Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Mikutano inayozungumzia mikataba haitokuwa na maana bila kutaja MOU ya Serikali na kanisa

Nasema endeleeni na tabia za kafiri Mohamed za kunyonyana ulimi wanaume kwa wanaume
Nasema endeleeni na tabia Za yule alomtia mimba mama yake na muwatie mimba mama zenu😜😜😜
 
Usikimbie.Umemsikia huyo sheikh ?.Kati ya vipengele 10 vya kanisa vitatu ni hivi :
1.Raisi wa nchi (Tanzania) kila akisafiri nje aende na makopo matatu.mawili ya serikali na 1a kanisa.
2.Kila wizara itenge bajeti kwa manufaa ya kanisa
3.Kanisa katika nafasi za masomo basi lazima litengewe nafasi zaidi 30% kwa vijana wake.
Hayo ni makubaliano ya aibu kwa kanisa.Hivyo haja ya kuvunjwa mkataba wa MOU ni kwa maslahi ya kitaifa na kuliondoshea kanisa aibu.Ubaya wa aibu hii ndio maana kanisa linakosa waumini kila eneo duniani,Watu werervu wanashindwa kufuatana na kanisa.Ama wanaamua waingie uislamu au wawe mashabiki wa Manchester.
Ninalojiuliza ni hizo sifa mnazojipa za kuwa na elimu kuliko waislamu na hospitali zenye matibabu bora ni za nini.Kumbe ni matokeo kupora haki za wengine na kuombaomba nje chini ya kivuli cha serikali.

Kama unaamini kuwa kuna makubaliano kati ya Kanisa na serikali kuwa asilimia 30 za nafasi za elimu zitengwe kwa ajili ya wakristu sina la kujadiliana na wewe.

Kama unaamini katika bajeti ya kila wizara inayopitishwa na bunge kuna kifungu cha kanisa sina cha kuzungumza nawe mpaka unitajie hicho kifungu kinakuwa katika vote ipi.

Kama unaamini Rais Samia anabeba kopo (?) la kanisa kila anapoenda Dubai au New York basi sina la kujadiliana na wewe.
Kanisa linakosa waumini sehemu gani duniani?

Hilo la nani amesoma zaidi kati ya wakristu na waislamu ni mabishano ya vijiweni kati ya watu ambao hawana cha kujisifia wenyewe. Wewe unatakiwa ujisifie maendeleo katika familia yako. Kama unaona jamii yako inalegalega fanya juhudi za
kuikwamua badala ya kutafuta wachawi kwa madhaifu na mapungufu yako.

Kama unaamini hizo shule na hospitali za kanisa zinafadhiliwa na serikali, badala ya kuzionea wivu iambieni serikali ya sasa inayoongozwa na muislamu ifadhili pia shule na hospitali zenu badala ya kuzionea choyo za misheni.

Kwa taarifa yako hospitali zote za wamisheni zimejengwa kutokana na michango na misaada ya wakristu walio ndani na nje ya nchi hii. Huduma hizo zinatolewa bila ubaguzi wowote. Wakati huo viongozi wenu wakiomba msaada, wanaomba kujengewa misikiti na kuletewa tende wakati wa sikukuu zenu. Kwa nini na nyie msijikite kama jamii katika ujenzi wa hospitali na shule? Jifunzeni kwa Aga Khan, mshia ambae badala ya misikiti amejikita katika kutoa elimu na huduma za afya. Huyo hamumuoni bali mnabaki kuwatolea macho watu ambao wanawasaidia ndugu zenu.

Kwaheri maana sioni faida ya kuendelea kujadiliana na mtu kama wewe.

Amandla...
 
Sasa jibu swali
Hizo Za mashia zinapewa pesa na serikali ?

Hizo Za kanisa uliwahi wewe kwenda ? Bei zake ni mara tatu ya hizo Za mashia na serikali inawapa pesa
Ni dhahiri haujawahi kwenda Aga Khan Hospital na hivyo haujui gharama zake. Unaleta tu ubishi wa kijinga usiokuwa na logic. Eti Bugando fee zao ni mara tatu ya za Aga Khan!
Kwaheri. Unanipotezea muda.

Amandla...
 
