada kutoka kwa mabeberu?

Amandla...

Nilikuambia mapema kwamba tunaongelea hizi pesa wanazopewa kanisa na serikali ni za kazi gani wakati hospitali za kanisa tunalipa tokea uandikishwaji mpaka matibabu ?? Hizi hospitali hata hazilipi kodi serikalini

Mapato ya pesa zetu hupelekwa wapi ??

Tanzania zipo hospital zinazojiendesha bila kupata chochote kutoka Serikalini na ni za taasisi mbali mbali kama ilivyo The Aga Khan Hospital, Ibrahim Hadji Hospital, Regency Hospital n.k. Zipo nyingi tu.

S
 
Angalia basi unapomtaja raisi Ali Hassan Mwinyi kwamba alikuwepo wakati wa kutiliana saini makataba wa MOU utaona kuwa viongozi waislamu wanapolelekwa wazo la kuendeleza huduma za kijajmii husahau ubaguzi.
Kwa upande wenu mkataba wa bandari mumesahau yote na kuingiza udini na ukabila kwa raisi muislamu japokuwa mkataba hauhusiani kabisa na Uislamu bali dira yake ni maendeleo ya taifa na kuwahi kunyang'anywa shughuli za bandari na mataifa yasiyokuwa na bandari.
Kwenye Mou kama sikosei waislam walishirikishwa ila wao hawkupenda kushiriki
 
Na kupiga kelele kote huko kwa maaskofu si huwa wanapitisha vitu vyao bandarini wakisema misaada ya kidini.

Sasa akikabadhiwa mwengine wao watafaidika wapi? Hilo ndilo linalowasumbua na wala si kingine!

Laiti kungelikuwa na maslahi yao wasingelipiga kelele hawa na maaskofu wao.
Inaelekea hujui chochote kuhusu Kodi. Kawaulize Tra
 
Wandugu msitaabike, hawa jamaa ukikuta njiani na nafasi ipo we chinja tu
Hawa ni washenzi tena dhulma kupindukia
 
Halafu acheni dhana potofu kuwa Serikali inasadia uendeshaji wa hospitali za Kanisa,hizi hospitali zilikuwepo muda mrefu kabla ya 1992.Kilichotokea ni kwamba Serikali iliwapeleka watumishi wake kule kwa hiyo inawalipa mishahara yenyewe.
Hawa watu inaonyesha elimu Yao kichwani ndogo ndo maana wanaishia kujilipua
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
bila kanisa wewe pusi ungekuwa boko haram au al shabab hata jf usingeijua. pua kama nguruwe wewe.
 
Huyu nimnafiki namchochezi kama FaizaFoxy ukristo umeanza kumiliki hospital muda mrefu
Kuhusu mikakati namipango yakiutawala ukristo ni taasisi kubwa sana nilazima iwe naushirkiano mzuri na utawala hivi wakati huo ukikumbuka ulikua muhula wapili wa jakaya kama jakaya aliupendelea ukristo basi ujue kuna jema aliloliona nasio upupu wenu watu hamna mipango mnawaza BAKWATA iwe sijui chama chakigaidi yaani hamueleweki
 
Huyu nimnafiki namchochezi kama FaizaFoxy ukristo umeanza kumiliki hospital muda mrefu
Kuhusu mikakati namipango yakiutawala ukristo ni taasisi kubwa sana nilazima iwe naushirkiano mzuri na utawala hivi wakati huo ukikumbuka ulikua muhula wapili wa jakaya kama jakaya aliupendelea ukristo basi ujue kuna jema aliloliona nasio upupu wenu watu hamna mipango mnawaza BAKWATA iwe sijui chama chakigaidi yaani hamueleweki
Wala hatukatai hilo wala hajalisema hilo, usitake kusema uongo.


Mimi nnachokisema hatutaki tena kodi zetu ziende taasisi yoyote ya kidini na pia tunataka misamaha ya kodi yote kwa taasisi za kidini ifutwe.
 
Wala hatukatai hilo wala hajalisema hilo, usitake kusema uongo.


Mimi nnachokisema hatutaki tena kodi zetu ziende taasisi yoyote ya kidini na pia tunataka misamaha ya kodi yote kwa taasisi za kidini ifutwe.
hapa sijui unatetea lipi yaani hujasikia akisema selikali hutoa pesa za lujenga miradi yakikristo mfano kaitolea bugando
 
hapa sijui unatetea lipi yaani hujasikia akisema selikali hutoa pesa za lujenga miradi yakikristo mfano kaitolea bugando
Ndiyo hilo mbalo tunasema hatutaki pesa zetu ziende taasisi yoyote ya kidini. Wajijenngee wenyewe. Hivi kanisa katoliki na utajiri wote walionao duniani kihospitali kama cha bugando mpaka wapewe pesa na nchi masikini kama Tanzania?

Unaujuwa utajiri wa Vatikano au huujuwi?
 
Ndiyo hilo mbalo tunasema hatutaki pesa zetu ziende taasisi yoyote ya kidini. Wajijenngee wenyewe. Hivi kanisa katoliki na utajiri wote walionao duniani kihospitali kama cha bugando mpaka wapewe pesa na nchi masikini kama Tanzania?

Unaujuwa utajiri wa Vatikano au huujuwi?
Dah hurlurain wenikiboko yaani utajili wa vatcan utumike kutoa huduma Tz hivi roman catholic Tz inahudumia vatican au Tz kwanza hawa watu pamoja na BAKWATA wanatakiwa wapewe heshima xakipekee sana wameihubiri amani kila kona yanchi wamevumiliana sana japo mpo mnao hitaji machafuko wao wamekua wakiyasov
 
Dah hurlurain wenikiboko yaani utajili wa vatcan utumike kutoa huduma Tz hivi roman catholic Tz inahudumia vatican au Tz kwanza hawa watu pamoja na BAKWATA wanatakiwa wapewe heshima xakipekee sana wameihubiri amani kila kona yanchi wamevumiliana sana japo mpo mnao hitaji machafuko wao wamekua wakiyasov
Sasa kwanini umasikini wa Tanzania uhudumie ytaasisi ya Vatikano?
 
Back
Top Bottom