peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 14,255
- 23,949
Nimefuatilia mikutano ya CHADEMA kila kona ya nchi inaonekana mikutano hiyo ni mbinu za ccm kumchafua Magufuli na wananchi wahisahau au wasitambue ufisadi unaoendelea nchini.
Ninaomba michango yenu.
Ninaomba michango yenu.