Ni dhahiri haujawahi kwenda Aga Khan Hospital na hivyo haujui gharama zake. Unaleta tu ubishi wa kijinga usiokuwa na logic. Eti Bugando fee zao ni mara tatu ya za Aga Khan!
Kwaheri. Unanipotezea muda.

Amandla...
Unataka kukimbia lakini ukweli ndio huo
 
Hakuweza kutetea kwa ufanisi.Ameona mwenyewe madudu ya MOU.Hayajibiki
Hata uwezo wa kujenga hoja hauna, huo uwezo wa kujibu hoja za wengine utautoa wapi?

Unachojua wewe ni copy ujinga wa mwenzako, kisha ulete hapa, ndio maana hata kuutetea huwezi.
Unataka kukimbia lakini ukweli ndio huo
Kumkimbia mjinga inabidi ili kuepuka kupotezewa muda.
 
Hata uwezo wa kujenga hoja hauna, huo uwezo wa kujibu hoja za wengine utautoa wapi?

Unachojua wewe ni copy ujinga wa mwenzako, kisha ulete hapa, ndio maana hata kuutetea huwezi.Kumkimbia mjinga inabidi ili kuepuka kupotezewa muda.
Jesus Said never call anyone fool... You will never be forgiven
 
Hiyo ya TEC na CCT ivunjwe kama serikali ina ubavu wa kuishi bila KCMC, Bugando na DDH kibao! Na vile vile irudishe shule ilizotaifisha! Mustafa Mkulo waziri wa fedha wa zamani alitikisa hiki kiberiti akakuta kimejaa akaingia mtini baada ya kuambiwa "ondoeni wagonjwa na wataalam wa serikali KCMC, BUgando na DDHs ili makanisa yafanye kazi kibiashara"

Mahospitali na mashule hayo makanisa yamejenga yenyewe bila msaada wa kodi za serikali!
Unataka kulinganisha na bandari zetu!???? Kuwa makini wewe! Halafu Mwinyi yuko hai anafahamu historia!
Correctly na lengo la serikali ilikuwa ni kuzifany hiz hospital ziendeshwe ka za uma na sio kibiashara. Ili kuweka uzani saw Ila mtu na udini analinganisha na mkataba wa hovyo wa bandari. Naikumbukwe umesainiwa top wa inch ni waislamu
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
 
Kama kuna mikutano inayozungumzia mikataba mibovu basi kusiwe na ubaguzi.Muda umefika sasa wa kuitaja mmoja mmoja. Mengine irekebishwe na mingine ipo haja ya kuvunjwa mjoja kwa moja

Mpaka sasa wale wanaokosoa mkataba wa bandari naona wamekaa kimya kwa mkataba ule wa kanisa na serikali wa mwaka 1992.Si lazima wausome wote hata kutaja tu udhaifu wa hoja za wale wanaotilia shaka mkata huo ingetosha kusawazisha hoja za utetezi wa zinazoonekana kasoro za mkataba wa DP World.

Naamini wote walikuwa wanaujuwa na kama ilikuwa bado basi wamesikia kelele za walalahoi.Kelele hizo ni kama hizi kwenye bandiko hapo chini :

WAKATI MNAPAMBANA KUONDOA KIFUNGU HEWA CHA MKATABA WA MILELE (ambacho hakipo) WEKENI NA AKIBA YA MANENO.

TUKUMBUKE MWAKA 1992

Mwaka 1992, Serikali iliingia Mkataba na Makanisa kupitia Taasisi zao za TEC na CCT. Chini ya Makubaliano yale, hospitali za Makanisa zitatumika kwa wananchi wote pale ambapo Serikali haina hospitali.

Kwa kufanya hivyo, Serikali itakuwa na wajibu wa kuyapa Makanisa fedha za kuendesha hospitali hizo ingawa umiliki wa hospitali utabaki kuwa wa Makanisa.

Ifahamike kuwa fedha hizo zinatokana na kodI za Watanzania wote; Waislamu, Wakristo, Mabaniani, Magoha, Makadiani, na hata wale wasio na dini.

Nini athari za Mkataba huu ? Mkataba huu wa kibaguzi una athari nyingi. Kwanza:

Serikali inatumia kodi za wananchi kuyapa Makanisa kuendesha shughuli zake za kuimarisha Ukristo.

