Mila ya kuua waume wenye mali ya baadhi ya wanawake wa makabila ya kiafrika

Mila ya kuua waume wenye mali ya baadhi ya wanawake wa makabila ya kiafrika

90% ya vifo vya wanaume Africa ni mpango wa Mwanamke/Mke.

90% ya vifo vya Wanawake Africa ni Kwa mapenzi ya Mungu.

Mkuu Mleta mada uko sahihi, na pia kuna mikoa/sehemu zingine Mwanaume anaweza asiuwawe analishwa madawa Ile ari ya kutafuta Mali inayeyuka Ili tu Mwanamke apate kuitwa mke wa Fulani

Kimsingi hili bara halijakosa magiant kama kina Einstein, Elon Musk, kina Hawking, Jobs isipokuwa ni mambo meusi ndio yanachangia.

Ukishalishwa hayo mauchawi Yao huwezi kuwa mbunifu tena...

Na unajua ni kwakuwa Wanaume tumeacha kuzisaka nguvu za kiroho, unakuta unaoa Mwanamke ni Mchawi kama sio mchawi bas ana access na waganga waovu wanaoweza kumsaidia Nia zake...
 
90% ya vifo vya wanaume Africa ni mpango wa Mwanamke/Mke.

90% ya vifo vya Wanawake Africa ni Kwa mapenzi ya Mungu.

Mkuu Mleta mada uko sahihi, na pia kuna mikoa/sehemu zingine Mwanaume anaweza asiuwawe analishwa madawa Ile ari ya kutafuta Mali inayeyuka Ili tu Mwanamke apate kuitwa mke wa Fulani

Kimsingi hili bara halijakosa magiant kama kina Einstein, Elon Musk, kina Hawking, Jobs isipokuwa ni mambo meusi ndio yanachangia.

Ukishalishwa hayo mauchawi Yao huwezi kuwa mbunifu tena...

Na unajua ni kwakuwa Wanaume tumeacha kuzisaka nguvu za kiroho, unakuta unaoa Mwanamke ni Mchawi kama sio mchawi bas ana access na waganga waovu wanaoweza kumsaidia Nia zake...
Salute bro nakubaliana na wewe 100% umri mfupi wa wanaume wa kiafrika
ni matokeo yaa mauaji na si kingine jua kabisa mwanamke ana kila access
ya kuuangamiza chakula anakupikia,maji ya kuoga anakuandalia sasa hapa
mtu unadhani atachomoka vipi mtu wakipanga kukuondoa duniani ili wachukue
mali zako ulizozipata kwa shida saana?
 
Sio kweli wengi wao wanaoondoka hata huo uzee hawauonji
"Wengi wao" ni wangapi? Umefanya utafiti gani? Umetumia sample space gani? Una margin of error gani? Una bias gani? Umezi address vipi bias zako? Umefanya peer review vipi? Umechapisha wapi?
 
"Wengi wao" ni wangapi? Umefanya utafiti gani? Umetumia sample space gani? Una margin of error gani? Una bias gani? Umezi address vipi bias zako? Umefanya peer review vipi? Umechapisha wapi?
wacha kujidanganya na ielimu vyako ya kizungu mwenye macho
aambiwi tazama ukiambiwa njia hii ukipita kuna chatu na simba
utawauliza waliokuonya wana statistics ngapi? huyo simba washamuona
wangapi?huyo chatu kashameza wangapi? na usipopewa majibu
je utapita tu hivyo hivyo? wacha kujidanganya na theories hizo njoo kwenye practices uone kama zinafanyakazi
 
Nlikuwa najiulizaga saana kwanini huku kwetu Africa wanawake huwa ndio wanaishi
miaka mirefu saana hadi kuwa vikongwe lakini wanaume zao huwa wanakufa huko
mwanzoni mwanzoni tu.

Kwanini watu wengine kama vile wazungu wachina wote huzeeka pamoja,mbaka pale niliposikia tukio la jamaa aliyenusurika kuuliwa na mke wake kwa sumu waliposhindwa wakajaribu na uchawi,ndipo nikagundua kuwa kumbe....

Siri ya nchi za kiafrika kuwa na singlemama wengi ni mauaji ya waume wao na mara
zote wanaouliwaga ni wale wanaojiweza kiuchumi ukiwa kapuku utaishi mpaka umwembe
mola wako akuondoshe duniani.

Ama kwa hakika ukiwa na hela huku kwetu halafu
ukaoa binti toka koo masikini jua huo ni msiba wa kujitakia,ni sawa na kumchokoza
simba mwenye njaa,ukinusurika kifo utalishwa na kuogeshwa madawa wewe mbaka uwe ka
ndondocha vile,utageuzwa ATM utasomesha familia yao hadi wajiweze,wakisha simama
sasa siku ukipata majanga hakuna hata atakayekujali washapata walichokitaka toka kwako
hapo ndo.

