Nipe namba yakeKamuulize Mwinyi Raisi mstaafu atakupa jibu safi sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nipe namba yakeKamuulize Mwinyi Raisi mstaafu atakupa jibu safi sana
Nimefuatilia mikutano ya chadema kila kona ya nchi inaonekana mikutano hiyo ni mbinu za ccm kumchafua magufuli na wananchi wahisahau au wasitambue ufisadi unaoendelea nchini
Ninaomba michango yenu
Mchafu unawezaje kumchafua tena?Shujaa Magufuli hakuna wa kumchafua!
Shujaa Magufuli hakuna wa kumchafua!
Kwani mikutano ya chadema ni kwa ajiri ya nani?Tanzania kuna vyama 19, wewe kwa nini unafuatilia mikutano ya CHADEMA tu na sio ya UDP, TLP, NCCR n.k??
Toka huo ukweli uanze kuwekwa wazi wananchi wameupokeaje?Sera zimemwagwa za kutosha, ila ww ndio umejikita kufuatilia ukweli dhidi ya Magufuli ulipowekwa wazi.
Ndio lipo tatizo kwa sababu ameweza kufanya yote hayo kwa sababu ya ccm na hadi sasa serikali iliyopo madarakani imetokana na huko kujichagua kwa nguvu Magufuli hadi hao wabunge bado wapo bungeni hata wale covid 19 bado wapo, na ccm hawako teyari kubadili chochote katika hayo.Magufuli kinguvu alijichagua kuwa rais, akaona haitoshi akatuchagulia wabunge (hadi wabunge wa viti maalum kutokea CHADEMA), madiwani, wenyeviti wa vijiji, mitaa na vitongoji. Hivi mtu wa namna hiyo, leo hii akisemwa vibaya, kutakuwa na tatizo?
Na huyu karuhusu kwa sharti la kutosemwa uhuni wa awamu yake?Yeye si aliizuia mikutano hiyo ili kuficha uhuni uliokuwa unafanywa awamu yake?!!sasa acha yawekwe wazi!!
Kwani hawamsemi?!!juzi hukumsikia john heche?bnana vyoyvyote vile mama ana hitaji pongezi zake,kwani lile jamaa lilikuwa sio kabisa!MUNGU FUNDINa huyu karuhusu kwa sharti la kutosemwa uhuni wa awamu yake?
Ndugu peno hasegawa mbona unaonekana kupagawa na kukosa UFAHAMU wala UELEWA wa haki zako za kisheria na kikatiba ndani ya nchi yako?Nimefuatilia mikutano ya chadema kila kona ya nchi inaonekana mikutano hiyo ni mbinu za ccm kumchafua magufuli na wananchi wahisahau au wasitambue ufisadi unaoendelea nchini
Ninaomba michango yenu
Akizushiwa mambo ya uongo ambayo hakuyafanya fungua kesi mahakamani, hakuna anayemchafua mbweha yoyote bali ukweli ndiyo unaosemwa. Jiwe kila aliyeteseka na udhalimu wa utawala wake lazima atayaongelea mateso aliyopitia na ukweli ni kwamba Muhutu yule katesa, kapora, kateka, kaua na kadhulumu wengi sana.Nimefuatilia mikutano ya chadema kila kona ya nchi inaonekana mikutano hiyo ni mbinu za ccm kumchafua magufuli na wananchi wahisahau au wasitambue ufisadi unaoendelea nchini
Ninaomba michango yenu
Vizuri mno na bado wanaendelea kuupokea yaani shauku yao haiishi ndiyo maana unaendelea kumwagwa hadharani, this is a piece of an iceberg.Toka huo ukweli uanze kuwekwa wazi wananchi wameupokeaje?