Tunasema hivyo kwa sababu utaratibu unaotumika ni kuwa Serikali inatoa fedha kwa Makanisa ambayo wao ndio wanapanga matumizi ya fedha zile na sio Serikali.

Pili, kwenye Jamii, Makanisa yanaonekana ndio yanatoa huduma za Jamii na hivyo kujenga saikolojia kwa wananchi kuwa Ukristo ndio unajali wananchi.

Athari ya tatu ni kuwa Makanisa yananyonya wananchi kwa sababu pamoja ya kuwa hospitali zile zinapata fedha kutoka Serikalini, bado wananchi wanalipia huduma.

Nne, Mkataba hauna ukomo, yaani ni wa milele. (Wakristo wataendelea kupewa hayo mabilioni na Waislamu watanyimwa milele).

Kwa tafsiri nyingine ni kuwa Serikali imejivua kwenye wajibu wa kutoa huduma za Jamii na kuchagua Makanisa kuwa ndio wakala wake.

Tunapenda kuwakumbusha Watanzania kuwa wakati Mkataba huo unasainiwa aliyesaini Mkataba ni Bwana Edward Lowassa aliyekuwa Waziri wa Nchi ofisi ya Waziri Mkuu. Huyu ni Mkristo

Kwa utaratibu wa Serikali, Lowassa alikuwa Waziri wa Nchi, hivyo basi Waziri mwenye dhamana ni yule mwenye ofisi yake kwa maana ni Waziri Mkuu.

Wakati unatiwa saini Mkataba, huo Waziri Mkuu alikuwa John Samwel Malecela ambaye ni Mkristo.

Mwanasheria Mkuu wa Serikali ambaye ndie aliyeishauri Serikali isaini Mkataba ule ambao kwanza hauna ukomo (mkataba wa maisha) na pili unatumia kodi za wananchi kuimarisha Ukristo alikuwa Damian Lubuva ambaye ni Mkristo.

Kwa upande wa Kanisa mwanasheria wao alikuwa Prof Balozi Costa Mahalu, Mkristo.
Kwa maana hiyo, upande wa Serikali, Mkataba ule umeasisiwa na kusimamimwa na Wakristo watupu. Waziri wa Nchi Mkristo, Waziri Mkuu Mkristo, Mwanasheria Mkuu Mkristo.

Ni Wakristo! Wakristo! Wakristo!

Kama kwenye hoja ya makubaliano ya Bandari ni Wazanzibari wawili (ambao ni Waislamu) wamesaini makubaliano ya kuiuza Tanganyika, Mbona Waislamu hawakulalamika pale Wakristo 3 wazito Serikalini walipobuni mbinu za kutumia kodi za wananchi kuimarisha dini yao Ukristo Tanzania?

Kama hoja ni ukomo wa mkataba, mbona Mkataba huu wa Serikali na Makanisa hauna ukomo? Ni mkataba wa milele na ndio maana mpaka leo (miaka 30 sasa) bado unaendelea kutumika.

Bado Serikali inaendelea kutekeleza Mkataba wa kibaguzi ambapo inatumia kodi za wananchi wote kuimarisha shughuli za Kanisa.

USHAHIDI

Tarehe 23 Januari 2019, Rais Magufuli alikutana na viongozi wa dini zote IKULU. Kwenye Mkutano ule Askofu Mkuu wa Kanisa la Anglikana ambaye pia ni Askofu wa Dayosisi ya Tanga Bwana Maimo Mndolwa alilalamika kwa Rais Magufuli kuwa Serikali inavunja Mkataba kwa kujenga hospitali kwenye maeneo ambayo Kanisa imeachiwa kuwa na hosptali ambazo zinapewa fedha na Serikali.

Amelalamika hivyo kwa sababu Mkataba wa Makanisa na Serikali hauna ukomo. Kila penye hospitali ya Kanisa, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali yake. Badala yake, Serikali inatakiwa kuendelea kutoa fedha za kodi kuwapa Makanisa ili ziendeshe hospitali zao na kuimarisha Ukristo kwa kutumia jasho la Watanzania.

Katika kusisitiza madai yake, Askofu Mkuu alitoa ushahidi wa hospitali zilizojengwa na Serikali katika …
Wilaya ya Ifakara, Ngara na Muheza ambazo kwa mujibu wa Mkataba wa 1993, Serikali haikutakiwa kujenga hospitali hizo za Wilaya.

