Mila ya kuua waume wenye mali ya baadhi ya wanawake wa makabila ya kiafrika

Mila ya kuua waume wenye mali ya baadhi ya wanawake wa makabila ya kiafrika

naona unazidi uongea pumba tu sasa kuweka
kilatino ina maana ndo unataka kuntisha au?
Sitaki kukutisha. Wewe ndiye una inferiority complex kwa sababu hujui mambo ya kawaida tu, nikiyataja unaona nakutisha.

Yani ujinga wako wewe, lawama unanipa mimi.

Hatuwezi kuelewana.
 
Sitaki kukutisha. Wewe ndiye una inferiority complex kwa sababu hujui mambo ya kawaida tu, nikiyataja unaona nakutisha.

Yani ujinga wako wewe, lawama unanipa mimi.

Hatuwezi kuelewana.
wewe endelea tu kutetea mila yako ya kuangamiza watto wa wenzako
na kuwanyonya wakusomesheeni familia zenu utadhani mlisaidia
kumsomesha na kumwezesha
 
Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.

Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....

Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.

Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.

Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.

Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
 
ukiangalia hapo kilichomuua ni sihr tu ndo inamtuma ajinyonge
au stress za wanawake
 
Pengine ilitokea sehemu, Sijui ..
Pengine mtoa mada ameshuhudia kwa macho yake, sijui ..
Pengine kweli, Pengine hisia ..
Yote ya yote Naheshimu mawazo yako ..
 
Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.

Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....

Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.

Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.

Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.

Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
Vipi kwenu baba yako yupo? Au ni masikini ndiyo maana yupo? Wakati mwingine wanaume huwa wanajitafutia matatizo wenyewe, mtu ana mke mzuri tu asiye na shida lakini anaenda kukusanya huko mizigo ya ajbu ajabukwanini wasikuue?
 
nashkuru kwa mtazamo wako hayo niliyoyasema nimeyaona kwa macho yangu
bro sinimesema hapo ndugu yangu ndo kasomesha ukoo wa mke wake halafu
jamaa yangu nae mjua kanusurika kufa kwa sumu na alipomkosa akaanzishiwa
awamu ya pili ya mshambulizi safari hii ya kichawi na uchawi sasa
 
Back
Top Bottom