Muulize Ben saanane, Azory gwanda, coco beach sandarusi za maiti , MKIRU utapata jibu kuwa hamna dhihaka bali tunakusanya historia.Nimefuatilia mikutano ya chadema kila kona ya nchi inaonekana mikutano hiyo ni mbinu za ccm kumchafua magufuli na wananchi wahisahau au wasitambue ufisadi unaoendelea nchini
Ninaomba michango yenu