Kitendo cha Serikali kujenga hospitali hizo kinatafsiriwa na Kanisa kuwa Serikali imevunja Mkataba kwa sababu sasa inatoa huduma hiyo muhumu kwa wananchi.

Askofu Mkuu alifafanua kua matatizo haya yapo kwenye ngazi ya Wilaya kwa sababu kwenye ngazi za juu, hakuna tatizo kwa kuwa kuna Msimamizi anaesimamia Mkataba huo.

Hapa Askofu Mkuu alikuwa ana maana kuwa hospitali za KCMC ya Moshi, Bugando ya Mwanza na CCBRT ya Dar es Salaam ambazo zote ni mali ya Kanisa bado zinaendelea kupata fedha za kodi huku zikiendelea kuwalipisha wananchi kwa huduma wanazopewa kwenye hospitali hizo.

Rais Samia Suluhu Hassan alifanya Mkutano na Baraza la Maaskofu la Kanisa Katoliki Tanzania uliofanyika Kurasini tarehe 25 Juni 2021. Katika risala yao, Baraza la Maaskofu limeilaumu Serikali kwa kujenga hospitali zake kinyume cha Mkataba wa 1992, na Makanisa.

Kwenye risala hiyo, Baraza la Maaskofu limeshangaa kuona Serikali inajenga hospitali kwenye Wilaya ambazo Makanisa tayari yana hospitali zao. Wamehoji kwa nini kuwepo na ushindani wa kutoa huduma hizo?

Kwa maana nyepesi, kwa nini Makanisa yasiachiwe kuendesha hospitali maisha (milele) na kuendelea kupewa ruzuku zinazotokana na kodi za wananchi?

Risala hiyo ni ya chombo cha juu kabisa katika Kanisa Katoliki ambao leo viongozi hao hao wanaohoji na kulalamika kuhusu makubaliano ya Serikali na DP World kuwa hayana ukomo!

Kanisa hilo hilo ambalo linapiga kelele kuhusu mkataba wa Serikali na DP World, ndilo ambalo kiongozi wake Askofu Method Kilaini alipewa shs. 80.9 milioni, Askofu Eusebius Nzigirwa alipewa shs. 40.4 milioni na Mchungaji Alphonce Twimanye Simon alipewa shs 40.4 milioni fedha za Rushwa zilizotokana na kashfa ya akaunti ya Tegeta ESCROW.

Hadi leo Kanisa halijatangaza hadharani hatua za kinidhamu iliyowachukulia viongozi hao. Ukimya huu tuutafsiri vipi? Kwa ukimya huu, Kanisa linapata wapi “moral authority” ya kupinga mkataba wa DP World.
Exactly
 
Kwanini waislam nao wasifungue hospitali kubwa kisha waingie mikataba ya uendeshaji na serikali ili wapate fedha nyingi. Kuna hospitali gani kubwa iliyojengwa au inayoendeshwa na waislam Tanzania hii?

Waislam mpo almost 50% ya population ya Tanzania lakini taasisi zenu hazifanyi uwekezaji wa huduma za kijamii zenye kueleweka kama shule na hospital zenye viwango vya kimataifa. Nchi nzima mnamiliki chuo kikuu kimoja tu ambacho hata vijana wengi wa kiislam hawataki kwenda kusoma.

Wakristo wanazidi kufungua vyuo vikuu,hospitali na shule nyie mnawekeza kwenye kujenga misikiti tu😓. Injili inasambazwa pia kwa kutoa huduma kijamii na sio kwa kulia kuwa mnaonewa kila siku.
 
Hata uwezo wa kujenga hoja hauna, huo uwezo wa kujibu hoja za wengine utautoa wapi?

Unachojua wewe ni copy ujinga wa mwenzako, kisha ulete hapa, ndio maana hata kuutetea huwezi.Kumkimbia mjinga inabidi ili kuepuka kupotezewa muda.
Hoja zimejengwa nyingi isipokuwa mtu akiwa ameamua kutetea jambo ovu huwezi kumbadilisha. Sijaona ujinga ulio mkubwa kuliko kutetea MOU na kanisa jambo linalolidhalilisha kanisa pakubwa. Kanisa limepata sura kama ya ujambazi na ombaomba kwenye mkataba huu.Sasa wewe umeona hapo hakuna hoja?. Mwenzake Fundi Mchundo huenda ameona kuna kitu hapo hawezi kuendelea kupekua ili apate cha kutetea.
 
