Mila ya kuua waume wenye mali ya baadhi ya wanawake wa makabila ya kiafrika

Mila ya kuua waume wenye mali ya baadhi ya wanawake wa makabila ya kiafrika

Sakizia

Senior Member
Joined
May 2, 2016
Posts
168
Reaction score
248
Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.

Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....

Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.

Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.

Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.

Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
 
Dunia haijawahi kuwa upande wa mwanaume sisi ni kama mchwa tunajenga kichuguu kwa nguvu zote halafu mwisho inaisha kama ilivyoanza!
sema vipi tuleni maisha tu si tushajijua sie dakika tatu chali tuleni kabla hatujasepa!
 
Dunia haijawahi kuwa upande wa mwanaume sisi ni kama mchwa tunajenga kichuguu kwa nguvu zote halafu mwisho inaisha kama ilivyoanza!
sema vipi tuleni maisha tu si tushajijua sie dakika tatu chali tuleni kabla hatujasepa!
kabisa bro huku afrika kuingia kwenye ndoa ni msiba wa kujitakia ukipata mali
basi mwanamke lazma atakuondoa azimiliki mwenyewe tuna shida wanaume
 
Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.

Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....

Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.

Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.

Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.

Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
Sawa mkuu vip una mali lukuki nini ?
 
Mwanaume anakufa kwanza kwasababu kampita umri mwanamke, yeye ndo wa kwanza kuzeeka.

Ukiongezea na msoto wa kutafutia familia na kulewa ovyo, anazeeka haraka zaidi.


Mtu akitaka uongo wake uaminike lazima atalinganisha afrika na ulaya, watu si wameshakariri ulaya hamna shida yeyote?
Lakini tukikaa chini tukapima hoja zako kulingana na hali halisi, takwimu nk, lazima tutakuta mapungufu.
 
hua natumua logics na facts nani mwenye pesa amewahi kuuwawa weka takwimu sio kufata upepo kama popo
sio lazima muuwe inawezekana ukamtumia mtoto wa watu ka nyezo ya nyie
kujikwamua kimaisha mukamfanya daraja mtoto wa watu mkamlisha madawa
akasahau hata ndugu zake waliomfikisha hapo
 
Mwanaume anakufa kwanza kwasababu kampita umri mwanamke, yeye ndo wa kwanza kuzeeka.

Ukiongezea na msoto wa kutafutia familia na kulewa ovyo, anazeeka haraka zaidi.


Mtu akitaka uongo wake uaminike lazima atalinganisha afrika na ulaya, watu si wameshakariri ulaya hamna shida yeyote?
Lakini tukikaa chini tukapima hoja zako kulingana na hali halisi, takwimu nk, lazima tutakuta mapungufu.
wacha uongo wewe amemzidi umri kivipi bwana watu wanakufa ilhali wako vijana kabisa
umri mdogo mnawaua, shida za maisha vipi wakati ushaambiwa mtu doni ana mahela yake
msongo huo wa mawazo utoke wapi hoja yako hiyo hapo imekwama hujafanikiwa kutushawishi
 
wacha uongo wewe amemzidi umri kivipi bwana watu wanakufa ilhali wako vijana kabisa
umri mdogo mnawaua, shida za maisha vipi wakati ushaambiwa mtu doni ana mahela yake
msongo huo wa mawazo utoke wapi hoja yako hiyo hapo imekwama hujafanikiwa kutushawishi
Unaelewa unachoandika au umelewa tayari? Msongo wa mawazo unahusiana vipi na mtu kuwa don kama unavyodai?
 
Back
Top Bottom