Ushukuru mungu umepata familia isiopenda kuua, binafsi hili nililishuhudia toka
kwa ndugu yangu kabisa alioa binti wa kinguu kwao wachawi balaa,unaambiwa jamaa pale
kwake hakanyagi ndugu yetu aipiti wiki anatimuliwa lkn ndugu zake yule mwanamke kawasomesha
kawataftia kazi sasa wamesepa hao hata hawamjali.

Huku kwetu ndoa ni hatari saana especially ukiwa na vijisenti japo kidogo.
Wazungu gani hao mkuu? Tazama IDx utaelewa wazungu wanavyouana kisa mali tena mapema mapema tu. mwanaume anamkatia mkewe bima ya maisha au mkewe anamkatia bima ya maisha halafu anammaliza kwa kumtumia wauaji au kuna sumu fulani hatari inachanganywa kwa chakula.
watu huwa wanadhani wazungu wema tu kumbe nao mamafia tu.
 
wacha kujidanganya na ielimu vyako ya kizungu mwenye macho
aambiwi tazama ukiambiwa njia hii ukipita kuna chatu na simba
utawauliza waliokuonya wana statistics ngapi? huyo simba washamuona
wangapi?huyo chatu kashameza wangapi? na usipopewa majibu
je utapita tu hivyo hivyo? wacha kujidanganya na theories hizo njoo kwenye practices uone kama zinafanyakazi
Unaibagaza "elimu ya kizungu" wakati hata huu mtandao unaoutumia kuibagaza unatokana na elimu hiyo hiyo?

Weka JF yako ya kutumia ramli halafu ibagazie "elimu ya kizungu" huko.
 
Unaibagaza "elimu ya kizungu" wakati hata huu mtandao unaoutumia kuibagaza unatokana na elimu hiyo hiyo?

Weka JF yako ya kutumia ramli halafu ibagazie "elimu ya kizungu" huko.
hujajibu hoja zangu za ukiambiwa usiende huko kuna hatari
utataka upatiwe statistics kama unavyodai wewe au utatii amri
bila shuruti? kuhusu wazungu waambie na wao waturudishie
mali zetu walizotuibia na wazotunyonya hadi sasa we unadhani bila
wizi huo kungekuwa na internet leo? Africa inaweza kuishi bila europe
lakini europe ndo bara pekee haliwezi kuishi bila uwepo wa africa hadi
leo hii na halina uwezo wa kuishi bila kuinyonya africa
 
hujajibu hoja zangu za ukiambiwa usiende huko kuna hatari
utataka upatiwe statistics kama unavyodai wewe au utatii amri
bila shuruti? kuhusu wazungu waambie na wao waturudishie
mali zetu walizotuibia na wazotunyonya hadi sasa we unadhani bila
wizi huo kungekuwa na internet leo? Africa inaweza kuishi bila europe
lakini europe ndo bara pekee haliwezi kuishi bila uwepo wa africa hadi
leo hii na halina uwezo wa kuishi bila kuinyonya africa
Nakwambia hivii.

Kabla ya kuibagaza "elimu ya kizungu" tengeneza internet yako ya mabua, halafu kaibagaze "elimu ya kizungu" huko.

Ukija hapa JF, mtandao ambao umetengenezwa kwa hiyo hiyo "elimu ya kizungu", halafu ukaibagaza hiyo hiyo "elinu ya kizungu", unajionesha ujinga wako tu.
 
Nakwambia hivii.

Kabla ya kuibagaza "elimu ya kizungu" tengeneza internet yako ya mabua, halafu kaibagaze "elimu ya kizungu" huko.

Ukija hapa JF, mtandao ambao umetengenezwa kwa hiyo hiyo "elimu ya kizungu", halafu ukaibagaza hiyo hiyo "elinu ya kizungu", unajionesha ujinga wako tu.
sababu hujajibu hoja
maana yake huna hoja
 
sababu hujajibu hoja
maana yake huna hoja
Hoja hata ikiwekwa chini ya pua yako huwezi kuijua.

Ndiyo maana ukaja na logical non sequitur fallacy, inafuatiwa na ad hominem logical fallacy, inafuatiwa na appeal to tradiction logical fallacy.

Umejaa logical fallacies, hujui hoja ni nini.

Unaulizwa kwa hoja, unasema hizo habari za elimu ya kizungu. Halafu unaona hiyo ni hoja?
 
Hoja hata ikiwekwa chini ya pua yako huwezi kuijua.

Ndiyo maana ukaja na logical non sequitur fallacy, inafuatiwa na ad hominem logical fallacy, inafuatiwa na appeal to tradiction logical fallacy.

Umejaa logical fallacies, hujui hoja ni nini.

Unaulizwa kwa hoja, unasema hizo habari za elimu ya kizungu. Halafu unaona hiyo ni hoja?
naona unazidi uongea pumba tu sasa kuweka
kilatino ina maana ndo unataka kuntisha au?
 
Back
Top Bottom