Kwanini waislam nao wasifungue hospitali kubwa kisha waingie mikataba ya uendeshaji na serikali ili wapate fedha nyingi. Kuna hospitali gani kubwa iliyojengwa au inayoendeshwa na waislam Tanzania hii?

Waislam mpo almost 50% ya population ya Tanzania lakini taasisi zenu hazifanyi uwekezaji wa huduma za kijamii zenye kueleweka kama shule na hospital zenye viwango vya kimataifa. Nchi nzima mnamiliki chuo kikuu kimoja tu ambacho hata vijana wengi wa kiislam hawataki kwenda kusoma.

Wakristo wanazidi kufungua vyuo vikuu,hospitali na shule nyie mnawekeza kwenye kujenga misikiti tu😓. Injili inasambazwa pia kwa kutoa huduma kijamii na sio kwa kulia kuwa mnaonewa kila siku.
Serikali haina kisima cha pesa na wewe kila siku unasikia inataka pesa kuendeleza miradi iliyoanzisha ambayo wakati mwengine inadorora kwa sababu hiyo.Dawa sio utushauri sisi tuombe kama mlivyoomba nyinyi.Sisi tukipokea misaada msilete maneno tu.
Dawa ya huo mkataba iliyo bora ni kuuvunja na serikali ibaki na pesa zetu ipeleke inapoona bora sio kuibebesha mzigo tena kwa ukaidi wenu.
 
Serikali haina kisima cha pesa na wewe kila siku unasikia inataka pesa kuendeleza miradi iliyoanzisha ambayo wakati mwengine inadorora kwa sababu hiyo.Dawa sio utushauri sisi tuombe kama mlivyoomba nyinyi.Sisi tukipokea misaada msilete maneno tu.
Dawa ya huo mkataba iliyo bora ni kuuvunja na serikali ibaki na pesa zetu ipeleke inapoona bora sio kuibebesha mzigo tena kwa ukaidi wenu.
Wewe serikali ndiyo iliyoomba hapa! Serikali haiwezi kupumua bila hizi taasisi.
Angalia kwa umakini! Je hata fedha za makubaliano wanalipa?
Haya makubaliano yavunjwe kama hamkurudi kwenye ujima kesho!
 
Serikali haina kisima cha pesa na wewe kila siku unasikia inataka pesa kuendeleza miradi iliyoanzisha ambayo wakati mwengine inadorora kwa sababu hiyo.Dawa sio utushauri sisi tuombe kama mlivyoomba nyinyi.Sisi tukipokea misaada msilete maneno tu.
Dawa ya huo mkataba iliyo bora ni kuuvunja na serikali ibaki na pesa zetu ipeleke inapoona bora sio kuibebesha mzigo tena kwa ukaidi wenu.
Serikali ina pesa nyingi tu ndiyo maana inanunua V8 nyingi kila mwaka,ishu ni vipaumbele tu. Kwani kwenye hospital za wakristo huwa hawatibu wagonjwa wa kiislam?

Ninatamani kuona hospital nyingi kubwa zikijengwa na taasisi za kiislam,vyuo vikuu vingi zaidi . Toka Muslim university ya morogoro imefunguliwa hakionyeshi dalili ya kustawi,kwanini?

Sioni hata vijana wakikimbilia kufanya applications kama chaguo lao la pili au la tatu,!! Imarisheni taasisi zenu za huduma za kijamii na serikali itawaona na kuleta fedha.

I
 
Na nyie acheni kupeleka watoto madrasa pelekeni shule wasome wawe na uwezo wa kujenga mashule na hosptili mfaidike na nyie
Acha kutetea ujinga na kuharalisha ujinga kwa kutumia ujinga

Kwakua serikal iliingia mkataba wa kijinga na makanisa kwaiyo unasapoti serkla kuingia mkataba wa hovyo na waarabu kisa ni waislamu wenzia
 
Back
Top Bottom